mlambaji asali
Senior Member
- Jan 30, 2023
- 150
- 505
Hawa wapinzani wa Simba kutokea nchini Guinea Horoya Athletic club ni wabovu sana aisee, Hawawezi hata kupasiana pasi tatu, hawawezi hata kufungua vyumba, wazito hakuna mfano, Yaani utafikiri ni timu ya daraja la nne.
Simba akishindwa kuchukua point 6 Kwa Hawa vibonde itabidi wajilaumu wenyewe
Simba akishindwa kuchukua point 6 Kwa Hawa vibonde itabidi wajilaumu wenyewe