Hii hali inanipa upweke sana nimejitahidi kuikwepa lakini wapi

Hii hali inanipa upweke sana nimejitahidi kuikwepa lakini wapi

Katika maisha yangu yote sijawahi kuwa na marafiki,na sipendi kabisa masuala ya marafiki,hata nikipata tatizo sina rafiki wa kumwambia mtu pekee ninayeweza kumwambia ni mama tu.

Lakini pia si mtu mwepesi wakueleza hisia ama changamoto zangu kirahisi hata kwa mama,huwa namueleza nikiona kabisa hii inaniendea kombo.

Nikikaa na kundi la vijana wenzangu huwa nakuwa msikilizaji tu tena kwa muda flani tu kisha naondoka zangu.

Napenda kujitenga sana na ninaweza kukaa Siku nzima peke yangu bila taabu yoyote ile,nikitumia muda huo kufanya kazi zangu Za kiofisi au nikifanya coding ama kufanya simulation za sakiti mbalimbali kama nipo nje ya majukumu ya kitabibu.

Nikiona mtu anaanza kunizoea huwa namkwepa haraka sana maana sipendi mazoea na watu.

Sehemu ninayoishi wapangaji wenzangu inaweza pita miezi 2 hatuja onana.

Sipendi kabisa kwenda katika matukio ya sherehe na hata ikiwa ni lazima huwa nakuwa mtu wakujitenga sana maana Mara nyingi huwa siambatani na mtu kabisa.

Sipendi kupiga piga picha hovyo kabisa. Napenda sana familia hapo ndio nadhani ni marafiki pekee naweza kudumu não japo sina família.

Japo kuna wakati huwa nakuwa mpweke mno hasa nisipokuwa na na kazi ya kufanya ,hivyo huwa najitahidi kuhakikisha nakuwa na kazi Ya kufanya kila Siku.

Mimi napambana kivyangu na mambo yangu sipendi kumshirikisha mtu kabisa ,ila huwa nakuwa na hisia yakumshirikisha mke tu lakini sina.

Ninaamini kwamba kuwa na marafiki na kujichanganya sana na watu ni njia rahisi ya mimi kujiletee matatizo.

Nafikiria kuoa ili kuepukana na hali hii nadhani itanisaidia.
Sasa si umeshajijuwa tatizo liko wapi? Au unataka kusifiwa?
 
Jipambanie Mkuu. Nikupe mfano kuna ndugu yangu kazaliwa peke yake kwenye familia hizi za kisasa in short alikuwa ni introvert pure kufumba macho nakufumbua 2019 wazee wake wote walifariki kwa ajali ya gari so everything ended like that. Ukimuona sasa anaongea kama redio anajichachanganya na watu kupitiliza. Mungu anampenda sana
 
Katika maisha yangu yote sijawahi kuwa na marafiki,na sipendi kabisa masuala ya marafiki,hata nikipata tatizo sina rafiki wa kumwambia mtu pekee ninayeweza kumwambia ni mama tu.

Lakini pia si mtu mwepesi wakueleza hisia ama changamoto zangu kirahisi hata kwa mama,huwa namueleza nikiona kabisa hii inaniendea kombo.

Nikikaa na kundi la vijana wenzangu huwa nakuwa msikilizaji tu tena kwa muda flani tu kisha naondoka zangu.

Napenda kujitenga sana na ninaweza kukaa Siku nzima peke yangu bila taabu yoyote ile,nikitumia muda huo kufanya kazi zangu Za kiofisi au nikifanya coding ama kufanya simulation za sakiti mbalimbali kama nipo nje ya majukumu ya kitabibu.

Nikiona mtu anaanza kunizoea huwa namkwepa haraka sana maana sipendi mazoea na watu.

Sehemu ninayoishi wapangaji wenzangu inaweza pita miezi 2 hatuja onana.

Sipendi kabisa kwenda katika matukio ya sherehe na hata ikiwa ni lazima huwa nakuwa mtu wakujitenga sana maana Mara nyingi huwa siambatani na mtu kabisa.

Sipendi kupiga piga picha hovyo kabisa. Napenda sana familia hapo ndio nadhani ni marafiki pekee naweza kudumu não japo sina família.

Japo kuna wakati huwa nakuwa mpweke mno hasa nisipokuwa na na kazi ya kufanya ,hivyo huwa najitahidi kuhakikisha nakuwa na kazi Ya kufanya kila Siku.

Mimi napambana kivyangu na mambo yangu sipendi kumshirikisha mtu kabisa ,ila huwa nakuwa na hisia yakumshirikisha mke tu lakini sina.

Ninaamini kwamba kuwa na marafiki na kujichanganya sana na watu ni njia rahisi ya mimi kujiletee matatizo.

Nafikiria kuoa ili kuepukana na hali hii nadhani itanisaidia.
Extroverted introvert
Angalia usije jinyonga
 
Mimi sio Muoga kabisa mkuu,hii hali ilianza sekondari
Mkuu TheForgotten Genious pole sana na hio hali, kuna Member humu naye alikuwa na hali kama yako lakini Upweke wake ulikuwa unamfanya mpaka kufikia anawachukia watu, nilimpa namba ya Mtaalam wa Saikolojia. Nimepita PM nimezikuta namba za huyo Mwanasaikolojia
Yupo Temeke anaitwa Said Kasege, cheki naye atakusaidia
+255766862579
+255622414991
 
Mkuu TheForgotten Genious pole sana na hio hali, kuna Member humu naye alikuwa na hali kama yako lakini Upweke wake ulikuwa unamfanya mpaka kufikia anawachukia watu, nilimpa namba ya Mtaalam wa Saikolojia. Nimepita PM nimezikuta namba za huyo Mwanasaikolojia
Yupo Temeke anaitwa Said Kasege, cheki naye atakusaidia
+255766862579
+255622414991
asante mkuu,nitamcheki
 
TheForgotten Genious Hii hali nami inanisibu pia ila waga nafikiri ni kutokan na malezi & masahibu nliyopitia, sikulelewa na wazaz wngu nmekulia kw babu akiwa na bibi wa kambo nimenyimwa chakula, nmepigwa,nimedhalilishwa,nmenyanyaswa kwa kila nyanyaso
Nimempa namba ya Mwanasaiolojia atamsaidia ipo humu kwenye huu uzi
 
Ukioa tatizo lako litakuwa kubwa zaidi.Bora ujitibu kabla hujaoa.
Wewe hupendi kelele na kuongea pasi na sababu.Mwanamke anatakiwa angalau aongee maneno 50000 kwa siku.Nusu ya maneno hayo unatakiwa umsikilize,kwako itakuwa kama ni kero kumsikiliza,shida itaanzia hapo.
 
Ukioa tatizo lako litakuwa kubwa zaidi.Bora ujitibu kabla hujaoa.
Wewe hupendi kelele na kuongea pasi na sababu.Mwanamke anatakiwa angalau aongee maneno 50000 kwa siku.Nusu ya maneno hayo unatakiwa umsikilize,kwako itakuwa kama ni kero kumsikiliza,shida itaanzia hapo.
Balaa sasa,maana yakianzaga makelele huwa nakimbilia kusema samahani ilihali anyamaze ,asiponyamaza naondoka,wacha nijaribu
 
Back
Top Bottom