Hii hali ya watu kunuka mdomo na jasho ni ugonjwa au ni uchafu

Hii hali ya watu kunuka mdomo na jasho ni ugonjwa au ni uchafu

kiumbe ambaye hapendezi akinuka ni mtoto wa kike tu,wanaume tuna mambo mengi sana kunuka ni kawaida.

tatizo linaanza hapa wewe mwanaume mwenzetu unapokwazika na harufu hizo.
hatuwezi kunukia masaa yote.

Acha kuwa na akil finyu nan atakubal kudate na mwanaume anayenuka
Wewe nuka uone kama ukimbiw
 
Dawa nyingi za meno ni fake..hapa wakulaumiwa ni tbs yetu..

Kuhusu mwili kunuka ni uchumi labda wengi wanashindwa kumudu kununua perfume..

na pengine kutokujali tu.. Kuna watu wao wapowapo tu ni wachafu by nature..

Wangap hawatumi perfume wala spray and they smell good
 
  • Thanks
Reactions: THT
Makalioni au mkunduni?

giphy.gif
 
Kuhusu kunuka mdomo(kutoa hewa yenye harufu mbaya) kunaweza kusababishwa na vitu vifuatavyo.
1. Uchafu ulioganda kwenye meno(mabaki ya vyakula)
2. Maambukizi kwenye kinywa (meno na fizi)
3. Maambukizi kwenye Koo na pua.
4. Maambukizi ya bakteria wa vidonda vya tumbo na
5. Kutosafisha kinywa na ulimi kwa umakini.
Kuhusu kunuka jasho,inaweza kusababishwa na mambo yafuatayo.
1. Hali ya hewa ya joto
2. Hulka ya Moto( mwili wenye asili ya kutoa jasho lenye harufu Kali au kunukuka kikwapa hata Kama Hali ya hewa so ya joto)
3. Kutokujisafisha vizuri hasa maeneo yaliyojificha.
4. Kutooga Mara kwa Mara
Mtu anapojigundua kuwa ana tatizo hasa la kunuka mdomo hupoteza ujasiri na huanza kujitenga na watu. Kupona tatizo hilo hutegemea na chanzo chake. Waone wataalumu wa afya

[emoji106]
 
Nguo ziwe safi,zinyooshwe,upige mswaki vizuri ,uoge kisha, paka deodorant ,vaa boksa safi,nguo safi ,soks safi
Pulizia ka perfume kako kiasi
Wanaume wasafi mbarikiwe mtu anakuhug hutaki akuachie

Kama mim tu Karibu Kigamboni dina
 
Hakuna kitu kama hicho watu waache uchafu aisee....! Mtu unakuta akicheka meno yamejaa ukungu, ulimi una utandu mweupee, makucha marefu yamejaa uchafu, mtu kama huyo unamteteaje? Tuache uchafu asee

Tatizo wengi ni wachafu na hawatak kukubaliana na hali
 
  • Thanks
Reactions: THT
Kunuka mdomo na kutoa harufu Kali ya jasho ni ugonjwa kama magonjwa mengine.ila wakati mwingine kutozingatia usafi wa kinywa na kuoga walau mbili kwa siku husababisha hali hiyo pia.

ok
 
Vile vimavi vya ulimwengu wa roho vipi? Kila ukiingia mahali penye watu wengi harufu ya yai lililooza inasikika. Au unafuatwa mara kwa mara na wale mainzi makubwa ya chooni. Unajitahidi sana katika usafi ila yote hayo unayo.

Umeandka nini sasa hiki bro dah
 
Acha kuwa na akil finyu nan atakubal kudate na mwanaume anayenuka
Wewe nuka uone kama ukimbiw

akili finyu ni kushangaa mwanaume kunuka.mwanaume na muda wa kunukia unautoa wapi!!au ndio nyinyi mnagombania vioo na mademu zenu!!
 
sababu kubwa ya kunuka jasho ni kuwa wengi wa watanzania hawana usafiri wao wengi hutembea kwa miguu na anapofika ofisini anakuwa amelowa na jasho linatoa harufu ila yeye hawezi kulitambua na pia ulaji wa kitunguu swaum kitunguu maji husababisha harufu ya mwili. kwa kunuka mdomo sababu kubwa mtu kupiga mswaki bila dawa hii ina sababisha kutoa harufu hii kipato inachangia pili dawa ya meno nyingi feki unaweza ukapiga na dawa baada ya nusu saa ukajihisi kama hujapiga mswaki tatu kukaa mda mrefu bila kuongea au kutia kitu mdomoni husababisha harufu, wanawake wengi ni wajanja hupenda kutumia chiwing gum ya kutafuna (ubani wa kutafuna ) ili kupoteza harufu ukimuona mwanamke anatumia sana ubani ya kutafuna ujue mvivu kupiga mswaki

Even tho that’s not strong point
 
Watu hawali matunda ya kutosha ili kusaidia mchakato wa ndani ya mwili,wanakunywa maji kidogo. Pia muhimu mtu kutumia deodorant kwapani badala yake watu wanatumia body spray kwapani

Okay
 
Back
Top Bottom