Hii gari niliyonunua sijapigwa hapa?

Inspection certificate hawana huo mpango SBt wenyewe wanasema magari yao mara tu wanaponunua kutoka kwa vendors huyafanyia inspection usafi na matengenezo moja kwa moja. Ila wamenipa jina la Vessel ship wanayotarajia kubook.
 
Inspection certificate hawana huo mpango SBt wenyewe wanasema magari yao mara tu wanaponunua kutoka kwa vendors huyafanyia inspection usafi na matengenezo moja kwa moja. Ila wamenipa jina la Vessel ship wanayotarajia kubook.
Ok. Nafikiri sasa hivi inspection inafanyika baada ya kufika. Approval of payment ndo muhimu
 
Be forward wenyewe wanatoa hii notice kabisa.

Dear Valued Customers,

The COVID-19 Pandemic has had a major impact on global logistics operations and has resulted in delayed bookings for vehicles.

Despite this, BE FORWARD continues to do its best to get your car shipped as quickly as possible by working closely with the shipping companies.

We apologise for any inconvenience caused and appreciate your understanding. Please do not hesitate to contact our sales representatives if you have any questions.
 
Mkuu bora wewe umepewa hata tarehe. Mimi nimelipia tarehe 28 mwezi wa 7 na mpaka leo hata booking haijafanyiwa. Yani nmeulizia hiyo kampuni mpaka nimeamua kukausha tu.

Nasikia korona effect inafanya mizigo kuchelewa. Hata wafanyabiashara wengine naona nao wameathirika sana hawa wa nguo, electronics equips n.k ... Siku hizi watu wanaagizia vitu dubai kuliko China/Japani...

Tuvumilie mzee mimi sidhani hata hiyo ndinga nitaigusa maana naweza sepa kabla haijafika...
 
Inspection certificate hawana huo mpango SBt wenyewe wanasema magari yao mara tu wanaponunua kutoka kwa vendors huyafanyia inspection usafi na matengenezo moja kwa moja. Ila wamenipa jina la Vessel ship wanayotarajia kubook.
Kama hadi wamekupa jina la meli , uhakika upo.

Unaweza ukatembelea vesselfinder.com kujua uhalisia wa safari za meli hiyo.

Korona imethiri mfumo wa usafiri, ukisikia wafanyabiashara wanavyohangaika kutafuta empty containers huko china utawaonea huruma , wenye mitaji midogo wanaamua kwenda dubai tu
 
Kuna tatizo la meli, kwa sasa magari yanachukua muda kupakiwa melini hasa makubwa zaidi kupata nafasi ni changamoto. Kuna gari imeagizwa imepata nafasi melini baada ya miezi miwili toka ilipiwe, so jumla imechukua miezi mitatu kuagiza mpaka ifike Bongo.
 
Nadhani kuna shida ya usafiri work wide
Kuna materials tunachukua Turkey mpaka yafike Tz yanachukua muda tofauti na mwaka jana

Vinginevyo fika ofisini kwao ujiridhishe
 
Okay. Wamenitajia meli ambayo wananaendelea kufanya booking. Nilishtuka tu huo muda. Kumbe covid-19 ni noma
 
Nadhani kuna shida ya usafiri work wide
Kuna materials tunachukua Turkey mpaka yafike Tz yanachukua muda tofauti na mwaka jana

Vinginevyo fika ofisini kwao ujiridhishe
Ahaa kumbe ni global issue. Nilitaka kujilaum kwanini sijarudi Befoward.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…