Hii fluoride ina kitu gani mpaka Trump anataka kuipiga marufuku?

Hii fluoride ina kitu gani mpaka Trump anataka kuipiga marufuku?

Fluoride Tukiacha Vile tulivyokuwa Tunaambiwa na Kusoma kuwa inaprevent Tooth decay, Na Pia wanassma Inareduce inaquality kwenye Dental. Au Oral Health..

Deep Down Ukiangalia Tangu tumeanza Kupewa fluoride kwenye Maji (Maana Dunia Nzima Tunatandikwa Fluoridation ya Kutosha)..

Usipoikuta kwenye Dawa za Meno bhasi utaikuta Kwenye Maji l..
Bado kumekuwa na Ongezeko la Dental Decay(Caries) inequality ya Oral Health imezidi Kuongezeka Tofauti na Zamani so nakubaliana Na Weww Kabisa Ni kweli tumefanyiwa Un Necessary fluoridation au Kwao Ilikuwa Intentionally?...

Jibu ni Kuwa Ilikuwa Intentionally..
Kwanini?

Nitayaongea kama Ifundishwavyo Spiritually
Utambuzi wa Binadamu Spiritually Unatokana na Activation ya Penial gland ambayo ndyo huwa Inakupa kujua Vitu vyote asili yako na hata Ukweli kabla ya kuujua..

Ukifanikiwa Kuactivate pineal Gland (JiCHO LA TATU) Hutaweza kudanganywa na Kitu kwa Sababu ndo connection ya Maarifa yaani Spiritual World na This world...

Mbaya Zaidi ni kwamba Utambuzi wa Binadamu Spiritually Ni Tishio Kubwa sana, Upande wa Utii Politically na Pia Utii Religiouslly..

Binadamu Akijitambua yeye Ni nani hataweza kunyenyekea Binadamu mwingine wala kukubali Kuongozwa na Mwingine na Pia hata Kubali Kuongozwa na Idea ya Watu wengine Kuhusu Dini au Idea za Kisiasa..

Na Hapo ndo Huja Deactivation Of Pineal gland Even before Pro active State..
Unaanza Kunywa Maji Yalio na Fluoride na Kutumia Dawa ya Meno (Mswaki) yenye Flouride..

Kama Utakuwa Unajua Utajua kuwa Fluoride inaweza Kwenda Coat kwenye Pineal gland na Kusababisha Fluoride accumulation which Inturn Inasababisha Melatonin deficiency ambayo inamfanya Mtu awe Ni vigumu kuweza Kufikiri (Meditate) ipasavyo na Kutokuwaza Zaidi ya Kile alichowaza na Kutokuwaza Nje ya Box na Kuishia Kuzidi kutawaliwa..
Na mara nyingi inaweza kusababisha Pineal gland toxicity..potential links to other health issues such as thyroid problems, lower IQ in children, and bone fractures. However, research in these areas remains controversial na Nyingi ziko chini ya CDC na WHO so ndo wanaoweza kuzitoa.ila kwangu Mimi Mdomo Komaaaa

na ndo maana Matoto mengi sana Siku hizi yanazeeka kuliko Umri wao kuna studies zingine zimefanywa kwa animals showed that fluoride accumulation in the pineal gland led to reduced melatonin production and an earlier onset of puberty....

Unakuta Toto lina miaka 13 lakini Limeshamaliza dalili zote za Kuvunja Ungo..

So kama kaamua Hivyo atakuwa amesaidia Dunia Pakubwa sana..
Japo atakumbana na Pingamizi kubwa sana
🤔🤔
 
Kuna testimony hapa iko katika pdf ,ni kitabu cha mama mmoja researcher WA masuala ya afya pale Marekani wa muda mrefu aliandika , ambaye anadhani hii ni conspiracy theory aingie hapa assome , hizi ni scientific studies zilizofanywa na anaelezea figisu alizofanyiwa huyo mama na hawa mamafia makampuni ya uzalishaji wa kemikali na madawa duniani .
Hii kitu ni uhalisia na si utani ,Fluoride ni sumu mbaya na haifai
 
Na wengi wetu IQ zetu ni hafifu mno, nadhani Lead pipes zinamadhara zaidi ambako ndio Maji ya kunywa yanapopita.
Lead ndio hatari kwa afya na haina umuhimu wote mwilini, wanasayansi wote wanakubaliana katika hili suala. Flouride ina faida katika meno kwa kiwango kinachokubalika,
Conspiracy theorists ni watu hovyo hawaelewei.
 
