Hii hela ya Field tunayotoa Watu wa Diploma mbona ni kama wizi

Hii hela ya Field tunayotoa Watu wa Diploma mbona ni kama wizi

Ryan The King

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
2,788
Reaction score
2,690
Wakubwa shikamoo
Tuliolingana Mambo Vipi!!

Wakuu naomba nipo mwaka wa tatu, nasomea Diploma ya Clinacal Officer, CO

Wiki ijayo tunaenda Field

Sasa kinachonishangaza ni hizi gharama za Field tulizoambiwa tutoa
Hapa chuoni kwetu kuna wanaotoa 170,000, wengine 180,000 mpaka 200,000

Hizo hela ati zinapelekwa kwenye hizo hospitali tunazoenda kufanyia Field
Kwani wanasema tutatumia vifaa vyao kama vile Gloves nk

Sasa nikauliza sisi huko Field si tunaenda kufanya kazi na kujifunza Papo hapo. Tunaenda kutibu na kama Gloves au vifaa tutakaovitumia si tutatumia kwa kuzalishia uchumi wa hospitali husika?

Badala sisi ndio tupewe posho au tusitoe chochote kwa maana ya gharama kwani nao wananufaika kupitia kazi zetu

Wakubwa zangu embu naomba kueleweshwa

Na pia naona kama kuna kawizi kanaendelea

Natanguliza shukrani
 
Wakubwa shikamoo
Tuliolingana Mambo Vipi!!

Wakuu naomba nipo mwaka wa tatu, nasomea Diploma ya Clinacal Officer, CO

Wiki ijayo tunaenda Field

Sasa kinachonishangaza ni hizi gharama za Field tulizoambiwa tutoa
Hapa chuoni kwetu kuna wanaotoa 170,000, wengine 180,000 mpaka 200,000

Hizo hela ati zinapelekwa kwenye hizo hospitali tunazoenda kufanyia Field
Kwani wanasema tutatumia vifaa vyao kama vile Gloves nk

Sasa nikauliza sisi huko Field si tunaenda kufanya kazi na kujifunza Papo hapo. Tunaenda kutibu na kama Gloves au vifaa tutakaovitumia si tutatumia kwa kuzalishia uchumi wa hospitali husika?

Badala sisi ndio tupewe posho au tusitoe chochote kwa maana ya gharama kwani nao wananufaika kupitia kazi zetu

Wakubwa zangu embu naomba kueleweshwa

Na pia naona kama kuna kawizi kanaendelea

Natanguliza shukrani
Kama unadhania unaibiwa, acha usilipe na field usifanye. Hizo gharama ni ndogo sana ukilinganisha na gharama za mafunzo kwa vitendo.
Huko hospitality utaharibu vifaa vya watu, hiyo gharama itafidia, huko field utasimamiwa na kuelekeza, hizo gharama zitafidia, huko field utakuja kufanyiwa assessment na madaktari na wakufunzi wako, pote ni hizo hizo gharama. Laki Mbili kwa Field ya Clinical Officers ni sawa na bure. Hicho chuo wapandishe ifikie japo Mil. 1.
Umedahiriwa chuo sio hapa Jamii Forum na Udaktari ni taaluma inayohitaji Uadirifu mkubwa. Gharama za field unazianika hapa Jamii Forum, ukiwafanyia upasuaji wake zetu si utatuma picha Facebook?. Mie nadhani umesoma course usiyostahili, ungesomea Political Science ili uwe mwanasiasa.
 
