mazaga one
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 2,514
- 4,042
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kada wa CCM 😄😄😄 Aise umefikiria niniMwaka mzima, nilinunua Hisense, nikaitupia uvunguni mpaka nilipomuuzia jamaa mmoja kada wa ccm
Hisense ni nzuri kwa mtu mwenye mid range budget, unaweza kukutana na zilizotokq nchi nyingine pia maana viwanda ni vingi
Sema hii OS yao ViDAA cheche sana kmmk haina maajabu kabisa zaidi ya Netflix na YouTube.Hisense ni nzuri kwa mtu mwenye mid range budget, unaweza kukutana na zilizotokq nchi nyingine pia maana viwanda ni vingi
Unaweza ku download apps nyingine piaSema hii OS yao ViDAA cheche sana kmmk haina maajabu kabisa zaidi ya Netflix na YouTube.
Unadownload kupita google au?Unaweza ku download apps nyingine pia
Kuna dogo anayapenda hayo madude kauza TV kali ya LG kaenda kununua Alitope na spika la AborderAlitop na Skyworth lakini pia bei zao ni nzuri unaweza kumiliki 43" below 450k price; Aborder wanakupa durability nzuri pia.
SAMSUNG wako vizuri kwa mambo mengi. LG ni wa ovyo sana. Nilinunua mredio gwao gukubwaaa. Miezi mitatu tu ikaanza kuzingua haipigi kwenye frash. Huku na kule nikaisafirisha toka mkoa kuwapelekea wenyewe LG kisutu nakumbuka. Kufungua tu wanakuchaji elfu 30(Firigisi zao). Ikaja wakaniambia imeungua nafikiri transiter kama hivyo. (Ni kitambo). Tukatafuta kile kifaa ziro. Wenyewe kuniagizia kile kifaa mpaka kuja kunifungia inakuja karibiana na bei karibiana na radio kama ile mpya. Mpaka leo limebaki kopo likiwa bado jipya.Hata siku moja msijidanganye kwenye ulimwengu wa electronics especial TV's kwasasa kumlinganisha Samsung na hao wengine. LG ni wabovu sana tena kwenye vioo.
Kuna vidaa store hapoUnadownload kupita google au?
Warranty ni miaka miwili, kwa nini ukubali kuchajiwa pesa kwa matengenezo?SAMSUNG wako vizuri kwa mambo mengi. LG ni wa ovyo sana. Nilinunua mredio gwao gukubwaaa. Miezi mitatu tu ikaanza kuzingua haipigi kwenye frash. Huku na kule nikaisafirisha toka mkoa kuwapelekea wenyewe LG kisutu nakumbuka. Kufungua tu wanakuchaji elfu 30(Firigisi zao). Ikaja wakaniambia imeungua nafikiri transiter kama hivyo. (Ni kitambo). Tukatafuta kile kifaa ziro. Wenyewe kuniagizia kile kifaa mpaka kuja kunifungia inakuja karibiana na bei karibiana na radio kama ile mpya. Mpaka leo limebaki kopo likiwa bado jipya.
Wapo vizuri, hao ndio TCL unaowaona mjiniVipi kuhusu Hitachi sija ona uki wataja?
Sio frash tu mkuu nafikiri ilikuwa haiwaki kabisa ukichomeka kwenye umeme. Na bahati mbaya niliwaamini hata risit zao nikazimiss place.Warranty ni miaka miwili, kwa nini ukubali kuchajiwa pesa kwa matengenezo?
Lakini pia sehemu ya flash tu kuharibika ndio usitumie redio tena?
OkayKuna vidaa store hapo
Apps gani kaka? Store yao kuna mataka taka tu hayaeleweki... Au kuna namna ya kusideload apps zingine muhimu kutoka third party store?Unaweza ku download apps nyingine pia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna dogo anayapenda hayo madude kauza TV kali ya LG kaenda kununua Alitope na spika la Aborder
Kumbe Hitachi Wana jiita tcl siku hizi?, aisee sikujua hili.Wapo vizuri, hao ndio TCL unaowaona mjini
Store yao uki search pale zinakujaSio frash tu mkuu nafikiri ilikuwa haiwaki kabisa ukichomeka kwenye umeme. Na bahati mbaya niliwaamini hata risit zao nikazimiss place.