yote kwa yote.....mkulima wenu vs purist Guardiola bado sana!!Mpira ungekuwa unajajiwa hivyo bas arsenal fala ozil,lacazatte,sanchez ntajie mchezaj wa burnley mwenye thamani karib ya hao kama sio kuinunua timu yote ya burneley? Unaijua thaman ya walker,de bryune,silva,otamend,mangala na mendy plus sterling pale pesa wewe na mshahara wa gualdiola unaujua?
yote kwa yote.....mkulima wenu vs purist Guardiola bado sana!!
saaana yaani!Kwa kuwa umefikia hitimisho ushajulikana unaongozwa na chuki "YOTE KWA YOTE"
ila city wanafanya vizur sana.
Mwaka jana alikuwa wapi alipotoka hata kikombe cha chai hamna wakat mkulima mou akibeba tuwili + ngao ya jamii?saaana yaani!
vile hata Wigan anabeba. hahahaa!Mwaka jana alikuwa wapi alipotoka hata kikombe cha chai hamna wakat mkulima mou akibeba tuwili + ngao ya jamii?
vile hata Wigan anabeba. hahahaa!
Angechukua nacho ubingwa kile kikosi mngesema ana bahati
Kwaiyo kikosi cha man u ni kipana kuliko cha city?Nakuthibitishia 4g inarudi, na Likuku linarudi kuwa Lukaku,
sababu ni chache sana kama mbili tatu tuu lakini za ukweli,
1. Usajili wa January
2. FA CUP na UEFA Champions league
Naamini January mou atasajili mchezaji mmoja tuu sijui mshambuliaji au kiungo lakini sio beki, hatoacha mchezaji wa maana mwenye namba kwenye kikosi chake, hii itawapa confidence wachezaji kwamba bado wanacheza kwenye malengo ya kocha na confidence ni silaha muhimu sana kushinda kwenye mechi ngumu..
Mkorogo wa FA CUP na Champions league utagharimu timu nyingi kwa sababu ya kucheza mechi mbili kwa wiki, jambo ambalo mou hana wasiwasi nalo sana kulingana na upana wa kikosi chake..
Mimi kama mshabiki wa man sijavunjika moyo kabisa bado naamini tutanyanyua makwapa zaidi ya mara moja mwaka huu
Alikupiga wewe kibonde wakeMwaka jana alikuwa wapi alipotoka hata kikombe cha chai hamna wakat mkulima mou akibeba tuwili + ngao ya jamii?
Alikupiga wewe kibonde wake
Au hujui mchezo wa soka una matokeo matatu kichwani mmebeba nini nyinyi?Kwaiyo kikosi cha man u ni kipana kuliko cha city?
Subiri draw kesho na westbrom alfu uje kuimba taarabu hapa
Hapa nimejadili soka... ndio maana zimetajwa man untd na man city... ambacho hujaelewa ni kipi?Kuna Nyuzi Hizi ↓↓ Ambazo Tunajadili Timu Husika! Sasa Huu ushabiki maandazi Wa Kufungua Nyuzi Za Kiajabuajabu umetokea wapi???
Si Uko Uzi Wa Man United na Man City ungeyapeleka Haya?
Manchester United (Red Devils) Special Thread
Liverpool FC, special thread
Arsenal Special Thread
The Chelsea Fc Thread
The Man City Thread
Ni kama yule Baunsa aliyebakwa kwa tabu mno!!MANU HUWA HATUNYAMAZI SABABU NI WAKUBWA TU HATA TUKIFUNGWA,TIMU YA MABABU MABIBI WANAUME WANAWAKE WATOTO NA VISICHANA PIA.WE ARE GIANTS,NA NDIO MAANA HATA WEWE UNATUJUA NA UNATUTOLEA MFANO,PAMOJA NA KUFUNGWA MAN YOU NI TIMU KUBWA NA NZITO SANA.
Mungu siyo flani. Haki ya Mungu hawa jarani zangu wana mbwembwe kinoma. Watu hata wakila kisago, utasikia kelele zao tu.Hivi mnakumbuka wakati ligi inaanza?
Man untd walianza kwa kila aina ya mbwembwe na kujipa majina kama wazee wa 4g na mengineo..
Enzi hizo striker wao Lukaku anafunga balaa, wakaanza kuwatukana kina Morata na wengineo waliowakosa kwenye usajili
Mwisho wa siku wakaanza kula kipondo, watu wanajipigia tuu, mara ghafla lukaku wao akageuka LIKUKU..
Najaribu kuwaza hapa hivi hawa Man untd wangecheza mechi 15 mfulululizo bila kufungwa hata mechi 1 kama Man city hata hii J.F si tungeiona ya moto, tungeweka wapi nyuso zetu kwa mbwembwe zao zile...?
Records gani mkuu?Man u mbona records hizi washazipitia mara nyingi tu
Karibu sana. Mwambie na rafiki yako.Mm nilikuwa manure Utd, likuku limeniboa, weekend nahamia man city
Keshajizeekea mzee wa watu!!Wamrudishe fagieson...