Hii hali inanipa upweke sana nimejitahidi kuikwepa lakini wapi

Hii hali inanipa upweke sana nimejitahidi kuikwepa lakini wapi

Katika maisha yangu yote sijawahi kuwa na marafiki,na sipendi kabisa masuala ya marafiki,hata nikipata tatizo sina rafiki wa kumwambia mtu pekee ninayeweza kumwambia ni mama tu.

Lakini pia si mtu mwepesi wakueleza hisia ama changamoto zangu kirahisi hata kwa mama,huwa namueleza nikiona kabisa hii inaniendea kombo.

Nikikaa na kundi la vijana wenzangu huwa nakuwa msikilizaji tu tena kwa muda flani tu kisha naondoka zangu.

Napenda kujitenga sana na ninaweza kukaa Siku nzima peke yangu bila taabu yoyote ile,nikitumia muda huo kufanya kazi zangu Za kiofisi au nikifanya coding ama kufanya simulation za sakiti mbalimbali kama nipo nje ya majukumu ya kitabibu.

Nikiona mtu anaanza kunizoea huwa namkwepa haraka sana maana sipendi mazoea na watu.

Sehemu ninayoishi wapangaji wenzangu inaweza pita miezi 2 hatuja onana.

Sipendi kabisa kwenda katika matukio ya sherehe na hata ikiwa ni lazima huwa nakuwa mtu wakujitenga sana maana Mara nyingi huwa siambatani na mtu kabisa.

Sipendi kupiga piga picha hovyo kabisa. Napenda sana familia hapo ndio nadhani ni marafiki pekee naweza kudumu não japo sina família.

Japo kuna wakati huwa nakuwa mpweke mno hasa nisipokuwa na na kazi ya kufanya ,hivyo huwa najitahidi kuhakikisha nakuwa na kazi Ya kufanya kila Siku.

Mimi napambana kivyangu na mambo yangu sipendi kumshirikisha mtu kabisa ,ila huwa nakuwa na hisia yakumshirikisha mke tu lakini sina.

Ninaamini kwamba kuwa na marafiki na kujichanganya sana na watu ni njia rahisi ya mimi kujiletee matatizo.

Nafikiria kuoa ili kuepukana na hali hii nadhani itanisaidia.
Kwaiyo unataka upate ushauri kuhusu nini?
Endelea tu na Maisha yako mbona fresh tu na kama vipi usioe kabisa piga tu Nyeto inatosha.
 
Some how interested,issue nampataje na ninamtambuaje?
Acha ufala mke wako akiwa furaha yako utajiua Acha kuwa fala. jichanganye. alone alone hata ndoa itakushinda, wanawake wazee wa watu wa hype. kila sehemu mtu yupo ndo wake wa sasa wanapenda. wewe mke wako watamla sana. kaza na introvert yako. dunia ikushangaze
 
Sema watu wa dizaini kama yako Huwa ni Hatari sana nawaogopa mno nyie hamshindwi hata kupiga matukio ya hatari msijulikane sababu watu kuwahisi ni wapole na mna hasira sana
Hasira ninazo kweli ila nashukuru Mungu ninaweza kuzi handle na moja ya mbinu natumia nikukwepa mabishano na watu
 
Acha ufala mke wako akiwa furaha yako utajiua Acha kuwa fala. jichanganye. alone alone hata ndoa itakushinda, wanawake wazee wa watu wa hype. kila sehemu mtu yupo ndo wake wa sasa wanapenda. wewe mke wako watamla sana. kaza na introvert yako. dunia ikushangaze
Asante,una laziada mkuu?
 
Wewe ni una ujinga flan hiv na kwahakika utakuua. Mtu mwenye akil timamu hawez ishi hivyo..
Jaribu ku check afya ya akil
 
Hapa naona unatafuta wife kijanja,, Ila mke naye nikipengele asee utajuta na furaha itapotea usipo jipa furaha mwenyewe unadhani nani atakupa furaha !?
 
Huko kwenye Kuoa ndo unaelekea kwenye Matatizo zaidi....!!

Watu wa aina Yako hawawezi kuishi na Mwanamke ama Kuoa...! Sababu kubwa ni kwamba wako na Spiritual power (Ambazo ama hujazijua ama hujazisemq) na Wanawake wengi hawawezi kuwa handle Watu wa aina Yako...!

Hauko peke Yako, ila TUPO WACHACHE.
 
Tuunde chama kama vipi
Ila mimi kwa upande wangu ni kama nishaizoea tu hii hali japokuwa huwa naumia sana mkuu maana kuna madili huwa yananipita kushoto coz yanahitaji sana social interaction afu kuna wengine huwa wananichukulia kama naringa. But all in all ni kujikubali tu
 
Ila mimi kwa upande wangu ni kama nishaizoea tu hii hali japokuwa huwa naumia sana mkuu maana kuna madili huwa yananipita kushoto coz yanahitaji sana social interaction afu kuna wengine huwa wananichukulia kama naringa. But all in all ni kujikubali tu
Hii ni kawaida,mimi sehemu Za kazi madogo wananiogopa sana,nawengine wanasema ninadharau,
 
Huko kwenye Kuoa ndo unaelekea kwenye Matatizo zaidi....!!

Watu wa aina Yako hawawezi kuishi na Mwanamke ama Kuoa...! Sababu kubwa ni kwamba wako na Spiritual power (Ambazo ama hujazijua ama hujazisemq) na Wanawake wengi hawawezi kuwa handle Watu wa aina Yako...!

Hauko peke Yako, ila TUPO WACHACHE.
Una hali hii?
 
Back
Top Bottom