SEREKALI ITUPIE MACHO MAMBO HAYA MZAZI ANAKUWA AMESHA JIKUNGUTA KULIPIA MAELA CHUNGU TELE,VYUO BINAFSI KUWENI NA HURUMA,SIAMINI KAMA GHARAMA ZA FIELD ZINAWEZA ZIDI 50000 PAMOJA NA USAFIRI WA KUWAPELEKA ENEO LA TUKIO
 
Kama unadhania unaibiwa, acha usilipe na field usifanye. Hizo gharama ni ndogo sana ukilinganisha na gharama za mafunzo kwa vitendo.
Huko hospitality utaharibu vifaa vya watu, hiyo gharama itafidia, huko field utasimamiwa na kuelekeza, hizo gharama zitafidia, huko field utakuja kufanyiwa assessment na madaktari na wakufunzi wako, pote ni hizo hizo gharama. Laki Mbili kwa Field ya Clinical Officers ni sawa na bure. Hicho chuo wapandishe ifikie japo Mil. 1.
Umedahiriwa chuo sio hapa Jamii Forum na Udaktari ni taaluma inayohitaji Uadirifu mkubwa. Gharama za field unazianika hapa Jamii Forum, ukiwafanyia upasuaji wake zetu si utatuma picha Facebook?. Mie nadhani umesoma course usiyostahili, ungesomea Political Science ili uwe mwanasiasa.
Mkuu umeongea point..
Kwanza umemfafanulia icho kiasi ni kwa ajili ya nini na ni wazi hakitoshi kutokana na taratibu za field
Pili umempa somo mleta mada kwamba kada ya udaktari inahitaji UADILIFU, tofauti na kozi zingne, Hivyo natumai mleta mada ameelewa na atajitahid kuwa mwadilifu maana asipokua hivyo MA-CHIEF wata-MLA kichwa.

Nla!
 
SEREKALI ITUPIE MACHO MAMBO HAYA MZAZI ANAKUWA AMESHA JIKUNGUTA KULIPIA MAELA CHUNGU TELE,VYUO BINAFSI KUWENI NA HURUMA,SIAMINI KAMA GHARAMA ZA FIELD ZINAWEZA ZIDI 50000 PAMOJA NA USAFIRI WA KUWAPELEKA ENEO LA TUKIO
Kuna upigaji sana vyuo vya kati, mfano mimi nilisoma kilimo diploma chini ya ufadhiri wa serikali kwenye michango nilokuwa natoa kuna hela ya field 80,000/= iyo hela inatakiwa mwanafunzi apewe akiwa anaenda field maajabu mwanafunzi anaweza kupewa 5000 tuu nyingine yote inaingia kwenye ufuatiliaji na usimamizi wezi wakubwa
 
Kama unadhania unaibiwa, acha usilipe na field usifanye. Hizo gharama ni ndogo sana ukilinganisha na gharama za mafunzo kwa vitendo.
Huko hospitality utaharibu vifaa vya watu, hiyo gharama itafidia, huko field utasimamiwa na kuelekeza, hizo gharama zitafidia, huko field utakuja kufanyiwa assessment na madaktari na wakufunzi wako, pote ni hizo hizo gharama. Laki Mbili kwa Field ya Clinical Officers ni sawa na bure. Hicho chuo wapandishe ifikie japo Mil. 1.
Umedahiriwa chuo sio hapa Jamii Forum na Udaktari ni taaluma inayohitaji Uadirifu mkubwa. Gharama za field unazianika hapa Jamii Forum, ukiwafanyia upasuaji wake zetu si utatuma picha Facebook?. Mie nadhani umesoma course usiyostahili, ungesomea Political Science ili uwe mwanasiasa.

Mbona MD hawalipii wakienda Field/internship ??

Au unaongea usiyoyajua??
 
Mkuu umeongea point..
Kwanza umemfafanulia icho kiasi ni kwa ajili ya nini na ni wazi hakitoshi kutokana na taratibu za field
Pili umempa somo mleta mada kwamba kada ya udaktari inahitaji UADILIFU, tofauti na kozi zingne, Hivyo natumai mleta mada ameelewa na atajitahid kuwa mwadilifu maana asipokua hivyo MA-CHIEF wata-MLA kichwa.

Nla!

