TheForgotten Genious
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 2,087
- 3,156
- Thread starter
- #21
CHAPUTA ni gani kitu?Ulishawah kujaribu Kujiunga CHAPUTA, vipi kupanda mnazi, Ebu jaribu huku mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CHAPUTA ni gani kitu?Ulishawah kujaribu Kujiunga CHAPUTA, vipi kupanda mnazi, Ebu jaribu huku mkuu
nakushauri uende kwa psychologists sababu ndo njia rahisi, huku mtaani kila mtu atashauri lake, utaweza kufuata yote?Ofcourse!, nitafanya hivyo mkuu asante
You can Connect dotsHivi Mke unayetafuta utathubutu kumchakata kweli?!!
A serious woman to Marry is needed
I need a woman with a good shape to marry from all Tribe except a Haya, Nyakyusa, Nyaturu, Jita, Kurya,Chaga,Ngoni and other related to those. should be aged 25 to 30. Able to understand shortly and hardworking. Any level of education in any Falcuty ,but those with finance,accounting,Computer...www.jamiiforums.com
Kwa bahati nzuri mimi sipo kabisa katika utendaji wa mambo ambayo yanaweza kuwa na athari kwangu,yaani sijawahi kuwa mpuuzi,trust itUtadanganywa Wewe ni introvert sijui nini,Ila ukweli Ni punguza au acha kupiga puli kabisa.
Wewe upo hivyo mkuu?Bora ubaki hivyo hivyo , binadamu watakuvuruga tu!
Tafuta Banda umiza moja nenda kakae huko wee kama hunywi pombe wanunulie wale wakongwe pale angalau ucheke na watu wa local beer mana wao wapo ili mambo yaende vile yanavyoenda Tu.Katika maisha yangu yote sijawahi kuwa na marafiki,na sipendi kabisa masuala ya marafiki,hata nikipata tatizo sina rafiki wa kumwambia mtu pekee ninayeweza kumwambia ni mama tu.
Lakini pia si mtu mwepesi wakueleza hisia ama changamoto zangu kirahisi hata kwa mama,huwa namueleza nikiona kabisa hii inaniendea kombo.
Nikikaa na kundi la vijana wenzangu huwa nakuwa msikilizaji tu tena kwa muda flani tu kisha naondoka zangu.
Napenda kujitenga sana na ninaweza kukaa Siku nzima peke yangu bila taabu yoyote ile,nikitumia muda huo kufanya kazi zangu Za kiofisi au nikifanya coding ama kufanya simulation za sakiti mbalimbali kama nipo nje ya majukumu ya kitabibu.
Nikiona mtu anaanza kunizoea huwa namkwepa haraka sana maana sipendi mazoea na watu.
Sehemu ninayoishi wapangaji wenzangu inaweza pita miezi 2 hatuja onana.
Sipendi kabisa kwenda katika matukio ya sherehe na hata ikiwa ni lazima huwa nakuwa mtu wakujitenga sana maana Mara nyingi huwa siambatani na mtu kabisa.
Sipendi kupiga piga picha hovyo kabisa. Napenda sana familia hapo ndio nadhani ni marafiki pekee naweza kudumu não japo sina família.
Japo kuna wakati huwa nakuwa mpweke mno hasa nisipokuwa na na kazi ya kufanya ,hivyo huwa najitahidi kuhakikisha nakuwa na kazi Ya kufanya kila Siku.
Mimi napambana kivyangu na mambo yangu sipendi kumshirikisha mtu kabisa ,ila huwa nakuwa na hisia yakumshirikisha mke tu lakini sina.
Ninaamini kwamba kuwa na marafiki na kujichanganya sana na watu ni njia rahisi ya mimi kujiletee matatizo.
Nafikiria kuoa ili kuepukana na hali hii nadhani itanisaidia.
TheForgotten Genious ungetuambia your birth date and month maana hiyo ina matter sana kwenye kusolve hii mystery yakoKatika maisha yangu yote sijawahi kuwa na marafiki,na sipendi kabisa masuala ya marafiki,hata nikipata tatizo sina rafiki wa kumwambia mtu pekee ninayeweza kumwambia ni mama tu.
Lakini pia si mtu mwepesi wakueleza hisia ama changamoto zangu kirahisi hata kwa mama,huwa namueleza nikiona kabisa hii inaniendea kombo.
Nikikaa na kundi la vijana wenzangu huwa nakuwa msikilizaji tu tena kwa muda flani tu kisha naondoka zangu.
Napenda kujitenga sana na ninaweza kukaa Siku nzima peke yangu bila taabu yoyote ile,nikitumia muda huo kufanya kazi zangu Za kiofisi au nikifanya coding ama kufanya simulation za sakiti mbalimbali kama nipo nje ya majukumu ya kitabibu.
