Mayunga234
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 1,725
- 1,995
- Thread starter
-
- #101
Ufafanuzi, "unalogwa unakuwa ni mtu wa kunuka tu" Kuna Binti alilogwa kila akiingia kwenye daladala watu wanashika pua. Amini usiamini, huo ndio ulimwengu wa roho, yakikupata utaamini. Kumbuka watu ni wengi ila binadamu ni wachache.
Kama wewe ni wakike sawa ila kama ni gentleman ulipaswa umwambie mlengwa kuliko hiki umefanya ni umama.
Kuna dogo alikuja kufanya field alikuwa na tatizo kama ulilosema nili mface akanieleza shida nikichogundua niuchumi ndo ilikuwa tatizo lililopelekea kurudia nguo mfululizo na viatu kupelekea kutoa harufu.
akili finyu ni kushangaa mwanaume kunuka.mwanaume na muda wa kunukia unautoa wapi!!au ndio nyinyi mnagombania vioo na mademu zenu!!
Ikiwa hivyo ujue ana tatizo..ni suala kwenda kumuoma drMtu anakula akikaa dakka kum hal inarud vle vle
Wanafanya kaz gan had wakose mda wakujweka smart
Ninachojua ni kuwa suala la kumbuka mdomo ...utafiti unaonyesha kuwa Kama mtu atasafisha mdomo vizuri...ikiwa kusafisha ulimi..pamoja na kupiga mswaki walau marambili kwa siku...itasaidia suala la mwili ni uzembe na ubahili wa kijinga inabidi watu wanunue body spray...
Huko mbali sana.. angalia hata zeruzeru huwa wana kiharufu chao fulani hivi ...ukitaka kujua kama binadamu tunanuka hata tuwe wasafi kiasi gani, kaa karibu na mtu ambaye anatoka katika race tofauti na yako.
miaka fulani niliwahi ku-date demu wa kizungu. licha usafi wote aliokuwanao na manukato mazuri yote aliyokuwa anajipulizia, bado alikuwa na kiharufu fulani hivi cha kukera ambacho watu weupe karibia wote wanacho.
Dawa mnamezaje?Wewe ndo umetoa thread sasa kwa njia ya comment.
Hii thread ilipaswa iwalaumu Dawasco kwa kukata maji, raia wanashindwa kuoga na kupiga mswaki!!!
Yes umeongea kile mimi nimekiona pia. Na hii imenifanya siwezi kabisa wazungu.ukitaka kujua kama binadamu tunanuka hata tuwe wasafi kiasi gani, kaa karibu na mtu ambaye anatoka katika race tofauti na yako.
miaka fulani niliwahi ku-date demu wa kizungu. licha usafi wote aliokuwanao na manukato mazuri yote aliyokuwa anajipulizia, bado alikuwa na kiharufu fulani hivi cha kukera ambacho watu weupe karibia wote wanacho.
Zipo mouth freshener kijana a.k.a pafyumu za mdomo.[emoji16][emoji16][emoji16] mayb mouth wash
Sio kile kama cha mafua hivi, aisee nilifanya kazi kwa wachina, Kweli ile harufu hadi na leo siwezi kuizoea, inaboa sana.ukitaka kujua kama binadamu tunanuka hata tuwe wasafi kiasi gani, kaa karibu na mtu ambaye anatoka katika race tofauti na yako.
miaka fulani niliwahi ku-date demu wa kizungu. licha usafi wote aliokuwanao na manukato mazuri yote aliyokuwa anajipulizia, bado alikuwa na kiharufu fulani hivi cha kukera ambacho watu weupe karibia wote wanacho.
Nashindwa kuelewa ni Ungonjwa au Uchafu
Asubuh tu unakutana na mtu ananuka Jasho kama fisi la porini na amevaa smart kabisa ila ukipishana nae unaweza kuzimia
Unakutana na mtu smart kapendeza ila ananuka Mdomo na Jasho balaa
Hii kitu Maofisini imezidi watu wananuka midomo na Jasho uwa najiuliza wana shida gani iseee ukiongea na mimi huku unanuka mdomo au jasho dah unanitoa kwenye concentration kabisa cz harufu inaninyima raha kabisa
Ukija mtaani ndo hatari kabisa watu wananuka midomo na jasho dah hivi ni ugonjwa au uchafu
Ukipanda daladala au mwendokasi ndo utaelewa isee harufu zilizopo huko ni hatari sio kunuka mdomo, Jasho plus na nywele kunuka dah
[emoji1621]Tuzingatie Usafi wa mwili na mavazi haipendezi umepiga suit yako then unatoa harufu ya mdomo na Jasho hiyo inashusha heshima sana inafikia stage unakimbiwa na watu wa maana
Uwa najiuliza kama unatoa harufu ya hivo vitu huko down kutakuwa na hali gani Dah
Usafi Muhimu
Wadada wenye makucha kama majini, mnajisafishaje baada ya ule utaratibu wa kushusha mzigo toilet..... mjitafakari....
Jambo moja ulielewe ni kuwa,huwezi kuisikia harufu yako mwenyewe hadi pale itakapokuwa imezidi sana.
Vinginevyo nawe unaweza kuwa unanuka mdomo na miguu ukivua viatu ila hutaojua hadi uambiwe
Sio kile kama cha mafua hivi, aisee nilifanya kazi kwa wachina, Kweli ile harufu hadi na leo siwezi kuizoea, inaboa sana.
Ulichukua namba!? Konekshen mkuu [emoji120]ukitaka kujua kama binadamu tunanuka hata tuwe wasafi kiasi gani, kaa karibu na mtu ambaye anatoka katika race tofauti na yako.
miaka fulani niliwahi ku-date demu wa kizungu. licha usafi wote aliokuwanao na manukato mazuri yote aliyokuwa anajipulizia, bado alikuwa na kiharufu fulani hivi cha kukera ambacho watu weupe karibia wote wanacho.