Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Kupiga mswaki sio sabb swala unapigwa vipi! Kun mtu anapiga tako saba tu, isitoshe hagusi ulimi pamoja na kiutelez kinachoshikilia mabaki y chakula kilichokuwepo. Mdomo bhana unahitaj care mno! N mswaki kikawaida kuupiga Mara 2 mkuuWatu wanaoga sana na kupiga mswaki sana ila hizi ni sababu kuu kwa utafiti wangu.
1. Dawa za meno ndo chanzo cha kunuka midomo.
2. Chakula na vinywaji mtu alavyo ndo pia huchangia kunuka mwili.
Imeisha hiyo.
rudi kasome vizuri post yangu.... inaonekana una kichwa kizito cha kuelewa mambo kwa haraka.Ulichukua namba!? Konekshen mkuu
Mzungu tu kama unajisahaulisha aina noma mkuu.. ina Mana kukonekti wabongo wenzio na hao madem w kizungu mpak wavae mashuka y kimasai au!?rudi kasome vizuri post yangu.... inaonekana una kichwa kizito cha kuelewa mambo kwa haraka.
Mkuu unapiga tako 7 sijakuelewa, mi natumia mswaki wa mtu tena napiga mswaki mara chache sana, na scan kwa ulimi wangu haya meno nikiona kuna ukoko ndo nasafisha kwa mti...Kupiga mswaki sio sabb swala unapigwa vipi! Kun mtu anapiga tako saba tu, isitoshe hagusi ulimi pamoja na kiutelez kinachoshikilia mabaki y chakula kilichokuwepo. Mdomo bhana unahitaj care mno! N mswaki kikawaida kuupiga Mara 2 mkuu
Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
Mzungu tu kama unajisahaulisha aina noma mkuu.. ina Mana kukonekti wabongo wenzio na hao madem w kizungu mpak wavae mashuka y kimasai au!?
Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
Mkuu unapiga tako 7 sijakuelewa, mi natumia mswaki wa mtu tena napiga mswaki mara chache sana, na scan kwa ulimi wangu haya meno nikiona kuna ukoko ndo nasafisha kwa mti...
Hizi plastic brush ambazo mnaona ni maendeleo zinataka dawa za meno ambazo mimi nimestaafu kuzitumia
Mdomo huwa unatoa harufu mbaya kwasababu ya ulimi mchafu. Kwahiyo mwenye tatizo hili anatakiwa asugue ulimi mpaka ujirudie rangi yake ya asili yaan pink na jitahidi unaposugua ulimi hemea kwa mdomo ili ufahamu kama bado ulimi wako ni mchafu au tumia kioo kutizama ulimi wako.Nashindwa kuelewa ni Ungonjwa au Uchafu
Asubuh tu unakutana na mtu ananuka Jasho kama fisi la porini na amevaa smart kabisa ila ukipishana nae unaweza kuzimia
Unakutana na mtu smart kapendeza ila ananuka Mdomo na Jasho balaa
Hii kitu Maofisini imezidi watu wananuka midomo na Jasho uwa najiuliza wana shida gani iseee ukiongea na mimi huku unanuka mdomo au jasho dah unanitoa kwenye concentration kabisa cz harufu inaninyima raha kabisa
Ukija mtaani ndo hatari kabisa watu wananuka midomo na jasho dah hivi ni ugonjwa au uchafu
Ukipanda daladala au mwendokasi ndo utaelewa isee harufu zilizopo huko ni hatari sio kunuka mdomo, Jasho plus na nywele kunuka dah
[emoji1621]Tuzingatie Usafi wa mwili na mavazi haipendezi umepiga suit yako then unatoa harufu ya mdomo na Jasho hiyo inashusha heshima sana inafikia stage unakimbiwa na watu wa maana
Uwa najiuliza kama unatoa harufu ya hivo vitu huko down kutakuwa na hali gani Dah
Usafi Muhimu
Mdogo huwa unatoa harufu mbaya kwasababu ya ulimi mchafu. Kwahiyo mwenye tatizo hili anatakiwa asugue ulimi mpaka ujirudie rangi yake ya asili yaan pink na jitahidi unaposugua ilimi hemea kwa mdomo ili ufahamu kama bado ulimi wako ni mchafu au tumia kioo kutizama ulimi wako.