Unaongea kama mtu mwenye funza kichwani
 
Mm najua field ww ndo unatakiwa upewe posho kumbe kuna watu huku watu wanalipia
 
Kama unadhania unaibiwa, acha usilipe na field usifanye. Hizo gharama ni ndogo sana ukilinganisha na gharama za mafunzo kwa vitendo.
Huko hospitality utaharibu vifaa vya watu, hiyo gharama itafidia, huko field utasimamiwa na kuelekeza, hizo gharama zitafidia, huko field utakuja kufanyiwa assessment na madaktari na wakufunzi wako, pote ni hizo hizo gharama. Laki Mbili kwa Field ya Clinical Officers ni sawa na bure. Hicho chuo wapandishe ifikie japo Mil. 1.
Umedahiriwa chuo sio hapa Jamii Forum na Udaktari ni taaluma inayohitaji Uadirifu mkubwa. Gharama za field unazianika hapa Jamii Forum, ukiwafanyia upasuaji wake zetu si utatuma picha Facebook?. Mie nadhani umesoma course usiyostahili, ungesomea Political Science ili uwe mwanasiasa.
Bila shaka na wewe ni mmoja wao...🤣🤣🤣
 
Piga shule wacha kupoteza muda kijana asikudanganye mtu
Na Kama umeanza Mambo ya CHADEMA makinika mapema
 
Mpo wengi hivyo mafunzo yenu lazima yatumie vifaa vingi kama gloves nk. na pesa ya kuwalipa wataalamu wa kuwaelekeza...
 
Kama unadhania unaibiwa, acha usilipe na field usifanye. Hizo gharama ni ndogo sana ukilinganisha na gharama za mafunzo kwa vitendo.
Huko hospitality utaharibu vifaa vya watu, hiyo gharama itafidia, huko field utasimamiwa na kuelekeza, hizo gharama zitafidia, huko field utakuja kufanyiwa assessment na madaktari na wakufunzi wako, pote ni hizo hizo gharama. Laki Mbili kwa Field ya Clinical Officers ni sawa na bure. Hicho chuo wapandishe ifikie japo Mil. 1.
Umedahiriwa chuo sio hapa Jamii Forum na Udaktari ni taaluma inayohitaji Uadirifu mkubwa. Gharama za field unazianika hapa Jamii Forum, ukiwafanyia upasuaji wake zetu si utatuma picha Facebook?. Mie nadhani umesoma course usiyostahili, ungesomea Political Science ili uwe mwanasiasa.
Uharo wa bata
 
Kama unadhania unaibiwa, acha usilipe na field usifanye. Hizo gharama ni ndogo sana ukilinganisha na gharama za mafunzo kwa vitendo.
Huko hospitality utaharibu vifaa vya watu, hiyo gharama itafidia, huko field utasimamiwa na kuelekeza, hizo gharama zitafidia, huko field utakuja kufanyiwa assessment na madaktari na wakufunzi wako, pote ni hizo hizo gharama. Laki Mbili kwa Field ya Clinical Officers ni sawa na bure. Hicho chuo wapandishe ifikie japo Mil. 1.
Umedahiriwa chuo sio hapa Jamii Forum na Udaktari ni taaluma inayohitaji Uadirifu mkubwa. Gharama za field unazianika hapa Jamii Forum, ukiwafanyia upasuaji wake zetu si utatuma picha Facebook?. Mie nadhani umesoma course usiyostahili, ungesomea Political Science ili uwe mwanasiasa.
Ww nae jizi tu,

Sent from my 5023F using JamiiForums mobile app
 
Mpo wengi hivyo mafunzo yenu lazima yatumie vifaa vingi kama gloves nk. na pesa ya kuwalipa wataalamu wa kuwaelekeza...
Kwahio kwamba mwanafunzi mmoja atatumia gloves za laki 2? Na je hizo apparatus si zinalipwa na budget ya serikali huko mahospitalini?
 
Hapo mnapigwa mchana kweupe! Kweli elimu ya bongo ni biashara kmmmk! Baada ya ma ada yote na michango unatakiwa ukanunue mashine ya kukamulia juisi ya miwa na glass utafute stand ya daladala uanze kupambana na maisha ya mtaani sababu utamaliza miaka 4 bila bila kazi hakuna!!!

😂 Wish you knew this is what is going to happen to you pre maturely!
 
Back
Top Bottom