benny boy
Member
- Nov 21, 2023
- 41
- 69
Yeah ila mimi nahisi huu soi ugonjwa, ni personality wataalamu wanaita introvert.Hii ni kawaida,mimi sehemu Za kazi madogo wananiogopa sana,nawengine wanasema ninadharau,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah ila mimi nahisi huu soi ugonjwa, ni personality wataalamu wanaita introvert.Hii ni kawaida,mimi sehemu Za kazi madogo wananiogopa sana,nawengine wanasema ninadharau,
JichueKatika maisha yangu yote sijawahi kuwa na marafiki,na sipendi kabisa masuala ya marafiki,hata nikipata tatizo sina rafiki wa kumwambia mtu pekee ninayeweza kumwambia ni mama tu.
Lakini pia si mtu mwepesi wakueleza hisia ama changamoto zangu kirahisi hata kwa mama,huwa namueleza nikiona kabisa hii inaniendea kombo.
Nikikaa na kundi la vijana wenzangu huwa nakuwa msikilizaji tu tena kwa muda flani tu kisha naondoka zangu.
Napenda kujitenga sana na ninaweza kukaa Siku nzima peke yangu bila taabu yoyote ile,nikitumia muda huo kufanya kazi zangu Za kiofisi au nikifanya coding ama kufanya simulation za sakiti mbalimbali kama nipo nje ya majukumu ya kitabibu.
Nikiona mtu anaanza kunizoea huwa namkwepa haraka sana maana sipendi mazoea na watu.
Sehemu ninayoishi wapangaji wenzangu inaweza pita miezi 2 hatuja onana.
Sipendi kabisa kwenda katika matukio ya sherehe na hata ikiwa ni lazima huwa nakuwa mtu wakujitenga sana maana Mara nyingi huwa siambatani na mtu kabisa.
Sipendi kupiga piga picha hovyo kabisa. Napenda sana familia hapo ndio nadhani ni marafiki pekee naweza kudumu não japo sina família.
Japo kuna wakati huwa nakuwa mpweke mno hasa nisipokuwa na na kazi ya kufanya ,hivyo huwa najitahidi kuhakikisha nakuwa na kazi Ya kufanya kila Siku.
Mimi napambana kivyangu na mambo yangu sipendi kumshirikisha mtu kabisa ,ila huwa nakuwa na hisia yakumshirikisha mke tu lakini sina.
Ninaamini kwamba kuwa na marafiki na kujichanganya sana na watu ni njia rahisi ya mimi kujiletee matatizo.
Nafikiria kuoa ili kuepukana na hali hii nadhani itanisaidia.
😁😁, jamani!!
Niko hivyo....!Una hali hii?
Mwanangu kunyonya pedal kutamu just imagine 🤣kuna kipind nilisave Milion 2Kwaiyo unataka upate ushauri kuhusu nini?
Endelea tu na Maisha yako mbona fresh tu na kama vipi usioe kabisa piga tu Nyeto inatosha.
Mimi ni extroverted introvert,nina tabuYeah ila mimi nahisi huu soi ugonjwa, ni personality wataalamu wanaita introvert.
Over my deed bodyJichue
Njia ambayo anona ni rahisi na ninaweza kuenjoy ni kuwa na familia maana naweza kukaa na kucheza não na kutania,kwa kiasi flani nina comedy kwa wanangu na kwa mwanza wangu pale ninapokuwa naye japo ni kwa muda mfupi lakini na furaria,kuishi hivi nahofia kuyumba brain maana natumia muda mwingi kusoma na kazi ,sijawahi kufanikiwa kuwa na marafiki kabisa,nafikiria kuoa ,changamoto Za ndoa nimejipanga kuzi stahimiliKama unachukia hali hiyo basi tafuta namna ya kuachana na hili life. Ila Kama unaenjoy basi hamna shida.