Nikiona mtu anaanza kunizoea huwa namkwepa haraka sana maana sipendi mazoea na watu.
Sehemu ninayoishi wapangaji wenzangu inaweza pita miezi 2 hatuja onana.
Sipendi kabisa kwenda katika matukio ya sherehe na hata ikiwa ni lazima huwa nakuwa mtu wakujitenga sana maana Mara nyingi huwa siambatani na mtu kabisa.
Sipendi kupiga piga picha hovyo kabisa. Napenda sana familia hapo ndio nadhani ni marafiki pekee naweza kudumu não japo sina família.
Japo kuna wakati huwa nakuwa mpweke mno hasa nisipokuwa na na kazi ya kufanya ,hivyo huwa najitahidi kuhakikisha nakuwa na kazi Ya kufanya kila Siku.
Mimi napambana kivyangu na mambo yangu sipendi kumshirikisha mtu kabisa ,ila huwa nakuwa na hisia yakumshirikisha mke tu lakini sina.
Ninaamini kwamba kuwa na marafiki na kujichanganya sana na watu ni njia rahisi ya mimi kujiletee matatizo.
Nafikiria kuoa ili kuepukana na hali hii nadhani itanisaidia.
Ndugu nakutana nao kwenye vikao tuu mara chache sana,mama mwenyewe naweza maliza hata miezi sita sijaonana nae na kwa bahati mbaya zaidi mimi nilizaliwa peke yangu kwa baba na wawili kwa mama nasikubahatika kulelewa na wazazi.Hata ndugu jamani?
Labda nijaribu lakini mimi hata ratiba za mpira sizijui kabisaaa siwezi kwenda kukaa sehemu kuangalia mpiraTafuta Banda umiza moja nenda kakae huko wee kama hunywi pombe wanunulie wale wakongwe pale angalau ucheke na watu wa local beer mana wao wapo ili mambo yaende vile yanavyoenda Tu.
19/10TheForgotten Genious ungetuambia your birth date and month maana hiyo ina matter sana kwenye kusolve hii mystery yako
Nikiona mtu anaanza kunizoea huwa namkwepa haraka sana maana sipendi mazoea na watu.
Cc ephen_Katika maisha yangu yote sijawahi kuwa na marafiki,na sipendi kabisa masuala ya marafiki,hata nikipata tatizo sina rafiki wa kumwambia mtu pekee ninayeweza kumwambia ni mama tu.
Lakini pia si mtu mwepesi wakueleza hisia ama changamoto zangu kirahisi hata kwa mama,huwa namueleza nikiona kabisa hii inaniendea kombo.
Nikikaa na kundi la vijana wenzangu huwa nakuwa msikilizaji tu tena kwa muda flani tu kisha naondoka zangu.
Napenda kujitenga sana na ninaweza kukaa Siku nzima peke yangu bila taabu yoyote ile,nikitumia muda huo kufanya kazi zangu Za kiofisi au nikifanya coding ama kufanya simulation za sakiti mbalimbali kama nipo nje ya majukumu ya kitabibu.
Nikiona mtu anaanza kunizoea huwa namkwepa haraka sana maana sipendi mazoea na watu.
Sehemu ninayoishi wapangaji wenzangu inaweza pita miezi 2 hatuja onana.
Sipendi kabisa kwenda katika matukio ya sherehe na hata ikiwa ni lazima huwa nakuwa mtu wakujitenga sana maana Mara nyingi huwa siambatani na mtu kabisa.
Sipendi kupiga piga picha hovyo kabisa. Napenda sana familia hapo ndio nadhani ni marafiki pekee naweza kudumu não japo sina família.
Japo kuna wakati huwa nakuwa mpweke mno hasa nisipokuwa na na kazi ya kufanya ,hivyo huwa najitahidi kuhakikisha nakuwa na kazi Ya kufanya kila Siku.
Mimi napambana kivyangu na mambo yangu sipendi kumshirikisha mtu kabisa ,ila huwa nakuwa na hisia yakumshirikisha mke tu lakini sina.
Ninaamini kwamba kuwa na marafiki na kujichanganya sana na watu ni njia rahisi ya mimi kujiletee matatizo.
Nafikiria kuoa ili kuepukana na hali hii nadhani itanisaidia.
Kufa kila mtu atakufa na zaidi mimi nikisha kufa nini cha ziada labda,wazike wasizike nani atakereka? ,to put things clear usifikirie kwamba sishiriki mambo ya jamii nop nashiriki sana but seriously hata tukika hapo mimi ni mtu wakusikiliza tu