Mayunga234
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 1,725
- 1,995
- Thread starter
- #81
Mimi nimekaa na wachina dah mkuu zile nguruwe zinanuka balaa, sijawahi kukas na race tofauti na hao wachina nione na wao kama wananuka.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nimekaa na wachina dah mkuu zile nguruwe zinanuka balaa, sijawahi kukas na race tofauti na hao wachina nione na wao kama wananuka.
kwa mwitikio huu, wadau hapo juu wako sahihi kabisa
kiumbe ambaye hapendezi akinuka ni mtoto wa kike tu,wanaume tuna mambo mengi sana kunuka ni kawaida.
tatizo linaanza hapa wewe mwanaume mwenzetu unapokwazika na harufu hizo.
hatuwezi kunukia masaa yote.
sio hao tu, hata wahindi wananuka balaa.
ila nasikia na wao wanadai sisi blacks pia tunanuka.
Dawa nyingi za meno ni fake..hapa wakulaumiwa ni tbs yetu..
Kuhusu mwili kunuka ni uchumi labda wengi wanashindwa kumudu kununua perfume..
na pengine kutokujali tu.. Kuna watu wao wapowapo tu ni wachafu by nature..
Mvua imenyesha ya kutosha jana na leo huko Dar. Muanze kuoga sasa wale mliokuwa mmeenda likizo ya kuoga japo mara mbili kwa siku kwa sababu ya uhaba wa maji.
Halafu wengi wao, wanonuka midomo wanapenda kukusogelea wakati wanakusemesha. Watu wajitahidi usafi wa mwili kuanzia kinywa ni muhimu.
Kuhusu kunuka mdomo(kutoa hewa yenye harufu mbaya) kunaweza kusababishwa na vitu vifuatavyo.
1. Uchafu ulioganda kwenye meno(mabaki ya vyakula)
2. Maambukizi kwenye kinywa (meno na fizi)
3. Maambukizi kwenye Koo na pua.
4. Maambukizi ya bakteria wa vidonda vya tumbo na
5. Kutosafisha kinywa na ulimi kwa umakini.
Kuhusu kunuka jasho,inaweza kusababishwa na mambo yafuatayo.
1. Hali ya hewa ya joto
2. Hulka ya Moto( mwili wenye asili ya kutoa jasho lenye harufu Kali au kunukuka kikwapa hata Kama Hali ya hewa so ya joto)
3. Kutokujisafisha vizuri hasa maeneo yaliyojificha.
4. Kutooga Mara kwa Mara
Mtu anapojigundua kuwa ana tatizo hasa la kunuka mdomo hupoteza ujasiri na huanza kujitenga na watu. Kupona tatizo hilo hutegemea na chanzo chake. Waone wataalumu wa afya
Kunuka ni hulka ya kila kiumbe hai wewe mwenyewe ulipo hapo lazima uwe unanuka ila sema tu huwezi kujitambua kama unatoa harufu
Nguo ziwe safi,zinyooshwe,upige mswaki vizuri ,uoge kisha, paka deodorant ,vaa boksa safi,nguo safi ,soks safi
Pulizia ka perfume kako kiasi
Wanaume wasafi mbarikiwe mtu anakuhug hutaki akuachie
Hakuna kitu kama hicho watu waache uchafu aisee....! Mtu unakuta akicheka meno yamejaa ukungu, ulimi una utandu mweupee, makucha marefu yamejaa uchafu, mtu kama huyo unamteteaje? Tuache uchafu asee
Kunuka mdomo na kutoa harufu Kali ya jasho ni ugonjwa kama magonjwa mengine.ila wakati mwingine kutozingatia usafi wa kinywa na kuoga walau mbili kwa siku husababisha hali hiyo pia.
Vile vimavi vya ulimwengu wa roho vipi? Kila ukiingia mahali penye watu wengi harufu ya yai lililooza inasikika. Au unafuatwa mara kwa mara na wale mainzi makubwa ya chooni. Unajitahidi sana katika usafi ila yote hayo unayo.
Acha kuwa na akil finyu nan atakubal kudate na mwanaume anayenuka
Wewe nuka uone kama ukimbiw
Ungekuwa msafi usingekuwa unaenda chooni na maji
sababu kubwa ya kunuka jasho ni kuwa wengi wa watanzania hawana usafiri wao wengi hutembea kwa miguu na anapofika ofisini anakuwa amelowa na jasho linatoa harufu ila yeye hawezi kulitambua na pia ulaji wa kitunguu swaum kitunguu maji husababisha harufu ya mwili. kwa kunuka mdomo sababu kubwa mtu kupiga mswaki bila dawa hii ina sababisha kutoa harufu hii kipato inachangia pili dawa ya meno nyingi feki unaweza ukapiga na dawa baada ya nusu saa ukajihisi kama hujapiga mswaki tatu kukaa mda mrefu bila kuongea au kutia kitu mdomoni husababisha harufu, wanawake wengi ni wajanja hupenda kutumia chiwing gum ya kutafuna (ubani wa kutafuna ) ili kupoteza harufu ukimuona mwanamke anatumia sana ubani ya kutafuna ujue mvivu kupiga mswaki
Kwa mdomo kunuka hasa usababishwa na vyakula tunavyo kula na mwili kunuka ni maji shidaha kipindi iki
Watu hawali matunda ya kutosha ili kusaidia mchakato wa ndani ya mwili,wanakunywa maji kidogo. Pia muhimu mtu kutumia deodorant kwapani badala yake watu wanatumia body spray kwapani
Tatizo la kunuka mdomo shida itakuwa ni cement kwenye meno,nenda kasafishe hospital.
Ni ngumu Sana kwa watu kukuambia unanuka mdomo au kwapa