Binafsi, sipendi kuwa around people. Na natamani ningeishi na mama maisha yangu yote sema ndo hivyo.
Ila mimi nina marafiki wawili wa kiume. Sina ukaribu na yeyote hata niliosoma nao nashindwa handle friendship. But naenjoy life na sijawahi kuhitaji zaidi
Nilitoa ushauri huu hapaDah tuunde kundi😁😁
Ndugu yangu,Katika maisha yangu yote sijawahi kuwa na marafiki,na sipendi kabisa masuala ya marafiki,hata nikipata tatizo sina rafiki wa kumwambia mtu pekee ninayeweza kumwambia ni mama tu.
Lakini pia si mtu mwepesi wakueleza hisia ama changamoto zangu kirahisi hata kwa mama,huwa namueleza nikiona kabisa hii inaniendea kombo.
Nikikaa na kundi la vijana wenzangu huwa nakuwa msikilizaji tu tena kwa muda flani tu kisha naondoka zangu.
Napenda kujitenga sana na ninaweza kukaa Siku nzima peke yangu bila taabu yoyote ile,nikitumia muda huo kufanya kazi zangu Za kiofisi au nikifanya coding ama kufanya simulation za sakiti mbalimbali kama nipo nje ya majukumu ya kitabibu.
Nikiona mtu anaanza kunizoea huwa namkwepa haraka sana maana sipendi mazoea na watu.
Sehemu ninayoishi wapangaji wenzangu inaweza pita miezi 2 hatuja onana.
Sipendi kabisa kwenda katika matukio ya sherehe na hata ikiwa ni lazima huwa nakuwa mtu wakujitenga sana maana Mara nyingi huwa siambatani na mtu kabisa.
Sipendi kupiga piga picha hovyo kabisa. Napenda sana familia hapo ndio nadhani ni marafiki pekee naweza kudumu não japo sina família.
Japo kuna wakati huwa nakuwa mpweke mno hasa nisipokuwa na na kazi ya kufanya ,hivyo huwa najitahidi kuhakikisha nakuwa na kazi Ya kufanya kila Siku.
Mimi napambana kivyangu na mambo yangu sipendi kumshirikisha mtu kabisa ,ila huwa nakuwa na hisia yakumshirikisha mke tu lakini sina.
Ninaamini kwamba kuwa na marafiki na kujichanganya sana na watu ni njia rahisi ya mimi kujiletee matatizo.
Nafikiria kuoa ili kuepukana na hali hii nadhani itanisaidia.
Dah! Asante sana mkuu kwa ushauri,ndio maana nimeamua angalau niwe na família yangu Jirani ili wawe marafiki kwangu ,nipate muda wakufanya majadiliano maana kwa kwa sasa ,ni ofisini,workshop ,mbaya zaidi ofisi ni yangu,workshop zangu hivyo hakuna wa ku interact Nae kirahisiNdugu yangu,
Tafadhali usijute kuhusu hiyo Hali, hakika Kuna watu wanahitaji na hawajui wataipataje,
Huko unakohisi kuwa ungekuwepo kungekuwa Bora kuliko huku uliko nikujidanganya.
Mi nilikuwa kama hivo ulivo ww na naweza kusema ni mara mbili yako Nami nikaona hapana huu ni ulemavu ikabidi nijitahidi kujinasua, nikaweza kutoka!
Haki yanani kuwa social Kuna matatizo, changamoto nyingi na huenda unaweza ukachanganyikiwa kabisa.
Kuna faida ndogo saana kuliko hasara zake.
But nakushauri chagua vichache vyakubadilisha Ving Baki navyo.
Ukijichanganya na watu Kuna ujinga mwingi saana
Tena ukiwa introvert ndugu watu watakuheshimu, utafanya mambo yako Kwa utulivu, hakuna atakaekuletea shobo.
Kiukweli natamani kurudi huko ila ndo basi tena.
