mlambaji asali
Senior Member
- Jan 30, 2023
- 150
- 505
Haya washawaweka teyari na uzito walionaoHawa wapinzani wa Simba kutokea nchini Guinea Horoya Athletic club ni wabovu sana aisee, Hawawezi hata kupasiana pasi tatu, hawawezi hata kufungua vyumba, wazito hakuna mfano, Yaani utafikiri ni timu ya daraja la nne.
Simba akishindwa kuchukua point 6 Kwa Hawa vibonde itabidi wajilaumu wenyewe
raja ni wakawaida tu niliwaona jana, alafu hawa raja walipasuka 2-1 pale guinea mwaka jana nahawahawa horoyaHii ni timu au wahuni wa mtaani? Raja Casablanca atapiga goli 20 Hawa vibaka
Wanajua basi vichwa maji hao kazi yao ni umbea tu.raja ni wakawaida tu niliwaona jana, alafu hawa raja walipasuka 2-1 pale guinea mwaka jana nahawahawa horoya
Yule ni andunje kabisaa, hata ku dribble hawezi.Kuna mchezaji anaitwa MANDERA ana sm 60