Hii foleni ya leo Bagamoyo road sio mchezo

Hii foleni ya leo Bagamoyo road sio mchezo

Vien

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2020
Posts
6,585
Reaction score
10,363
Wakuu, Tangu saa 12 asubuhi mpaka sasa nimeganda hapa Masana, Gari hazitembei kabisa, Naskia wameziba barabara moja pale nia ya kuingia Kawe, Kazi tunayo kwa kweli
 
Hivi hakuna njia ya mchepuko na kuachana na barabara hiyo
 
Uliambiwa uje ujenge Kibaha ukang'ang'ania Bagamoyo, ona sasa unateseka
 
Wakuu, Tangu saa 12 asubuhi mpaka sasa nimeganda hapa Masana, Gari hazitembei kabisa, Naskia wameziba barabara moja pale nia ya kuingia kawe, Kaz tunayo kwakweli
duuuh, pole mkuu! pamoja na uzuri wa Dar, ila mambo kama hayo ndio hunifanya nisipapende. Kwa kweli huwa sipapendi
 
  • Thanks
Reactions: apk
Hata angejenga huko Kibaha, wakati huduma ziko Posta ingesaidia nini?
Tatizo lipo kwenye mipango miji. Na ndiyo maana foleni ni direction ya mjini asubuhi, na jioni foleni kwenye the same barabara but opposite direction. Yaani wamejaza maofisi na huduma muhimu uelekeo mmoja
 
  • Thanks
Reactions: apk
Hivi unajua raha ya upepo wa baharini wewe


Hujui kabisa maana ya mazingira, kwa taarifa yako, mikoa yenye joto hasa ukanda wa pwani wote, pembezoni mwa bahari hadi kilometer 6-9 kwenda nchi kavu hv, hali ya hewa ni chumvi chumvi, yaani mali zako kuanzia nyumba, gari, chochote kile cha chuma, ndani ya miaka 10 zinaoza kabisa, go and do research again..!! Sasa furahia upepo wa bahari in return vitu vyako vyote vya chuma gari, msingi wa nyumba au bati in 10 yrs uje uongee hapa, kaangalie nyumba nyingi Dar Masaki, Mbweni, Bahari beach, Coco beach au Zanzibar uone, every 10 yrs usipofanya matengenezo makubwa nyumba au gari sio kabisa
 
Hujui kabisa maana ya mazingira, kwa taarifa yako, mikoa yenye joto hasa ukanda wa pwani wote, pembezoni mwa bahari hadi kilometer 6-9 kwenda nchi kavu hv, hali ya hewa ni chumvi chumvi, yaani mali zako kuanzia nyumba, gari, chochote kile cha chuma, ndani ya miaka 10 zinaoza kabisa, go and do research again..!! Sasa furahia upepo wa bahari in return vitu vyako vyote vya chuma gari, msingi wa nyumba au bati in 10 yrs uje uongee hapa, kaangalie nyumba nyingi Dar Masaki, Mbweni, Bahari beach, Coco beach au Zanzibar uone, every 10 yrs usipofanya matengenezo makubwa nyumba au gari sio kabisa
Vikioza mnauziwa nyie wa huko,both team to score
 
Vikioza mnauziwa nyie wa huko,both team to score


Very stupid, pumbavu sana, zero IQ, wewe maskini wa mali na akili, what do you have? Maskini kabisa hata unachoongea tu, lugha yako, akili huna, mali huna, huna chochote zaidi ya ujinga, stupid
 
mshukuruni saa100 kwa foleni hiyo maana anaupiga mwingi sana na wakwe zake , na badooooo kmmkkk
 
Wakuu, Tangu saa 12 asubuhi mpaka sasa nimeganda hapa Masana, Gari hazitembei kabisa, Naskia wameziba barabara moja pale nia ya kuingia Kawe, Kazi tunayo kwa kweli
ni kuvumilia tu mkuu, ndo maendeleo hayo yana gharama zake, ni kwa sababu ya matengenezo ya barabara ya mwendo kasi!!
 
Back
Top Bottom