Pharmaceutical industry aka big pharma ,hawa ndio terrorists wenyewe sasa ,kuwagusa tu wanakupoteza au kuruin career yako na kulkuharibu kabisa kimaisha , huko Marekani na kwingineko duniani wanaogopwa na watu hawajui kwamba hizi biological and medical research nyingi wao ndio wafadhili ,na kama wewe ni researcher lazima ulambe miguu yao ,yaani scientific findings za hiyo research usiende kinyume na kucriticize products zao , research ni expensive na research ambazo zimefanywa na independent researchers wanaokuja na proofs za madhara ya products za haya makampuni ,wanatumia vyombo vya habari , serikali , regulations bodies na taasisi za kitaaluma kudemonize findings za hawa watu na kuzikosoa kwamba ni wrong !.
Kuna umafia sana unafanyika na haya makampuni makubwa na si mara ya kwanza ,
Hata hizi sumu zinazotumika kwenye mashamba kuua wadudu ,kampuni kama Monsanto ,Bayer nk , Wana products ambazo ni sumu sana na hazifai hata kutumika kwenye kupulizia mimea kwa sababu toxicity take ni mbaya kwa anayepulizia na hata hicho chakula ile sumu haiondoki
Washenzi hawa Monsanto ndio waliokuwa wanapinga kuondoshwa na kupigwa marufuku kwa sumu ya DDT ,nadhani wengi mtakuwa mnakumbuka ,ile sumu ilikuwa mbaya mno mashambani ,majumbani nk imetumika miaka mingi duniani na kuna watu walishafanya tafiti na kugundua hilo miaka mingi ila Pharmaceutical industries wakawa wanafanya figisu hilo lisifanikiwe ,huo ni mfano tu
Mpaka leo kuna misururu ya kesi za madai ya fidia kwa watu ambao wamepata cancers na madhara mengine ya kiafya kwa hizo sumu .
Enzi za pharmaceutical industry au big pharma lifespan ya binadamu ndio imeongezeka zaidi, kwenye nchi zenye big pharma wastani wa maisha ni takribani miaka 80, huku ambako bado tunategemea waganga wa kienyeji zaidi na mitishamba wastani ni takribani miaka 60.
 
Hujasoma Ukaelewa Umesoma Ili Ujibu Theory haijajikita Kuzungumzia Swala zima la Bibi yako au Bibi wa Yoyote Yule na matumizi ya Fluoride..

Theory inaonyesha Matumizi ya Fluoride na Athari zake..
Soma Kila posts Nilizoandika kuanzia mwanzo
Mkuu, somewhere umesema fluoride inapelekea ukuaji wa hovyo,mtu umri mdogo mwonekano wa mtu mzima
 
Kuna testimony hapa iko katika pdf ,ni kitabu cha mama mmoja researcher WA masuala ya afya pale Marekani wa muda mrefu aliandika , ambaye anadhani hii ni conspiracy theory aingie hapa assome , hizi ni scientific studies zilizofanywa na anaelezea figisu alizofanyiwa huyo mama na hawa mamafia makampuni ya uzalishaji wa kemikali na madawa duniani .
Hii kitu ni uhalisia na si utani ,Fluoride ni sumu mbaya na haifai
Kuna scientific studies/tafiti nyingi zaidi kuthibitisha Flouride ni muhimu kwa meno ya binadamu.
 
Fluoride ni kemikali inayotumika kwenye maji ya kunywa na bidhaa za meno kama dawa ya meno ili kusaidia kuzuia kuoza kwa meno.

Lakini, inapotumika kupita kiasi, fluoride inaweza kuwa na madhara kwa afya.

1. Fluorosis ya Meno: Hii ni hali inayosababisha madoa meupe, kahawia, au mipasuko midogo kwenye meno, inayotokea hasa kwa watoto wanaopata kiwango kikubwa cha fluoride wakati wanakua. Ingawa sio hatari kwa afya, fluorosis inaweza kuathiri muonekano wa meno.

2. Fluorosis ya Mifupa: Matumizi ya muda mrefu ya fluoride kwa viwango vikubwa yanaweza kusababisha hali ya mifupa kuwa ngumu kupita kiasi, na kwa muda mrefu, mifupa inaweza kuwa dhaifu na yenye maumivu.

