Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,503
- 13,463
Mkuu kwani 50 inch NanoCell hamna mjini hapa? Na kama zipo ziko bei ngapi?Andaa 1.7 uchukue 55"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kwani 50 inch NanoCell hamna mjini hapa? Na kama zipo ziko bei ngapi?Andaa 1.7 uchukue 55"
Mkuu unajua kusoma tu, kuelewa ulichosoma aaahKwamba rising ni nzuri mkuu
Nano zipo kuanzia 55, sawa na qned na oled, japokua masoko ya nje zipo mpaka 43"Mkuu kwani 50 inch NanoCell hamna mjini hapa? Na kama zipo ziko bei
Vp mkuu hizi za evvol zipoje maana nilitaka nichukue nilienda dukani kwao nikaambiwa zimeishaKk vip,hii ya kwako ni brand gan,ya kwangu uku ni mawingu tu, evvoli 43" smart
Yes nami nazikubali zipo vzr ila sijajua kwa upande wa picha quality yake ipo vzr mkuu like hisense au au ndo za kucompare na solar na rising tuTafuta Evvoli OG (kama bado zipo) utanishukuru baadaye. Mi ninayo mwaka wa saba huu bonge la tv. Nimehamahama nayo mara kibao inajipigiza ila ukifunga na kuwasha iko fresh tu
Hivi Hitachi zilikufa mkuu?Kila mtu anapenda kumiliki kitu kizuri ila baadhi kipato hakiruhusu, hii imepelekea kuwepo kwa bidhaa za kila aina sokoni ili kubeba pesa yoyote mteja aliyonayo. Kwa upande wa TV zipo kampuni nyingi sana na hapa nazigawa kwenye makundi matatu
1. Samsung LG SONY Panasonic
2. TCL Hisense Haier
3. Alitop Aborder Ailyons Solarmax Skyworth Mr.UK Mewe Boss e.t.c
Kutoka kundi namba moja TV ambazo zimezoeleka sana ni LG na Samsung, tofauti ya hawa wawili LG anakupa picha kali (real 4K) wakati Samsung anakupa picha kali pamoja na frame kali kuliko frame ya LG. LG anakupa durability na kioo chake ni kigumu kupasuka kuliko Samsung.
LG wanakupa series 4 ambazo ni (UHD NANOCELL QNED OLED) Samsung wao wana (UHD QLED OLED)
Bei zake zinapanda kulingana na latest series, kumiliki TV za kundi hili lazima uwe una pesa kulingana na series unayotaka pamoja na inches ngapi unahitaji na ndio TV zenye bei kubwa zaidi sokoni.
Namba mbili tukianza na TCL ni TV nzuri ambayo kama unapenda kitu kizuri na umeshindwa kufika bei ya hapo juu, TCL wanakupa picha nzuri pia inadumu ukiweka ndani ni mkataba.
Tukija kwenye hisense wenyewe wana series za bei ndogo na kubwa, hawa jamaa wana TV nzuri kulingana na bei zao ila quality yake haiwafikii hao wazee hapo juu, pia ndio TV ambazo zinauza sana sokoni kwa sasa kutokana na jina lakini pia bei zao zinaendana na watu wa uchumi wa kati, hawa jamaa baadhi ya series zao zinarudi sana kwa fundi ila ukiotea ni mkataba.
Haier wenyewe wamekuja karibuni kwenye soko la Tanzania na wanafanya vizuri, bei zao zipo chini kidogo ya Hisense, ukikosa pesa ya kununua hisense basi kimbilia hapa kabla hujafika namba tatu kwa wachina wenyewe.
Kundi namba tatu nimeweka kampuni za kichina zilizojaa sokoni, hawa wameamua kumuuliza mteja ana bei gani kisha watengeneze bidhaa, kwa hili kundi TV yenye picha nzuri ni Alitop na Skyworth lakini pia bei zao ni nzuri unaweza kumiliki 43" below 450k price; Aborder wanakupa durability nzuri pia.
Uliza swali lolote kwenye coments kulingana na mada, ukitaka kujua bei weka kampuni gani na inches ngapi, lakini pia series kama haufahamu uliza nitajibu.
Ciao
Kweli mjinga wewe!AMVO nch 32 najuuuuuta kuinunua.
Ubahili huu.niliambiwa hisense nchi 32 laki nne na ishirini.amvo laki 3.si nikajichanya.nikachukua amvo na hela nilikuwa nayo.
