Koffi Annan
JF-Expert Member
- Dec 23, 2018
- 1,771
- 5,087
- Thread starter
- #221
Zipo kuanzia 55" ambapo unapata about 2.3 na kuendelea madukan1.2M napata Samsung QLED 50'
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zipo kuanzia 55" ambapo unapata about 2.3 na kuendelea madukan1.2M napata Samsung QLED 50'
Zipo kuanzia 55" Mkuu kwa hiyo beiMkuu kwani 50 inch NanoCell hamna mjini hapa? Na kama zipo ziko bei ngapi?
Ni sawa ndo bei ya retail hiyo, mimi naweza kukupa kwa 1.8Koffi Annan hapa nimeona TCL C655 model ni mashine, ni kujichapa hiyo inchi 65 maisha yawe mepesi. Maduka ya Dar naona wanauza Tshs. 1.9m vipi wako sawa?
Iangalie zaidi hapa
Hapo chukua TCL mkuu, nitakupa kwa 1.2MKwa mliowahi kutumia HISENSE au TCL zikoje hizi quality yake ya sound na quality ya picha? Nataka nichukue 55"
Zipo na bei zake zimechangamka kama Samsung tu, niambie unataka inches ngapi nikupe beiHivi Hitachi zilikufa mkuu?
Ndiyo ana picha kali ila hao wakubwa zake ni Better according to users experienceMbona wadau huku nje wanasema Hisense ndio picha kali na HD yake haiishi
Mkuu sijui unatumia TV gani, binafsi nilitumia LG 86inch NanoCell ikafanya mstari kwenye kioo sababu ya watoto, nikafanya window shopping comparison kati ya Samsung na LG, nikaangukia LG OLED 77inch kiukweli sijaona TV yenye kumfikia LG OLEDHata siku moja msijidanganye kwenye ulimwengu wa electronics especial TV's kwasasa kumlinganisha Samsung na hao wengine. LG ni wabovu sana tena kwenye vioo.
Upo sehemu ganiHapo chukua TCL mkuu, nitakupa kwa 1.2M
Kwangu tv huwa inazimwa muda wa kulala tu, hiyo Rising inapiga kazi zaidi ya masaa 15 kila siku sababu kuna binti wa kazi anaangalia mambo yake muda wote mpaka muda ntaorudi mimi na wife nasi tunaendelea na vipindi vyetu na mzigo haujawahi kuleta shida. Acheni kuishi kwa kukariri, teknolojia imekuwa sana siku hizi.Mkuu hiyo Risingi ipigishe ON masaa 20+ alaf mchukua LG ama Samsung mpigishe masaa hayo hayo alafu uone nan atakufa mapema
Durability always mchina hana hiyo kanuni
Huu ndo ukweli.Nimekuja gundua izi brand watu wanazo ziponda kama ailoyn na aborder ni nzuri upande wa picha very clear
Hapo nenda service centre ukiwa na model number au piga simu dukani wakuulizie, ila most likely bei ya kioo kipya huwa inakaribiana na bei ya TVmkuu mm naulizia kioo cha hisense 43" bei gani
Mkuu sina duka ila kama unataka tufanye biashara niambie nikuachie namba ya simu PM tuongeeUpo sehemu gani
Kwako unauzaje iyo evvol 43 smart ya 4kKaribu Mkuu ununue kwangu Vicenza
Safi sana ulimpiga chukua chakoMwaka mzima, nilinunua Hisense, nikaitupia uvunguni mpaka nilipomuuzia jamaa mmoja kada wa ccm
MapemaaaaSafi sana ulimpiga chukua chako
Goodvision inch 32 bei gani?Mkuu sina duka ila kama unataka tufanye biashara niambie nikuachie namba ya simu PM tuongee