Fluorosis ya mifupa mara nyingi hutokea kwa watu wanaopata kiwango kikubwa cha fluoride kwa muda mrefu, hasa kwa wale wanaokunywa maji yenye viwango vya juu vya fluoride.

3. Kushusha IQ kwa Watoto: Baadhi ya tafiti zimeonesha uhusiano kati ya viwango vya juu vya fluoride katika maji na upungufu wa IQ kwa watoto.

Hata hivyo, matokeo haya bado yanahitaji utafiti zaidi ili kwa uthibitisho wa uhakika usiopingwa na pande zote.

Kwani kuna mchanganyiko wa mambo mengine kama lishe na mazingira ambayo yanaweza pia kuchangia.

4. Athari za Kinga za Moyo na Figo: Utafiti unaonesha kuwa watu wenye magonjwa ya figo wanapaswa kuwa waangalifu na kiwango cha fluoride wanachokula, kwani figo inaweza kushindwa kuchuja fluoride kutoka mwilini.

Pia, kuna wasiwasi kwamba fluoride kwa kiwango kikubwa inaweza kuathiri utendaji wa moyo na mishipa.

5. Changamoto za Homoni: Fluoride inahusishwa na athari kwenye mfumo wa homoni, hasa kwenye tezi ya thyroid.

Inasemekana kuwa kiwango cha juu cha fluoride kinaweza kusababisha kupungua kwa homoni za thyroid, jambo linaloweza kusababisha matatizo kama uchovu, uzito wa mwili kuongezeka, na mfadhaiko.

Kwa ujumla, wakati fluoride inapotumika kwa viwango vinavyopendekezwa, inachukuliwa kuwa salama na yenye faida kwa afya ya meno.

Hata hivyo, inapotumika kwa kiwango kikubwa kwa muda mrefu, inaweza kuleta madhara hayo kwa afya.

Ova
Sasa mswaki si-tunapiga kila siku tena kuna Sisi wengine kutwa ni mara Mbili mpaka mara Tatu imagine tumeanza kutumia tangu utotoni -- Hapo imekuaje mkuu kuna usalama kweli !?
 
Una Uhakika Hutumii Maji yasiyo na Fluoride???
Unaukakima Maji yetu hayafanyiwi Fluoridation? Au Ni kwamba Huambiwi tu kuwa maji yanafanyiwa hivyo??

Umewahi kusikia Treatment of water??
Unafikiri Kwanini Kuna mamlaka za Maji?
Ni kwa ajili ya Kuuza maji tu sio?

Na kingine Wapi wasiotumia Dawa ya Mswaki Mkuu huko na mimi Niende Nikaishi?😅🙌

Hapo sasa wewe Ndo unaCompire ili Uendane na Theory zako unazoamini ila Tukipiga Kura na kuangalia wanaotumia Dawa ya Mswaki na Maji ni 95% ya watanzania wote
Achana nae huyo Ana matatizo ya Afya ya akili
 
Sisi hapa Tanzania huko Kanda ya Ziwa kiwango cha Mercury Contamination ni kikubwa sana kutokana na Migodi lakini Mawaziri husika wanachoangalia ni Hewa Mkaa tu.

Tutakuwa na Taifa la Wagonjwa na Mambumbubu Mataahira ambao nao baadae watarithi na kuwa Wanasiasa na mzunguko utaendelea huku Taifa likididimia.

Wizara husika za Afya na Mazingira ziko Kimyaaa!!! Zenyewe ni MAMA! MAMA! MAMA!...
 
Sisi hapa Tanzania huko Kanda ya Ziwa kiwango cha Mercury Contamination ni kikubwa sana kutokana na Migodi lakini Mawaziri husika wanachoangalia ni Hewa Mkaa tu.

Tutakuwa na Taifa la Wagonjwa na Mambumbubu Mataahira ambao nao baadae watarithi na kuwa Wanasiasa na mzunguko utaendelea huku Taifa likididimia.

