MJ1,kuweka pini puani na kutoboa masikio na mengine hayawezi kubadili ujinga huu!Kile unachofikiri kinaonekana kupitia matendo yako,kama unajiamini umekamilika unakwenda kuweka nywele za bandia ili iweje?Au unajiona unapendeza na nywele zako za kipilipili unaenda saluni kuseti ili iweje?Ili ufanye haya ni lazima uwe mtupu ndani yako,we unafikiri Michael Jackson angetumia gharama zote hizo kama angekua anajiona ni kamili?Hoja zako hazina mashiko,wala huna point hapa!Usitetee jambo kwa sababu tu unalifanya!Nakushauri utulie coz huwezi kutetea maradhi kama haya ni aibu!