Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu badilisha hilo jina lako la BRN kwanza, maan mkulu ameshaipiga chini ameona haina tija ilikuwa kupeana ulaji tu na wale waliokuwa wameajiriwa pale magogoni sijui PDB wameshafukuliziwa mbali hawana chao, limebaki jina mtaan tuuko tayari kutoa ushahidi
Hili ndio jibu, thanksKama ilikuwa ni namba A na ilikuwa na namba za usajili za biashara yani nyeupe, ukibadili usajili kwenda kwenye namba za rangi ya Njano utapewa no D unaweza kana kwa njia hii
Nashukuru kwa taarifa MkuuMkuu badilisha hilo jina lako la BRN kwanza, maan mkulu ameshaipiga chini ameona haina tija ilikuwa kupeana ulaji tu na wale waliokuwa wameajiriwa pale magogoni sijui PDB wameshafukuliziwa mbali hawana chao, limebaki jina mtaan tu
Kwa mfumo wa TRA,hakuna kitu kama hicho.Hii michezo inafanyika sanaaa, mfano unakuta gari Labda T300EAC ina daiwa deni kubwa TRA unachonga na watu wa TRA wanakupa namba mpya mzigo unakuw T300DGW kwa raha zako...hapo unakuwa ume escape kodi. Magufuli anakazi sanaaa
Uko sahihi mkuuView attachment 369132
Inawezekana kabisa kubadili namba ya gari kisheria. Kwa mfano unaponunua gari kwa mtu na kuibadili umiliki unaweza pia kuomba kuibadili namba na rangi pia. TRA wanachofanya wanaiondoa ile namba na kumbukumbu zake zote za awali na kuingiza kumbukumbu mpya kwenye DATABASE yao. Unapokwenda kulipia Road license unakwenda na kadi mpya ile ya zamani haipo tena hewani. Ila inabidi ulipie gharama ya kubadili namba yaani unafanya usajiri upya na pia kama unataka kubadili rangi pia unalipa.
Kwa nini hamshangai watu wanatoa namba za magari na kuweka majina yao kwenye plate namba? Ni kulipa tu acheni kuwazushia TRA. Kama pikipiki zilibadilishwa namba za awali na kupewa mpya iweje gari ishindikane kubadilishwa namba kisheria?
Nami naungana nawe, Si rahisi sana kuchakachuka chassis number na kuisaji gari upya kwa sababu gari zote zinazosajiliwa kwa matumizi nchini humu zimeingizwa kwenye kompyuta za TRA na zinajulikana. Hilo suala la kubadili namba linawezekana tu iwapo gari ilikuwa na namba nyingine mfano DFP, PT, CD, ST... nk, kisha mtu akanunua kutoka taasisi husika na kubadili umiliki kuwa wa kiraia.Mkuu sidhani kama inawezekana. Kwenye kadi ya gari inaandikishwa Chassis number na Engine number. Sasa haitawezekana kabisa hivyo vitu viandikwe sehemu mbili.
Kweli kabisa!Hiyo kitu ipo!tahadhari usinunue gari namba D mikonon kwa mtu!bora iwe hata namba A utajua ni chakavu!