Hii ikoje wadau? Mtu ana gari no A anabadili na kupata D?

Hii ikoje wadau? Mtu ana gari no A anabadili na kupata D?

Kama ilikuwa ni namba A na ilikuwa na namba za usajili za biashara yani nyeupe, ukibadili usajili kwenda kwenye namba za rangi ya Njano utapewa no D unaweza kana kwa njia hii
 
jamaani kwani gari kuwa number D inamaanisha gari kuwa mpya.kuna gari number A zinadunda mtaani na kuna D zipo icu au tayari zikishazikwa tayari. hivyo kama unanunua gari kwa kuangalia number D lazima utaliwa kichwa
 
Alichoongea dyteromaikota ndicho alichokifanya huyo rafiki yako tra wakati mwingine munawasingizia tu .
 
Hii michezo inafanyika sanaaa, mfano unakuta gari Labda T300EAC ina daiwa deni kubwa TRA unachonga na watu wa TRA wanakupa namba mpya mzigo unakuw T300DGW kwa raha zako...hapo unakuwa ume escape kodi. Magufuli anakazi sanaaa
 
Hii michezo inafanyika sanaaa, mfano unakuta gari Labda T300EAC ina daiwa deni kubwa TRA unachonga na watu wa TRA wanakupa namba mpya mzigo unakuw T300DGW kwa raha zako...hapo unakuwa ume escape kodi. Magufuli anakazi sanaaa
Hilo haiwezekani once unapofanya registration huwezi kurudia tena, hata kama ukireport gari bovu wanachofanya TRA ni kusimamisha tu madai ya motorvehicle, ukilifufua unaendelea na namba yako ile ile.
Wabongo wanachofanya wananunua magari yaliyopata ajari right off kisha analikata taka spare kisha card na namba anaenda kubandika kwenye gari ya zamani
Mfano Rav4 imepata ajari no D anaikata spare kisha anachukua card na plate no D anaenda kuweka kwenye Rav4 ya zamani no A. Kama card inasoma color blue na gari lake la zamani white anabadilisha rangi inakuwa blue.
MJINI HAPA watu wanatafuta namna ya kuishi TRA haihusiki hapo.
 
ImageUploadedByJamiiForums1468675531.254201.jpg
 
Ipo, kama gari haidaiwi unaruhusiwa kwenda kufuta usajiri wa namba zilizopo badaade ukaomba kulisajiri upya gari lako.
Sio kosa kufanya hivyo
 
Hiyo kadi ya gari no D sio ya kutoka Tra, ni kadi za kutengeneza mtaani, ukiweza kutengeza kadi ya gari ya kugushi kutengeneza plate number mpya number D hushindwi, hilo ni bomu litalipuka mtu akienda kurenew road licence
Mkuu siku ya kwenda kulipia Road Licence anaenda na kadi ipi TRA si atatumbuliwa?
 
BongoCeleb_20160612053156.jpg
Mkuu siku ya kwenda kulipia Road Licence anaenda na kadi ipi TRA si atatumbuliwa?
Inawezekana kabisa kubadili namba ya gari kisheria. Kwa mfano unaponunua gari kwa mtu na kuibadili umiliki unaweza pia kuomba kuibadili namba na rangi pia. TRA wanachofanya wanaiondoa ile namba na kumbukumbu zake zote za awali na kuingiza kumbukumbu mpya kwenye DATABASE yao. Unapokwenda kulipia Road license unakwenda na kadi mpya ile ya zamani haipo tena hewani. Ila inabidi ulipie gharama ya kubadili namba yaani unafanya usajiri upya na pia kama unataka kubadili rangi pia unalipa.
Kwa nini hamshangai watu wanatoa namba za magari na kuweka majina yao kwenye plate namba? Ni kulipa tu acheni kuwazushia TRA. Kama pikipiki zilibadilishwa namba za awali na kupewa mpya iweje gari ishindikane kubadilishwa namba kisheria?
 
Hakika.Asilimia 100 ni gari ya rafiki yangu.siongelei hadithi hapa.mimi nilidhani haya yangefanyika katika uongozi uliopita kumbe sasa .
kazi ndogo tu hiyo,muulize huyo huyo rafiki yako ametumia mbinu gani hadi ikawa hivyo.
 
Hakika hii imenistua kidogo au ni ushamba wangu?. Jamaa yangu alikuwa na gari 'chakavu' namba A sasa sijui kafanyaje kaende TRA eti kafanya mbinu na kubadilishiwa na kupewa namba D kisha amelipiga rangi sasa liko sokonoi 'jipya' kabisa.

Hii ikoje? naomba mwenye uelewa
Rahisi sana unanunua kadi ya gari mpya lakini ikapata ajali kiwango cha kutotengenezeka (ni lazima hizo gari zifanane karibia kila kitu
 
Back
Top Bottom