Koffi Annan
JF-Expert Member
- Dec 23, 2018
- 1,771
- 5,087
- Thread starter
- #21
98" Samsung= 16MUnauza wewe mkuu?. SAMSUNG 100" na 60" hiyo bei gani
65" Samsung= 3.1M
Zote ni QLED Series ya pili kwa ubora.
Hawana production ya 100" na 60"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
98" Samsung= 16MUnauza wewe mkuu?. SAMSUNG 100" na 60" hiyo bei gani
Ukweli Samsung ni wazuri sana, ila ukiwasifia usiku huu kesho asubuhi bei juuHata siku moja msijidanganye kwenye ulimwengu wa electronics especial TV's kwasasa mkamlinganisha Samsung na hao wengine. LG ni wabovu sana tena kwenye vioo.
NiceRising Android tv nchi 43 naenjoy mno, picha kali na nimekaa nayo muda mrefu tu. Nyie emdeleeni kununua majina ila mchina anakuja na mizigo mikali sana siku hizi.
Samsung wana bei za ulimwengu waoUkweli Samsung ni wazuri sana, ila ukiwasifia usiku huu kesho asubuhi bei juu
Nimesikia kuwa Hisense huwa zinatoka sana mistari hasa kuanzia inch 43 kwenda juuKila mtu anapenda kumiliki kitu kizuri ila baadhi kipato hakiruhusu, hii imepelekea kuwepo kwa bidhaa za kila aina sokoni ili kubeba pesa yoyote mteja aliyonayo. Kwa upande wa TV zipo kampuni nyingi sana na hapa nazigawa kwenye makundi matatu
1. Samsung LG SONY Panasonic
2. TCL Hisense Haier
3. Alitop Aborder Ailyons Solarmax Skyworth Mr.UK Mewe Boss e.t.c
Kutoka kundi namba moja TV ambazo zimezoeleka sana ni LG na Samsung, tofauti ya hawa wawili LG anakupa picha kali (real 4K) wakati Samsung anakupa picha kali pamoja na frame kali kuliko frame ya LG. LG anakupa durability na kioo chake ni kigumu kupasuka kuliko Samsung.
LG wanakupa series 4 ambazo ni (UHD NANOCELL QNED OLED) Samsung wao wana (UHD QLED OLED)
Bei zake zinapanda kulingana na latest series, kumiliki TV za kundi hili lazima uwe una pesa kulingana na series unayotaka pamoja na inches ngapi unahitaji na ndio TV zenye bei kubwa zaidi sokoni.
Namba mbili tukianza na TCL ni TV nzuri ambayo kama unapenda kitu kizuri na umeshindwa kufika bei ya hapo juu, TCL wanakupa picha nzuri pia inadumu ukiweka ndani ni mkataba.
Tukija kwenye hisense wenyewe wana series za bei ndogo na kubwa, hawa jamaa wana TV nzuri kulingana na bei zao ila quality yake haiwafikii hao wazee hapo juu, pia ndio TV ambazo zinauza sana sokoni kwa sasa kutokana na jina lakini pia bei zao zinaendana na watu wa uchumi wa kati, hawa jamaa baadhi ya series zao zinarudi sana kwa fundi ila ukiotea ni mkataba.
Haier wenyewe wamekuja karibuni kwenye soko la Tanzania na wanafanya vizuri, bei zao zipo chini kidogo ya Hisense, ukikosa pesa ya kununua hisense basi kimbilia hapa kabla hujafika namba tatu kwa wachina wenyewe.
Kundi namba tatu nimeweka kampuni za kichina zilizojaa sokoni, hawa wameamua kumuuliza mteja ana bei gani kisha watengeneze bidhaa, kwa hili kundi TV yenye picha nzuri ni Alitop na Skyworth lakini pia bei zao ni nzuri unaweza kumiliki 43" below 450k price; Aborder wanakupa durability nzuri pia.
Uliza swali lolote kwenye coments kulingana na mada, ukitaka kujua bei weka kampuni gani na inches ngapi, lakini pia series kama haufahamu uliza nitajibu.
Ciao
samsung always kwenye kioo n mbabe sana sio TV wala simu zake.. Apple wenyewe wanafata vioo kwa samsungHata siku moja msijidanganye kwenye ulimwengu wa electronics especial TV's kwasasa mkamlinganisha Samsung na hao wengine. LG ni wabovu sana tena kwenye vioo.
Wote ni sawa, bado wauzaji wana rate case chache sana za kuharibika kwa vioo vya hizi TVWhat about Led series? Oled sio wengi wanaitumia kama ilivyo kwa Led
Hawana bei sema tu wauzaji wanapandisha bei mnoo kulingana na sifa za products za SamsungSamsung wana bei za ulimwengu wao
Ok basi sawa mkuu. Nitakuona. Nina uhitaji wa Tv. Hiyo namba 2 yenye ubora. 65" inacheza na ngapi?98" Samsung= 16M
65" Samsung= 3.1M
Zote ni QLED Series ya pili kwa ubora.
Hawana production ya 100" na 60"
Kutoka Hisense ninachokiamini kinafanya kazi vizuri ni washing mashine pekee.Nimesikia kuwa Hisense huwa zinatoka sana mistari hasa kuanzia inch 43 kwenda juu
Kwa hiyo bei ungeongeza 40k ungepata Alitop 43" ina kioo kizuri sana kwa hizi kampuni za kichinaAMVO nch 32 najuuuuuta kuinunua.
Ubahili huu.niliambiwa hisense nchi 32 laki nne na ishirini.amvo laki 3.si nikajichanya.nikachukua amvo na hela nilikuwa nayo.
LG kwenye case ya kuharibika vioo inaongoza. Nawafahamu LG tangu wakati wanaitwa Goldstar kule ndio walikuwa na products nzuri sana.Wote ni sawa, bado wauzaji wana rate case chache sana za kuharibika kwa vioo vya hizi TV
Hiyo hapo 3.1Ok basi sawa mkuu. Nitakuona. Nina uhitaji wa Tv. Hiyo namba 2 yenye ubora. 65" inacheza na ngapi?
1.5M kwa UHD series, kama unataka latest series nikuelezee na bei zake pia.Bei ya LG inch 55.
Mkuu hiyo Risingi ipigishe ON masaa 20+ alaf mchukua LG ama Samsung mpigishe masaa hayo hayo alafu uone nan atakufa mapemaRising Android tv nchi 43 naenjoy mno, picha kali na nimekaa nayo muda mrefu tu. Nyie emdeleeni kununua majina ila mchina anakuja na mizigo mikali sana siku hizi.
Weka na bei ya Samsung 55 UHD series ikiwa ni TU au MU1.5M kwa UHD series, kama unataka latest series nikuelezee na bei zake pia.
Inategemea mkuu, watanzania akiharibikiwa kitu nyumbani kwake anafanya generalisation kisha kila mtu anamweleza hivo muda mwingine unakuta yeye ndiye aliyekosea matumizi, Hisense wana hizo case ila kwa latest series zao hiyo case haipo sanaNimesikia kuwa Hisense huwa zinatoka sana mistari hasa kuanzia inch 43 kwenda juu
LG sitaki hata kuwasikia. Kampuni ya uongo sana hiyoLG kwenye case ya kuharibika vioo inaongoza. Nawafahamu LG tangu wakati wanaitwa Goldstar kule ndio walikuwa na products nzuri sana.
Hizi from 1.7 madukaniWeka na bei ya Samsung 55 UHD series ikiwa ni TU au MU