Hapa ngoja nipite tu. Kuna mtu namsaka kaondoka na bhange yangu,sijaskia harufu humu...
Mie najikubali sana Eiyer, sifugi kucha wala siweki za bandia, sio mpenzi wa kushonea nywele bandia wala siweki dawa...kwa kifupi napenda kuwa natural zaidi....Ni vizuri tukaanza na wewe!
MJ1,nafikiri hujafikiri vyema,hebu fikiri tena najua utakuja na kitu chenye tija,siamini kama haujui uzito wa tatizo la kujikataa nani maradhi yenye ukubwa wa kutosha,stating point ni nywele lakini ina upana wake!
Kama unataka watu wenye mawazo tofauti na wewe wasichangie mada yako usiiweke jamvini sehemu ambayo ina watu wenye mawazo ya kila aina.Swala la kumwambia mtu mwingine hoja yake haina mshiko wala point ni indicator tosha kwamba wewe ndie ulieksa point ya kutetea hoja yako hivyo unamwaattack mtu badala ya kumpinga kwa hoja.Alafu eti unasema asitetee kitu kwasababu anafanya, unataka akuunge mkono kana kwamba maneno yako ni sheria? Sio kila mtuni bendera fuata upepo brah, ukiweka mada jamvini kua tayari kukutana na mawazo ambayo yanajitegemea na yanayopingana na wewe. And if you can't deal with that then keep your thoughts/beliefs and claims to yourself.MJ1,kuweka pini puani na kutoboa masikio na mengine hayawezi kubadili ujinga huu!Kile unachofikiri kinaonekana kupitia matendo yako,kama unajiamini umekamilika unakwenda kuweka nywele za bandia ili iweje?Au unajiona unapendeza na nywele zako za kipilipili unaenda saluni kuseti ili iweje?Ili ufanye haya ni lazima uwe mtupu ndani yako,we unafikiri Michael Jackson angetumia gharama zote hizo kama angekua anajiona ni kamili?Hoja zako hazina mashiko,wala huna point hapa!Usitetee jambo kwa sababu tu unalifanya!Nakushauri utulie coz huwezi kutetea maradhi kama haya ni aibu!
MJ1,kuweka pini puani na kutoboa masikio na mengine hayawezi kubadili ujinga huu!Kile unachofikiri kinaonekana kupitia matendo yako,kama unajiamini umekamilika unakwenda kuweka nywele za bandia ili iweje?Au unajiona unapendeza na nywele zako za kipilipili unaenda saluni kuseti ili iweje?Ili ufanye haya ni lazima uwe mtupu ndani yako,we unafikiri Michael Jackson angetumia gharama zote hizo kama angekua anajiona ni kamili?Hoja zako hazina mashiko,wala huna point hapa!Usitetee jambo kwa sababu tu unalifanya!Nakushauri utulie coz huwezi kutetea maradhi kama haya ni aibu!
Mkuu hiyo mada ni pana sana.
Vipi wewe nywele zikiwa ndefu huwa unanyoa? Mbona unakosoa kazi ya Mungu? Makucha je?
Nadhani kwa kutengeneza nywele kwa kina dada si sawa na kujichubua, sijui lakini mawazo yangu tu
Kama unataka watu wenye mawazo tofauti na wewe wasichangie mada yako usiiweke jamvini sehemu ambayo ina watu wenye mawazo ya kila aina.Swala la kumwambia mtu mwingine hoja yake haina mshiko wala point ni indicator tosha kwamba wewe ndie ulieksa point ya kutetea hoja yako hivyo unamwaattack mtu badala ya kumpinga kwa hoja.Alafu eti unasema asitetee kitu kwasababu anafanya, unataka akuunge mkono kana kwamba maneno yako ni sheria? Sio kila mtuni bendera fuata upepo brah, ukiweka mada jamvini kua tayari kukutana na mawazo ambayo yanajitegemea na yanayopingana na wewe. And if you can't deal with that then keep your thoughts/beliefs and claims to yourself.
Nywele zinazozungumzwa hapa ni zile original, zile za wafu, au aina zote mbili? nauliza tu.