Wizara husika za Afya na Mazingira ziko Kimyaaa!!! Zenyewe ni MAMA! MAMA! MAMA!...
Tuache kuchimba madini tu
 
Pharmaceutical industry aka big pharma ,hawa ndio terrorists wenyewe sasa ,kuwagusa tu wanakupoteza au kuruin career yako na kulkuharibu kabisa kimaisha , huko Marekani na kwingineko duniani wanaogopwa na watu hawajui kwamba hizi biological and medical research nyingi wao ndio wafadhili ,na kama wewe ni researcher lazima ulambe miguu yao ,yaani scientific findings za hiyo research usiende kinyume na kucriticize products zao , research ni expensive na research ambazo zimefanywa na independent researchers wanaokuja na proofs za madhara ya products za haya makampuni ,wanatumia vyombo vya habari , serikali , regulations bodies na taasisi za kitaaluma kudemonize findings za hawa watu na kuzikosoa kwamba ni wrong !.
Kuna umafia sana unafanyika na haya makampuni makubwa na si mara ya kwanza ,
Hata hizi sumu zinazotumika kwenye mashamba kuua wadudu ,kampuni kama Monsanto ,Bayer nk , Wana products ambazo ni sumu sana na hazifai hata kutumika kwenye kupulizia mimea kwa sababu toxicity take ni mbaya kwa anayepulizia na hata hicho chakula ile sumu haiondoki
Washenzi hawa Monsanto ndio waliokuwa wanapinga kuondoshwa na kupigwa marufuku kwa sumu ya DDT ,nadhani wengi mtakuwa mnakumbuka ,ile sumu ilikuwa mbaya mno mashambani ,majumbani nk imetumika miaka mingi duniani na kuna watu walishafanya tafiti na kugundua hilo miaka mingi ila Pharmaceutical industries wakawa wanafanya figisu hilo lisifanikiwe ,huo ni mfano tu
Mpaka leo kuna misururu ya kesi za madai ya fidia kwa watu ambao wamepata cancers na madhara mengine ya kiafya kwa hizo sumu .
I concur with you 100% brother, head-on.
 
Sisi hapa Tanzania huko Kanda ya Ziwa kiwango cha Mercury Contamination ni kikubwa sana kutokana na Migodi lakini Mawaziri husika wanachoangalia ni Hewa Mkaa tu.

Tutakuwa na Taifa la Wagonjwa na Mambumbubu Mataahira ambao nao baadae watarithi na kuwa Wanasiasa na mzunguko utaendelea huku Taifa likididimia.

Wizara husika za Afya na Mazingira ziko Kimyaaa!!! Zenyewe ni MAMA! MAMA! MAMA!...
Brother,we acha tu.Watoto shuleni hawaelewi kitu,na ndio maana wametengeza mfumo wa kuwasukuma tu,wanaume nguvu za kiume hatuna,magonjwa yasiyotibika yanazidi kuongezeka,vifo navyo vinazidi kuongezeka,na Wizara ya Afya ipo tu..In short hali ni tete sana.Nadhani itafika wakati people will just drop down as flies.Very sad.
 
Mkuu, somewhere umesema fluoride inapelekea ukuaji wa hovyo,mtu umri mdogo mwonekano wa mtu mzima

Neno Kupelekea Sijalisema Nimetoa Context kuwa inachangia Kwenye Ukuaji Usio Na Mpangilio kwa Sababu inasababisha Disruption au ina Affect Thyroid Gland ambayo ndo Kiini cha Ukuaji..

Ni Biology ndogo sana Ya Darasa la Sita na Mwanafunzi wa Form 2 anaweza kujua Kuwa Kukitokea effect kwenye Thyroid Gland Kuna sababisha Ukuahi usio na Mpangilio nashangaa wewe Hujajua
 
Neno Kupelekea Sijalisema Nimetoa Context kuwa inachangia Kwenye Ukuaji Usio Na Mpangilio kwa Sababu inasababisha Disruption au ina Affect Thyroid Gland ambayo ndo Kiini cha Ukuaji..

Ni Biology ndogo sana Ya Darasa la Sita na Mwanafunzi wa Form 2 anaweza kujua Kuwa Kukitokea effect kwenye Thyroid Gland Kuna sababisha Ukuahi usio na Mpangilio nashangaa wewe Hujajua
Hahaaaaa umeanza kuwa na tone ya kiranga,hapa hujakataa kuwa fluoride inayoathiri thyroid gland inaathiri pia ukuaji
 
Fluoride ni kemikali inayotumika kwenye maji ya kunywa na bidhaa za meno kama dawa ya meno ili kusaidia kuzuia kuoza kwa meno.

