Sasa Nimekuelewa..
Unachanganya kati ya mental health issues na cultural practices ambazo huenda due to lack of awareness or professional intervention Over time Tanzania communiytt imezi normalize these issues as part of their culture, Na ikaonekana kama Ni sawa tu kama Ni culture yao Nikuambie Tu hakuna Culture ya Mtu kuwa na tatizo la Akili..
Walichonacho Arusha ni
Mass Mental Instability, na kiko tofauti na
Cultural Aspects! (Ambazo umezizungumza Kupitia hizo kanda)..
Uzuri wa Cultural Aspects zina Asili na mwanzo wake Sasa Hebu niambie Mwanzo wa Utahira wa Watu wa Arusha Ulianza lini?
Uzuri wa Cultural Aspects huwezi kuathiri eneo kubwa Sana Kikanda hata Eneo zaidi ya kanda kama ulivyosema hapo juu Kiswahili, watu wa Pwani na hata mauaji ya Vikongwe zote hizi Ni widespread kwenye Eneo kubwa sana Unapozungumzia Pwani unaongelea Mikoa si chini ya 5..
Unapozungumzia Kanda ya Ziwa na mauaji ya Vikongwe unazungumzia Mikoa Si chini ya 5 unapozungumzia Kiswahili cha Kenya na Tanzania unazungumzia Mikoa Si chini ya 27..
Sasa Hujiulizi kwanini Hizo Tamaduni za Arusha Hazijavuka Hata Kilimanjaro au Kufika hata Tanga tu?
Kwamba Wao ndo wawe na Tamaduni za Kijinga thats Mass Mental Instability na Kutokana na Watu kuogopa Kusema Tatizo limeanza kuchukuliwa kama Normal..
Sasa Hii ndo tofauti ya Mass Mental Instability na CULTURAL ASPECTS NIMEKUCHAMBULIA HAPA CHINI..
View attachment 3152748