Kuna Uzi wangu humu niliandika miaka 5 iliyopita ilihusu hiyo Hali na namna gani ninavoichukia, ila saiv najuta kwann niliamua kuhangaika kuondokana na ile Hali.
Yeah! Ila usiogope sana kuhusu future. Fanya maamuzi sahihi kumpata mwandani wako.Njia ambayo anona ni rahisi na ninaweza kuenjoy ni kuwa na familia maana naweza kukaa na kucheza não na kutania,kwa kiasi flani nina comedy kwa wanangu na kwa mwanza wangu pale ninapokuwa naye japo ni kwa muda mfupi lakini na furaria,kuishi hivi nahofia kuyumba brain maana natumia muda mwingi kusoma na kazi ,sijawahi kufanikiwa kuwa na marafiki kabisa,nafikiria kuoa ,changamoto Za ndoa nimejipanga kuzi stahimili
kisirani jumlisha na kiburi cha uzima..weeeh.. ..acha kabisa maana kinakutembea mwenye damu aisee! . Umechagua namna ya kujiongelea ukijua wazi utapata majibu ya usawa huohuo..kule kwengine umenyuti.Hii ni kawaida,mimi sehemu Za kazi madogo wananiogopa sana,nawengine wanasema ninadharau,
Sina kosirani wala kiburi hili namshukuru Mwenye enzi,na siishi kwa kumfurahisha mtu wala kuishi kwa vita na mtu ,sina hayo unayodhania mbali ya mimi kuwa mkimyakisirani jumlisha na kiburi cha uzima..weeeh.. ..acha kabisa maana kinakutembea mwenye damu aisee! . Umechagua namna ya kujiongelea ukijua wazi utapata majibu ya usawa huohuo..kule kwengine umenyuti.
Dizaini yenu nawaelewa vzr na namna ya kudeal nao tukikutana.. ..
Melancholic PhlegmaticKatika maisha yangu yote sijawahi kuwa na marafiki,na sipendi kabisa masuala ya marafiki,hata nikipata tatizo sina rafiki wa kumwambia mtu pekee ninayeweza kumwambia ni mama tu.
Lakini pia si mtu mwepesi wakueleza hisia ama changamoto zangu kirahisi hata kwa mama,huwa namueleza nikiona kabisa hii inaniendea kombo.
Nikikaa na kundi la vijana wenzangu huwa nakuwa msikilizaji tu tena kwa muda flani tu kisha naondoka zangu.
Napenda kujitenga sana na ninaweza kukaa Siku nzima peke yangu bila taabu yoyote ile,nikitumia muda huo kufanya kazi zangu Za kiofisi au nikifanya coding ama kufanya simulation za sakiti mbalimbali kama nipo nje ya majukumu ya kitabibu.
Nikiona mtu anaanza kunizoea huwa namkwepa haraka sana maana sipendi mazoea na watu.
Sehemu ninayoishi wapangaji wenzangu inaweza pita miezi 2 hatuja onana.
Sipendi kabisa kwenda katika matukio ya sherehe na hata ikiwa ni lazima huwa nakuwa mtu wakujitenga sana maana Mara nyingi huwa siambatani na mtu kabisa.
Sipendi kupiga piga picha hovyo kabisa. Napenda sana familia hapo ndio nadhani ni marafiki pekee naweza kudumu não japo sina família.
Japo kuna wakati huwa nakuwa mpweke mno hasa nisipokuwa na na kazi ya kufanya ,hivyo huwa najitahidi kuhakikisha nakuwa na kazi Ya kufanya kila Siku.
Mimi napambana kivyangu na mambo yangu sipendi kumshirikisha mtu kabisa ,ila huwa nakuwa na hisia yakumshirikisha mke tu lakini sina.
Ninaamini kwamba kuwa na marafiki na kujichanganya sana na watu ni njia rahisi ya mimi kujiletee matatizo.
Nafikiria kuoa ili kuepukana na hali hii nadhani itanisaidia.