Wagumu Tunadumu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2022
- 5,276
- 17,354
Watu wengi wa jf wapo kama wew,hawa hawawez kukusaidia kitu,asilimia 90 humu ni maintrovet
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kijiweni kwanguKwahiyo sahivi uko wapi?
Nakupigia muda si mrefu tuongee mawili matatu, namie nna upwekeKijiweni kwangu
Dah!Nakupigia muda si mrefu tuongee mawili matatu, namie nna upweke
Kwani JF inakitufe cha kupiga simu?Nakupigia muda si mrefu tuongee mawili matatu, namie nna upweke
Haina, nakupigia tu simu ya kawaida, tuongee ongee tutoane upweke.Kwani JF inakitufe cha kupiga simu?
Huwezi kunipataHaina, nakupigia tu simu ya kawaida, tuongee ongee tutoane upweke.
Kama unatafuta furaha kwa watu au mtu huwezi kuipata kamwe..furaha kamili unayo wewe mwenyewe..get t man vuta GANJA!Napenda furaha na amani sana ila mazoea na watu yamenishinda kabisaa
Mh! Kwa maelezo yako lazima unapiga Punyeto mkuu.Katika maisha yangu yote sijawahi kuwa na marafiki,na sipendi kabisa masuala ya marafiki,hata nikipata tatizo sina rafiki wa kumwambia mtu pekee ninayeweza kumwambia ni mama tu.
Lakini pia si mtu mwepesi wakueleza hisia ama changamoto zangu kirahisi hata kwa mama,huwa namueleza nikiona kabisa hii inaniendea kombo.
Nikikaa na kundi la vijana wenzangu huwa nakuwa msikilizaji tu tena kwa muda flani tu kisha naondoka zangu.
Napenda kujitenga sana na ninaweza kukaa Siku nzima peke yangu bila taabu yoyote ile,nikitumia muda huo kufanya kazi zangu Za kiofisi au nikifanya coding ama kufanya simulation za sakiti mbalimbali kama nipo nje ya majukumu ya kitabibu.
Nikiona mtu anaanza kunizoea huwa namkwepa haraka sana maana sipendi mazoea na watu.
Sehemu ninayoishi wapangaji wenzangu inaweza pita miezi 2 hatuja onana.
Sipendi kabisa kwenda katika matukio ya sherehe na hata ikiwa ni lazima huwa nakuwa mtu wakujitenga sana maana Mara nyingi huwa siambatani na mtu kabisa.
Sipendi kupiga piga picha hovyo kabisa. Napenda sana familia hapo ndio nadhani ni marafiki pekee naweza kudumu não japo sina família.
Japo kuna wakati huwa nakuwa mpweke mno hasa nisipokuwa na na kazi ya kufanya ,hivyo huwa najitahidi kuhakikisha nakuwa na kazi Ya kufanya kila Siku.
Mimi napambana kivyangu na mambo yangu sipendi kumshirikisha mtu kabisa ,ila huwa nakuwa na hisia yakumshirikisha mke tu lakini sina.
Ninaamini kwamba kuwa na marafiki na kujichanganya sana na watu ni njia rahisi ya mimi kujiletee matatizo.
Nafikiria kuoa ili kuepukana na hali hii nadhani itanisaidia.
Dah sa itakuajeHuwezi kunipata
Ah! Tena? Sijawahi shawishika kutumia kileo cha aina yoyote ile,ikitokea hivyo nadhani nitapoteza sifa yakuwa binadamu,Kama unatafuta furaha kwa watu au mtu huwezi kuipata kamwe..furaha kamili unayo wewe mwenyewe..get t man vuta GANJA!
Sijawahi,na sifikirii mkuu hata nitingwe vipi sijawahi,it will happen on a dream natural and not intentionally,and it used to happen very rareMh! Kwa maelezo yako lazima unapiga Punyeto mkuu.
Tukomae hivi hiviDah sa itakuaje
Jitahidi uwe na hobby kama mchangiaji mmoja alivo Sema auIssue sio kuwa karibu na watu ila mna common interest mkuu maana kuona mazungumzo yako hayafit na yako ni wazi mpo tofauti. Hivyo ni aidha utafute watu wa kariba yako au utengeneze hobby ambazo zitakupa marafiki. Kama ni mtoto wa kiume, mpira, pombe na sex zitakupa watu wengi ila kama unataka discussions za Elon Musk, hapo wabongo wengi utawakosa
Lakini usisahau hayo maisha yana upweke ila yapo peaceful sana,
ukishaanza karibisha marafiki na haupo socially active bhasi uwe na Moyo wa kupambana na dissapointments, unafki, usnitch etc
ila kama unataka watu bhasi waweke kwenye magroup tofauti tofauti kama watu wa kampani, workmates, wa kupiga nao story, watu mnaoshare interest au common vision etc
Hii itakusaidia kujua lipi utashea na kuficha kwa baadhi ya watu kutokana na uzito wao kwako kwa sababu kila info unayowapa watu ni aidha wataipuuzia au wataitumia kukuinua au kukuangusha. Kuwa makini..
Mengine ni yako mkuu maana yawezekana mzizi wa tatizo ukawa ni mzito kuliko hizi general comments tunazotoa hivyo ni wewe tu waweza kujiokoa nao kama hali yako inahusiana na past au hali yako binafsi
Na huo ukimya aliokuwa nao akivuta itakuwaje ?Kama unatafuta furaha kwa watu au mtu huwezi kuipata kamwe..furaha kamili unayo wewe mwenyewe..get t man vuta GANJA!
Kuhusu kazi mimi mpaka wananionea wivu maana nimebarikiwa vingi,ninaweza kuchomelea vyuma,naweza kutengeneza furniture,nafanya painting na mashine zote ninazo,mbali na hapo nasoma Telecom engineering hivyo kama sina majukumu mengine nafanya simulation ama programming ,nje ya hapo nakuwa natoa huduma za afya,charity nafanya pia labda niongeze zaidiJitahidi uwe na hobby kama mchangiaji mmoja alivo Sema au
- jiweke busy na kaz
-go to school
-Fanya charity ukacheze na watoto vituo vya watoto yatima
Jitahidi uwe na hobby kama mchangiaji mmoja alivo Sema au
- jiweke busy na kaz
-go to school
-Fanya charity ukacheze na watoto vituo vya watoto yatima
Si ndio hapo mwanangu ananitafutia balaa juu ya balaaNa huo ukimya aliokuwa nao akivuta itakuwaje ?
Maana ganja ikiamua kukusizisha sio poa🤔
Dah! Inawezekana aise pole sana,nimepita huko piaTheForgotten Genious Hii hali nami inanisibu pia ila waga nafikiri ni kutokan na malezi & masahibu nliyopitia, sikulelewa na wazaz wngu nmekulia kw babu akiwa na bibi wa kambo nimenyimwa chakula, nmepigwa,nimedhalilishwa,nmenyanyaswa kwa kila nyanyaso
mkatoane upweke 😁😁Nakupigia muda si mrefu tuongee mawili matatu, namie nna upweke