Kuhusu kunuka harufu kali hili unaweza kupunguza kwa kunywa maji mengi.
Sent from my SM-J810F using JamiiForums mobile app
Wewe ni muungwana mno.!Kama wewe ni wakike sawa ila kama ni gentleman ulipaswa umwambie mlengwa kuliko hiki umefanya ni umama.
Kuna dogo alikuja kufanya field alikuwa na tatizo kama ulilosema nili mface akanieleza shida nikichogundua niuchumi ndo ilikuwa tatizo lililopelekea kurudia nguo mfululizo na viatu kupelekea kutoa harufu.
Ulimsaidia? Kuna madogo wanapitia wakati mgumu mno.!Kama wewe ni wakike sawa ila kama ni gentleman ulipaswa umwambie mlengwa kuliko hiki umefanya ni umama.
Kuna dogo alikuja kufanya field alikuwa na tatizo kama ulilosema nili mface akanieleza shida nikichogundua niuchumi ndo ilikuwa tatizo lililopelekea kurudia nguo mfululizo na viatu kupelekea kutoa harufu.
Ukipitia magumu unafunzwa mengi mkuu.Wewe ni muungwana mno.!
siku za wikendi nilimuita kunisaidia vikazi vya part time kinachopatikana tunagawana kimtindo ili msaidia.Ulimsaidia? Kuna madogo wanapitia wakati mgumu mno.!
You are among very few people on the planet! Trust me you gonna get paid higher for what you did.! Huo ndio ubinadamu, huo ndio uanaume, huo ndio udugu wa kweli! [emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109]siku za wikendi nilimuita kunisaidia vikazi vya part time kinachopatikana tunagawana kimtindo ili msaidia.
Amin. Na iwe hivyo kwako pia MkuuYou are among very few people on the planet! Trust me you gonna get paid higher for what you did.! Huo ndio ubinadamu, huo ndio uanaume, huo ndio udugu wa kweli! [emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109]
[emoji3][emoji3]Mtu akikwambia mbele za watu kua unanuka mdomo hata Kama hunuki watu wataona unanuka tu
KheMtu akikwambia mbele za watu kua unanuka mdomo hata Kama hunuki watu wataona unanuka tu
πππMbona ww unanuka mavi lkn tunakuvumilia tu mwamba
Ulishawahi kufanya Kazi na wahindi?Nashindwa kuelewa ni Ungonjwa au Uchafu
Asubuh tu unakutana na mtu ananuka Jasho kama fisi la porini na amevaa smart kabisa ila ukipishana nae unaweza kuzimia
Unakutana na mtu smart kapendeza ila ananuka Mdomo na Jasho balaa
Hii kitu Maofisini imezidi watu wananuka midomo na Jasho uwa najiuliza wana shida gani iseee ukiongea na mimi huku unanuka mdomo au jasho dah unanitoa kwenye concentration kabisa cz harufu inaninyima raha kabisa
Ukija mtaani ndo hatari kabisa watu wananuka midomo na jasho dah hivi ni ugonjwa au uchafu
Ukipanda daladala au mwendokasi ndo utaelewa isee harufu zilizopo huko ni hatari sio kunuka mdomo, Jasho plus na nywele kunuka dah
[emoji1621]Tuzingatie Usafi wa mwili na mavazi haipendezi umepiga suit yako then unatoa harufu ya mdomo na Jasho hiyo inashusha heshima sana inafikia stage unakimbiwa na watu wa maana
Uwa najiuliza kama unatoa harufu ya hivo vitu huko down kutakuwa na hali gani Dah
Usafi Muhimu