Mada zake zote hua anafanya hivyo dearest.Mtu akipingana nae basi ataambiwa hajui kitu/hana hoja.Mamii haina tabu nina uhakika ameghafilika tu hakumaanisha hicho alichokiweka hapo.
Mydia ametoa mfano wa Michael Jackson!!! That is an extreme maana yeye alishaweka wazi kuwa alikuwa anachukia kuwa Mweusi sasa atafananishwa na mdada ambaye ametaka tu kutengeneza nywele ili kutia chachandu unadhifu na urembo wake!!
Na kusema ukweli madhara hayaishii kwa wao tu...yanaweza kwenda hata kwa watu wengine na hasa wapenzi wao pia(waume, watoto nk) kwa njia ya kugusana, harufu/gas nk.Pamoja na tatizo la kutokujiamini na kutojikubali kwa watumiaji...Mkorogo unasababisha madhara makubwa kwenye mwili wa mtumiaji kama ambavyo dawa za nywele zilivyo na madhara makubwa kwa watumiaji... Anayebisha ni wazi tu kuwa hajui lolote juu ya mambo hayo.
Hii nilishawahi kuisoma kwenye makala moja ambayo ilitolewa kwenye gazeti sikuamini kuwa kuna watu wenye kufikiria so low kiasi hiki, kuna mambo mangapi yenye tija kulinganisha na hili? Wanawake wanaonyanyanswa, umasikini ubovu wa hudumaza jamii n.k. Afu mtu analalamikia nywele?! Eti kujikataa!! Mbona hamsemi uvaaji wa suti? Hatujaiga huu? Ah!
Wewe unaonekana una wigi kichwani ndo maana mm uwa na waeshimu wanawake ambao najieshimu lakini kama unavaa mawigi na kubadilisha nywele mm nawaona kama makahaba tu kama wabuguruni kwani wanauza utu wao na mtu ambaye kabadilisha ngozi yake namuona kama kahaba tu
Unajua watu wanaona ngozi nyeupe kuwa ndo ya maana sana, huu ni ujinga mkubwa sana. Mtu wa kwanza Adamu hakuwa na rangi yoyote ile kati ya tuzionazo leo, rangi zote za ngozi unazoziona leo ni matokeo ya dhambi. Kwa kifupi ni rangi za laana. Lakini wapumbavu wengi wanaamua kukataa ngozi nyeusi ya laana anajiongezea ngozi nyeupe. Kwa hiyo anakuwa na rangi mbili za ngozi zilizolaaniwa. Yaani ni laana squared. Handsome wa mama nawaonya mnaomfundisha kazi Mungu kana kwamba hakujua alichokuwa anakifanya tubuni maana msipotubu mtachomwa moto hadi mjishangae.