secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,637
Mimi kuna siku nilinunua gari saa kumi kamili jioni hapa hapa bongo saa kumi na moja na nusu niko nalo bar napiga kilaji. Siwezi subiri gari wiki zote hizo....Mimi sijui nikoje ila kiukwl nkiwaga na hela huwa sipendi kuzungushwa huwa nazama zangu yard navuta chombo chap!! Hayo mambo ya kusubiri siwezagi kwakwl
Upo kama mimi mkuu. Mambo ya ooh mwezi mzima sijui miezi miwili labda kama nimeagiza ZongMimi sijui nikoje ila kiukwl nkiwaga na hela huwa sipendi kuzungushwa huwa nazama zangu yard navuta chombo chap!! Hayo mambo ya kusubiri siwezagi kwakwl
Shida inaanzia hapo. Hauna identity ya kiuchumi katika jamii. Solve kwanza hilo tatizo then tutazungumza habari ya kumiliki gari.dah mimi mkuu wangu hata sijui naishije lakini sijafa kwa njaa na habari za kipato sina taarifa rasmi..
dah sawa mkuu shukran kwa ushauri..Shida inaanzia hapo. Hauna identity ya kiuchumi katika jamii. Solve kwanza hilo tatizo then tutazungumza habari ya kumiliki gari.
heeeee mkuu wahi polisi, Tena kimbia saaaanaSina haja ya kueleza mengi. Mtakumbuka mwanzoni mwa mwezi huu nilikuja hapa kueleza kuwa nina nia ya kununua gari kutoka kampuni ya wauzaji SBT japani. Ni mara ya kwanza kuagiza ktk kampuno hii. Nimezoea Beforward.
Baada ya kufanya process zote za malipo na gari yangu kuaninishwa kama tayari imeshauzwa sasa nikabaki kusubir kile wanaita CAP yani Car at progress. Huu ni mfululizo wa taarifa na habari mteja hujuliwa ni lini gari inafanyiwa booking ya safari, lini itaondoka japani kuja mahali mteja alipo, meli itakayo beba na makadirio ya muda gari itawasili kwa mteja.
Baada ya kukaa siku 10 huki nikiona kimya nikawafata Sales personel huko huko. Nilichojibiwa nimeshangaa.Eti Booking inafanyika ila inakadiriwa kuanza kusafirishwa tar 29 mwezi wa tisa. Hii imenishtua. Au nililipa pesa kwa wajanja?
Kwa Beforward mamvo hayakuwa hivi. Ilichukua wiki sita tu gari zangu mbili zikanifikia. Hii ya sasa sbt wiki sita zinakatika bado haijaanza safari
Mkuu,Kilichonitia woga ni huo muda mrefu. Ukiangakia from now tar 29 ni mwezi mzima na wiki moja. Hapo bado safari ya kuja huku na kushuka itachukua miezi miwili mingine.
Kweli aisee. Unajua nilikuwa sijazoea kupigwa doro kama hivi. Nilileta mada hapa kupata ushauri na kutiwa moyo.Mkuu,
Nakuhakikishia hujapigwa. Binafsi ilinitokea Be Forward nilinunua gari tarehe 19 May 2021 nimepokea gari August 21, 2021.
Tatizo corona imeleta shida biashara na usafiri wa meli. Nilipata gari bora kabisa.
Uwe mvumilivu hizo ni kampuni kubwa huwezi kudanganywa.
Polisi wangenisaidiaje?heeeee mkuu wahi polisi, Tena kimbia saaaana
Kumiliki gari hutokana na kipato sio kudunduliza. Acha kabisa.Wanajidunduliza na kujichanga kama kununua kitu kingine chochote.
Wewe una kipato gani kwa mfano nikuulize?!
Kama hauna kipato achana na magari utakuja ona kumiliki magari ni anasa.
Hata wewe ipo siku utamiliki. Duniani hapa kikubwa uhai.hivi nyie mnaoagiza magari mnapatia wapi pesa!?...au mimi kuna kitu sijakigundua bado..
Hahahaa jamaa anazingua huyu.We mwenyewe unaliona vizuri hapo ndugu au basi tu unataka kugombana na watu wakikujibu oil chafu hapa?! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
nashukuru mkuu..Hata wewe ipo siku utamiliki. Duniani hapa kikubwa uhai.
Katika watu ambao wasingefikiria kabisa au hata kudhaniwa kumiliki magari ni mimi.
Omba Mumgu akupe uzima kwanza
Bila shaka chuma imefika bandarini leo[emoji23][emoji23]Kweli aisee. Unajua nilikuwa sijazoea kupigwa doro kama hivi. Nilileta mada hapa kupata ushauri na kutiwa moyo.
Mpaka saaa hivi wameshaisafirisha iko njiani inafika tar 3 October. Nilifurahi sana.
wana Jfs walinutuliza moyo.
Aisee nashukuru Mungu wamenitumia Emila Diamond Shipping Agency kuwa itawasili tar 5. Kwa mujibu wa B/L inatakiwa kufika Leo.Bila shaka chuma imefika bandarini leo[emoji23][emoji23]
Ikitoka, twende tukaipime mapafu bagamoyo[emoji119]
umeshapokea chuma?Aisee nashukuru Mungu wamenitumia Emila Diamond Shipping Agency kuwa itawasili tar 5. Kwa mujibu wa B/L inatakiwa kufika Leo.
Nimeshapokea Documents zote kutoka DHL nasubiri chuma tu hapa.
Mzee vyuma hivi safari zake haziwagi 100% certain. Leo ndio RoRo inashusha bandarini Dar. Natarajia kuipokea J3 au J4.umeshapokea chuma?
Sawa mkuuMzee vyuma hivi safari zake haziwagi 100% certain. Leo ndio RoRo inashusha bandarini Dar. Natarajia kuipokea J3 au J4.