Sawa mkuu hapa kiroho changu kimepoa kwa maelezo nayopata hapa JfUsiwe na shaka mkuu wamekupa hiyo kutokana na meli,inawezekana wakati unalipia tarehe ya meli nyingine ilikuwa mbali kama hivyo. Nina uzoefu kidogo na sbt kwa scenario ya gari kuwahi na kuchelewa. Hata yule agent ungemuuliza vzr angekupa maelezo ya kwanini.
Aisee kama huna uzoefu huo moyo unaweza kwenda mbio. Pesa yenyewe ya uchumi wa matozo hii.Kuna tatizo la meli, kwa sasa magari yanachukua muda kupakiwa melini hasa makubwa zaidi kupata nafasi ni changamoto. Kuna gari imeagizwa imepata nafasi melini baada ya miezi miwili toka ilipiwe, so jumla imechukua miezi mitatu kuagiza mpaka ifike Bongo.
Shida ni swala la usafirisha ji tu au na uzalishaji wa products umedumaa kutokana na uviko 19?Kuna nchi jirani juzi nimemsikia mwenyekiti wa wafanyabiashara akishauri wenzake wajaribu kuangalia mzigo hata huko India,Turkey
Bei zimepanda sana. Ndio kilichonifanya nikimbilie SBT niliona nafuu kwa gari niliyotaka.Kipindi hiki gari nyingi Bei zime shoot sana sijui shida ni nini.
hata ist haishikiki. yaani magari ya maskini yamekuwa kama ya kitajiriNje ya mada kidogo... Wakuu mbona uko Beforward Altezza bei zimenyooka hafla? Yaani zinakimbizana na Mark X za 2010+ saiv!!
Aisee kumbe tuko wengi. Sasa huko china na dubai wao wanasafirish vipi?Mkuu bora wewe umepewa hata tarehe. Mimi nimelipia tarehe 28 mwezi wa 7 na mpaka leo hata booking haijafanyiwa. Yani nmeulizia hiyo kampuni mpaka nimeamua kukausha tu. Nasikia korona effect inafanya mizigo kuchelewa. Hata wafanyabiashara wengine naona nao wameathirika sana hawa wa nguo, electronics equips n.k ... Siku hizi watu wanaagizia vitu dubai kuliko China/Japani...
Tuvumilie mzee mimi sidhani hata hiyo ndinga nitaigusa maana naweza sepa kabla haijafika...
Ilikuja kwa meli au kwa ndege?Usijali itafika mimi sina uziefu wa kuagiza vitu vikubwa vya hivyo ila nimeagiza saa imefika baada ya mwezi na nusu😂😂
Local inspection iko kisheria kwa sasa inafanywa na TBS mara baada ya gari kufika ni moja ya kigezo kabla haijasajiriwa Tz. Sijajua bei ni kiasi gani.Ok. Nafikiri sasa hivi inspection inafanyika baada ya kufika. Approval of payment ndo muhimu
Yaan sijui waliituma kwa usafiri ipi maana sio kwa kuchelewa kule itakuwa ilibebwa na kobeIlikuja kwa meli au kwa ndege?
Ningekuwa wewe nishapaniki🤣Mkuu bora wewe umepewa hata tarehe. Mimi nimelipia tarehe 28 mwezi wa 7 na mpaka leo hata booking haijafanyiwa. Yani nmeulizia hiyo kampuni mpaka nimeamua kukausha tu. Nasikia korona effect inafanya mizigo kuchelewa. Hata wafanyabiashara wengine naona nao wameathirika sana hawa wa nguo, electronics equips n.k ... Siku hizi watu wanaagizia vitu dubai kuliko China/Japani...
Tuvumilie mzee mimi sidhani hata hiyo ndinga nitaigusa maana naweza sepa kabla haijafika...
Ewaaa.... safi kabisaMimi sijui nikoje ila kiukwl nkiwaga na hela huwa sipendi kuzungushwa huwa nazama zangu yard navuta chombo chap!! Hayo mambo ya kusubiri siwezagi kwakwl
Duuh. Kweli aisee.Be forward wenyewe wanatoa hii notice kabisa.
Dear Valued Customers...
Enjoy the ride Mkuu.Bei zimepanda sana. Ndio kilichonifanya nikimbilie SBT niliona nafuu kwa gari niliyotaka.
hahaha nakiona kinakuja kutema kuniGari yako utaipata ila cha mtemakuni utakipata pia!
Tupo kibao mzee...Aisee kumbe tuko wengi. Sasa huko china na dubai wao wanasafirish vipi?
Eeh raha ya purchase iwe kwa kitu ambacho unakiona yani! Ununue bidhaa ambayo ipo tayari tayari kwa matumiziHahahaa hii huwa inawakuta watu wengi. Mwisho wa siku wananunua used here here in tz hawataki hizi shubiri.
hahaha mpaka sasa sina hamu.Tupo kibao mzee...
Dubai Korona haijapiga sana wao biashara wanafanya kama kawa na hawana restrictions sana.
China na Japan lao moja.
Hapo gari ikipata meli utasikia ina route kibao mara imepitia Australia mara wapi mpaka ifike ushaichoka gari...