Lakini, inapotumika kupita kiasi, fluoride inaweza kuwa na madhara kwa afya.

1. Fluorosis ya Meno: Hii ni hali inayosababisha madoa meupe, kahawia, au mipasuko midogo kwenye meno, inayotokea hasa kwa watoto wanaopata kiwango kikubwa cha fluoride wakati wanakua. Ingawa sio hatari kwa afya, fluorosis inaweza kuathiri muonekano wa meno.

2. Fluorosis ya Mifupa: Matumizi ya muda mrefu ya fluoride kwa viwango vikubwa yanaweza kusababisha hali ya mifupa kuwa ngumu kupita kiasi, na kwa muda mrefu, mifupa inaweza kuwa dhaifu na yenye maumivu.

Fluorosis ya mifupa mara nyingi hutokea kwa watu wanaopata kiwango kikubwa cha fluoride kwa muda mrefu, hasa kwa wale wanaokunywa maji yenye viwango vya juu vya fluoride.

3. Kushusha IQ kwa Watoto: Baadhi ya tafiti zimeonesha uhusiano kati ya viwango vya juu vya fluoride katika maji na upungufu wa IQ kwa watoto.

Hata hivyo, matokeo haya bado yanahitaji utafiti zaidi ili kwa uthibitisho wa uhakika usiopingwa na pande zote.

Kwani kuna mchanganyiko wa mambo mengine kama lishe na mazingira ambayo yanaweza pia kuchangia.

4. Athari za Kinga za Moyo na Figo: Utafiti unaonesha kuwa watu wenye magonjwa ya figo wanapaswa kuwa waangalifu na kiwango cha fluoride wanachokula, kwani figo inaweza kushindwa kuchuja fluoride kutoka mwilini.

Pia, kuna wasiwasi kwamba fluoride kwa kiwango kikubwa inaweza kuathiri utendaji wa moyo na mishipa.

5. Changamoto za Homoni: Fluoride inahusishwa na athari kwenye mfumo wa homoni, hasa kwenye tezi ya thyroid.

Inasemekana kuwa kiwango cha juu cha fluoride kinaweza kusababisha kupungua kwa homoni za thyroid, jambo linaloweza kusababisha matatizo kama uchovu, uzito wa mwili kuongezeka, na mfadhaiko.

Kwa ujumla, wakati fluoride inapotumika kwa viwango vinavyopendekezwa, inachukuliwa kuwa salama na yenye faida kwa afya ya meno.

Hata hivyo, inapotumika kwa kiwango kikubwa kwa muda mrefu, inaweza kuleta madhara hayo kwa afya.

Ova
Ahsante
 
Lead ndio hatari kwa afya na haina umuhimu wote mwilini, wanasayansi wote wanakubaliana katika hili suala. Flouride ina faida katika meno kwa kiwango kinachokubalika,
Conspiracy theorists ni watu hovyo hawaelewei.

Umetaja Vitu Viwili Tofauti Hapo lead ni sumu na Inasababisha Multi Organ Failure na Lead Ukiwa Expose nayo Huchukui Round Hata Masaa kadhaa au Siku kadhaa unakuwa Marehemu..

Ila Fluoride Iko target Accumulative Kwa Kiasi hicho unachoona Kinaruhusiwa Ndo kiasi ambacho kikitumiwa kwa Muda fulan Hufanya Coat Kwenye Pineal Gland ambayo Huathiri Cognitive Na IQ na vitu vingi..

Ambavyo sio Rahisi Kuvithibitisha kwa haraka..
Ila Lead Una uwezo wa Kuthibitisha kwa Haraka...
Na Ina dalili zake Yaani Lead toxicity una uwezo wa Kuigundia Hata kama Ikiwa na Athari ya wiki moja kwa kiwango kidogo..

Ni tofauti na Fluoride..

Kwanza Unatakiwa Ujue Kuwa Lead Ni Heavy metal na Usisahau ni Madini ya Risasi.. Pb

Ila Fluoride Ni inorganic, monatomic anion of fluorine Ions ambayo ni Non Metal.. Fr-

Sasa Huwezi Kulinganisha Toxicity capability Between Metal and Non-Metal tena between Cation na Anion..

Hivi watu Mlisoma Wapi Chemistry???
 
Back
Top Bottom