Hii fluoride ina kitu gani mpaka Trump anataka kuipiga marufuku?

Hujui kitu mkuu tafuta na soma hiki kitabu ,kuna testimonies humo za wataalamu wenyewe , madkatari ,neuroscientists ,toxicologists na researchers manguli WA hayo mambo ambao wamestudy Fluoride na effects zake kwa miaka mingi na kuja na hizo conclusions wewe unapinga nini ?
Soma hiki kitabu kinaitwa Fluoride deception
 
Kuna scientific studies/tafiti nyingi zaidi kuthibitisha Flouride ni muhimu kwa meno ya binadamu.
Penda kusoma na kujielimisha ,nishakwambia kwamba medical research nyingi zinazokuwa sponsored na hawabug pharma no control damage na means ya kuwaziba watu midomo na kupindisha ukweli wa mambo , ni hawa hawa ndio waliokuwa wanatoa research mshenzi za kutetea sumu ya DDT iendelee kuwa kwenye soko ,sumu ambayo imesababisha health damages Kwa miaka mingi huko nyuma
Si kila research ni genuine ,big pharma Wana mikono mirefu ya kufanya hata bribes kwenye regulating authoriities ,hawa ni mafia na si watu wa kuwaamini

Soma kitabu hicho hapo nimekuwekea ,ushindwe mwenyewe
 

Attachments

Dawa ninayoitumia nimeangalie kwenye Ingredients hakuna fluoride na nilivyogugo ikaonyesha kampuni ninayotumia inatengeneza dawa zake kiasili bila hizo kemikali je , ni kweli au wananipanga tu ?
Dawa Gani Unatumia?
 
Huyo Hata Umpe Kitabu Bado atakupinga tu ametawaliwa na mawazo ya Kupinga bila Kujielimisha kwanza
 
Kuna vitabu vingi sana duniani vya conspiracies na ujinga. Kuna mamia ya vitabu ya flat earthers/ dunia tambarare, anti-vaxxers na anti-money.
 
Pia inaathiri jicho la tatu kwa wale wa meditation wanaelewa.
Lengo ni kuwafanya watu kuwa misukule , inaaminika kwa muda mrefu kwamba watu ambao wameathirika na hii sumu ya Fluoride ni ngumu kuresist tyranny , kiufupi hawa manyapara tunaowaita viongozi ,wapo ili kufullfill wishes za masters wao so inafanyika ili kufanya population kuwa docile mithiri ya misukule ,
Ni ajabu kwa mtu mwenye akili timamu na ambaye pineal gland haijawa toxified kukubali kuongozwa na vilaza kama hawa ccm wa hapa ,something fishy is going on .
Ni kama ile tabia ya kuweka mafuta ya taa kwenye chakula cha wanafunzi wa bweni au wafungwa ili kudhibiti hisia na hamu za ngono .
 
Hizi ni conspiracy theories au ?....
 
Kuna vitabu vingi sana duniani vya conspiracies na ujinga. Kuna mamia ya vitabu ya flat earthers/ dunia tambarare, anti-vaxxers na anti-money.
Naomba usome humo ,hii sio conspiracy .Hizi ni independent scientific researches zimefanyika kabisa na real scientists na researchers WA muda mrefu ,acha ujinga
Hujasoma details humo ,unakimbilia kucrticise hicho kitabu
Humo kuna research data na findings ,real science na si conspiracy theory
Jifunze kusoma na kufuatilia mambo ,acha tabia za kingedere za uvivu wa kusoma na kufuatilia mambo na kujifunza , ninyi ndio mnaokumbatia ignorance na kila kitu ambacho hamkijui mkakutana nacho bila uelewa na kutafiti mnakimbilia kuita ni conspiracy , docile beings.

Ndio maana nimeattach hicho kitabu soft copy ,nilijua wabongo ninyi ni wavivu kusoma na kufuatilia vitu , ninngeandika tu jina msingekitafuta ,na wakati kuna free libraries za online kama pdf drive ,zlibrary , library genesis nk unapata humo kila scientific paper na vitabu humo
 
Sababu ilikua nini kwenye hiyo study kuhusu kuongezeka kwa magonjwa ya kinywa na meno?
 
Manyapara tunaowaita viongozi wanatumia maji gani na dawa zipi za mswaki??
Masters wao wanatumia maji gani na dawa zipi za mswaki??
Viongozi wa CCM wanatumia maji gani na dawa zipi za mswaki?
 
Kuna bidha mbalimbali zimeongezwa fluoride ambayo kwa utafiti uliofanywa inaonesha utumiaji wa bidhaa hivi huweza kusababisha kansa ya ubongo na hii imewekwa na FDA kwa lengo lakudhibiti ongezeko la watu. Hivyo ni silaha ya kijasusi. Utumiaji wa bidhaa hizi inakuweka kwenye uwezekano wakuoza meno, kansa ya utumbo na ubongo, kuongezeka uzito na matatizo yote yanayoendana na hayo.
Nawasilisha . . .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…