Hii imekaaje kisaikolojia ya mahusiano

Hii imekaaje kisaikolojia ya mahusiano

Kama tokea primary hata hujajitambua upo hivo means ndo nature yako huwezi badilika,,,zaidi hapo ni sawa na kuforce jabali kuzama kwenye maji.
 
Nafurahi tupo wengi
Nimefurahi kujua pia tuko wengi.
Huwa najishangaa sana, wakati wakusoma o level to A level baba alinihimiza Sana kushika urafiki na watu wanaoongoza darasani.
Sasa Mimi Huwa ni opposite na mawazo yake maana wanaokula Mara nyingi hujiona na majivuno mengi hivyo na pigs chini natafuta average mwenzangu tunakamia hadi nilifika chuo kikuu - sua kwa hizo hizo principle
 
Nimefurahi kujua pia tuko wengi.
Huwa najishangaa sana, wakati wakusoma o level to A level baba alinihimiza Sana kushika urafiki na watu wanaoongoza darasani.
Sasa Mimi Huwa ni opposite na mawazo yake maana wanaokula Mara nyingi hujiona na majivuno mengi hivyo na pigs chini natafuta average mwenzangu tunakamia hadi nilifika chuo kikuu - sua kwa hizo hizo principle
Hata me mother kipindi Cha nyuma, alikuwa anataka niwafate vipanga wa shule, wawe marafiki zangu.
Nilichofanya nilijipa cancelling ya nguvu, nikaanza kutia msuri. Matokeo yake, hao walioitwa vipanga wakaanza kunifata kuwasolvia maswali
 
Mama aliniambia ukisema dunia uishi kwa kumchukia MTU aliyekufanyia baya bas utaishi pekeyako maana kila MTU anamapungufu even u mkuu
 
Back
Top Bottom