Hii hapa mikoa 12 inayoendesha uchumi wa nchi, inamiliki na kushikilia asilimia 70% ya uchumi wa Tanzania

Hii hapa mikoa 12 inayoendesha uchumi wa nchi, inamiliki na kushikilia asilimia 70% ya uchumi wa Tanzania

Hakuna kitu kama hicho, Arusha wanajionaga wa mbele sana. Hivi unajua wanachoringia Arusha ni matajiri wachache wenye hela nyingi ambapo matajiri hawa wachache hawawezi kuwa sehemu kubwa ya maendeleo ya mkoa.
Labda, lakini ujue watu wa Arusha kwa asili ni wachapa kazi.
 
Ruvuma kuna uvunaji mkubwa sana wa Makaa ya mawe unaendelea. Huu uvunaji haina impact ya moja kwa moja kwa mwananchi wa kawaida wa Ruvuma zaidi ya kuongeza mapato ya Mkoa na Taifa. Maisha ya wanaruvuma bado ni duni sana kusema kweli.

Kila mara nasema itungwe sheria kulazimisha sehemu ya mapato yatokanayo na rasilimali ibaki eneo husika ili kusaidia maeneo hayo kiinuka kiuchumi. Kwa sasa wanaruvuma wanashangaa tu malori maelfu kwa maelfu yanasomba mkaa kila uchao bila faida yoyote kwao
Inaumiza sana sana mkoa kama shinyanga, Geita, Mara penye madini mengi ya dhaabu lakin ndiyo kwenye amaskini mkubwa maji tu na shule ni shida hadi huruma na wananchi wanaona kawaida tu alafu tunawasingizia wawekezaji ila jukumu ambalo serikali ilitakiwa kulitekeleza kutoa at a asilimia 10 ya mapato ya madini kuendeleza maeneo ayoo ila imekuwa kama kiini macho tu
 
Kwa muda mrefu Mbeya imekuwa sehemu ya uchumi wa Taifa ila haiendani kabisa na maendeleo ya miundombinu.
Naunga mkono hoja,Tunatakiwa tupate watu kama kina Mwambukusi ambao watausemea Mkoa Wetu.

Haiwezekani Mkoa unachangia Pato la Taifa Kwa kiwango kikubwa kiasi hicho lakini Serikali haiujali.Hii sio sawa mbona Dar,Dodoma.na Arusha wanaojali.

Hii haikubaliki tudai kanuni Mpya ya mgawanyo wa Rasilimali
 
Nahisi Kagera "inaonewa". Mkoa mzuri kama huu usingepaswa kutajwa miongoni mwa mikoa masikini. Nipo kwenye gari naelekea Ngara mjini nikitokea Rulenge. Mkoa ni mzuri sana.
1. Hali ya hewa nzuri!
2. Milima ya kuvutia
3. Ardhi yenye rutuba. Uoto wake na mazao ya migomba unathibitsha hilo.

Sioni sababu ya Kagera kutokuwa "tajiri"
Muonewe Kwa lipi? Nyie ni wavivu.Hayo yote uliyoyaeleza kama hamyatumii kukuza Uchumi alaumiwe nani Sasa , Serikali au? 🤣🤣🤣🤣

Namba hazidanganyi ,punguzeni Maneno fanyeni kazi.Kurundika madegree kama Tibaijula haikuzi kipato.
 
Inaumiza sana sana mkoa kama shinyanga, Geita, Mara penye madini mengi ya dhaabu lakin ndiyo kwenye amaskini mkubwa maji tu na shule ni shida hadi huruma na wananchi wanaona kawaida tu alafu tunawasingizia wawekezaji ila jukumu ambalo serikali ilitakiwa kulitekeleza kutoa at a asilimia 10 ya mapato ya madini kuendeleza maeneo ayoo ila imekuwa kama kiini macho tu
Tudai kanuni Mpya na za wazi za mgawanyo wa Rasilimali,wanaozalisha wanapuuzwa ila wasiozalisha ndio wanapewa kipaombele
 
Unafikiri ni kwa nini?
Sababu mojawapo ni kutokuwa na kanuni maalumu ya kugawa Rasilimali na pia mambo ya kisiasa.

Mbeya ni Moja ya Mikoa mizuri sana Kwa Utalii ila imeharibiwa na kupuuzwa makusudi.

Licha ya kuwaganywa imeendelea kubakia namba 3 Kwa Tanzania.
 
Ikibidi kurudi kujihakikishia jina ya mwanzisha mada.
Leo umeandika kwa akili zako, japo inaweza kuwa si zote.
Kwa siku za usoni Songwe na Njombe zinaweza kuonekana.
Nahisi kuna mikoa inadidimizwa makusudi
 
Siasa za nchi hii ni za ajabu sana, mikoa mingi inazalisha pato kubwa kwa ajili ya taifa lakini ina umasikini wa kutupwa.
Nakubaliana na mchangia mada hapo juu kufanywe mageuzi katika sera ya mgawanyo wa keki ya taifa.
 
Ikibidi kurudi kujihakikishia jina ya mwanzisha mada.
Leo umeandika kwa akili zako, japo inaweza kuwa si zote.
Kwa siku za usoni Songwe na Njombe zinaweza kuonekana.
Nahisi kuna mikoa inadidimizwa makusudi
Sijawahi andika mada ambayo Haina akili ,Mimi Huwa sushikiwi akili za mob.

Hiyo Mikoa umeitaja iko mbali sana na uhalisia labda Njombe ila Kwa Songwe sioni jipya.
 
Siasa za nchi hii ni za ajabu sana, mikoa mingi inazalisha pato kubwa kwa ajili ya taifa lakini ina umasikini wa kutupwa.
Nakubaliana na mchangia mada hapo juu kufanywe mageuzi katika sera ya mgawanyo wa keki ya taifa.
Tuwe na kanuni za uwazi kama ilivyo USA badala ya Baadhi ya Mikoa kupewa keki zaidi tena ya kutoka Mikoa mingine kanakwamba watu wa Mikoa hiyo hawana mahitaji.
 
Tuwe na kanuni za uwazi kama ilivyo USA badala ya Baadhi ya Mikoa kupewa keki zaidi tena ya kutoka Mikoa mingine kanakwamba watu wa Mikoa hiyo hawana mahitaji.
Hata mgawanyo wa huduma za kijamii zinawekwa sehemu moja matokeo yake mji mmoja unakuwa na 10%+ ya population ya watanzania wote na kuleta jam isiyokuwa na maana.
 
Nahisi Kagera "inaonewa". Mkoa mzuri kama huu usingepaswa kutajwa miongoni mwa mikoa masikini. Nipo kwenye gari naelekea Ngara mjini nikitokea Rulenge. Mkoa ni mzuri sana.
1. Hali ya hewa nzuri!
2. Milima ya kuvutia
3. Ardhi yenye rutuba. Uoto wake na mazao ya migomba unathibitsha hilo.

Sioni sababu ya Kagera kutokuwa "tajiri"
Waache uchawi
 
Unajifunga mwenyewe, umeweka ushahidi dodoma ya kwanza ya pili Arusha, kwenye attachments zako halafu sasa kwenye post yako umekosea kuandika eti DSM ndio yakwanza
 
Back
Top Bottom