Ni stock za mda kwaiyo si rahic uzikute dukan,wengi wanaangalia soko wateja wanapenda brand kama izo TCL Hisense Samsung nkVp mkuu hizi za evvol zipoje maana nilitaka nichukue nilienda dukani kwao nikaambiwa zimeisha
Poa mkuu nitachek mzigo wao mpya watakao leta utakuajeNi stock za mda kwaiyo si rahic uzikute dukan,wengi wanaangalia soko wateja wanapenda brand kama izo TCL Hisense Samsung nk
Evvoli ni nzuri ila chukua ya 1080p na kuendelea,Mimi ninayo ya 1080i ila natakaka ni upgrade ninunue 4k
Vip kuhusu tv za Itel?Kila mtu anapenda kumiliki kitu kizuri ila baadhi kipato hakiruhusu, hii imepelekea kuwepo kwa bidhaa za kila aina sokoni ili kubeba pesa yoyote mteja aliyonayo. Kwa upande wa TV zipo kampuni nyingi sana na hapa nazigawa kwenye makundi matatu
1. Samsung LG SONY Panasonic
2. TCL Hisense Haier
3. Alitop Aborder Ailyons Solarmax Skyworth Mr.UK Mewe Boss e.t.c
Kutoka kundi namba moja TV ambazo zimezoeleka sana ni LG na Samsung, tofauti ya hawa wawili LG anakupa picha kali (real 4K) wakati Samsung anakupa picha kali pamoja na frame kali kuliko frame ya LG. LG anakupa durability na kioo chake ni kigumu kupasuka kuliko Samsung.
LG wanakupa series 4 ambazo ni (UHD NANOCELL QNED OLED) Samsung wao wana (UHD QLED OLED)
Bei zake zinapanda kulingana na latest series, kumiliki TV za kundi hili lazima uwe una pesa kulingana na series unayotaka pamoja na inches ngapi unahitaji na ndio TV zenye bei kubwa zaidi sokoni.
Namba mbili tukianza na TCL ni TV nzuri ambayo kama unapenda kitu kizuri na umeshindwa kufika bei ya hapo juu, TCL wanakupa picha nzuri pia inadumu ukiweka ndani ni mkataba.
Tukija kwenye hisense wenyewe wana series za bei ndogo na kubwa, hawa jamaa wana TV nzuri kulingana na bei zao ila quality yake haiwafikii hao wazee hapo juu, pia ndio TV ambazo zinauza sana sokoni kwa sasa kutokana na jina lakini pia bei zao zinaendana na watu wa uchumi wa kati, hawa jamaa baadhi ya series zao zinarudi sana kwa fundi ila ukiotea ni mkataba.
Haier wenyewe wamekuja karibuni kwenye soko la Tanzania na wanafanya vizuri, bei zao zipo chini kidogo ya Hisense, ukikosa pesa ya kununua hisense basi kimbilia hapa kabla hujafika namba tatu kwa wachina wenyewe.
Kundi namba tatu nimeweka kampuni za kichina zilizojaa sokoni, hawa wameamua kumuuliza mteja ana bei gani kisha watengeneze bidhaa, kwa hili kundi TV yenye picha nzuri ni Alitop na Skyworth lakini pia bei zao ni nzuri unaweza kumiliki 43" below 450k price; Aborder wanakupa durability nzuri pia.
Uliza swali lolote kwenye coments kulingana na mada, ukitaka kujua bei weka kampuni gani na inches ngapi, lakini pia series kama haufahamu uliza nitajibu.
Ciao
Na unajipenda unashkisha makada vitu feki?Mwaka mzima, nilinunua Hisense, nikaitupia uvunguni mpaka nilipomuuzia jamaa mmoja kada wa ccm
Ni kwa sababu hizo stations unazoangalia hazirushi matangazo kwa teknolojia ya 4K.Ni Kwa nn dstv chanel zao ni ukungu? Jana nikasema nipite maduka wanayouza tv nikakuta TCL 4k
wameweka mpira , super sport,nikamwambia aweke tbc akaweka ,ikawa inaonyesha wingu kama TV yangu ya maskani evvoli 43" smart ,akaweka tena wasafi ndio kabisa ni mawingu .ila tv ni 4k
Sasa najiuliza inakuwaje tv ni 4k ila ukiweka channel za tv ni mawingu?
Hapo auna blackboard tu kakaRising Android tv nchi 43 naenjoy mno, picha kali na nimekaa nayo muda mrefu tu. Nyie emdeleeni kununua majina ila mchina anakuja na mizigo mikali sana siku hizi.
Mimi nina hii model 43 uj651v mpka leo sifikirii lolote alafu mtu nanasema lg wabovu reallyNdio maana umenistua, hiyo model hata bongo haijauzwa
Vicenza Nahisi umeelewa vizuri kabisaNi kwa sababu hizo stations unazoangalia hazirushi matangazo kwa teknolojia ya 4K.
Ili uone picha ya 4K, lazima video unayotazama iwe ilisafirishwa (rendered) kwa 4K resolution na pia kifaa unachotumia kupitishia hiyo video kiwe cha 4K pia.
Sasa dekoda za dstv na hizo za azam nk sio za 4K, bali za HD tu ile ya 1080p, hapo huwezi ona picha ya 4K. Na hata ungenunua dekoda yenye uwezo wa 4K bado picha za TBC na Wasafi nk zingekua mbaya maana kituoni kwao hawarushi matangazo ya 4K.
Nafikiri nimeeleweka mkuu. Channel za DSTV za HD ukiweka kwenye hiyo tv utaona ni angavu sana, mfano, Ch. 223, 132 nk