Hii imekaaje kwa wanandoa?

Nikiangalia hiyo ndoa yenu dizain kama mmesha zoeana kila moja anatingisha kiberiti kama mdau alivyo sema pale juu kuwa inaonekana nyie siyo marafiki ... kuna vitu vingi sana vina miss .... lakini ndo maisha .... ushauri wangu anza kujifunza kujishusha ... kuna kitu kizuri utakitengeneza kwa faida ya badaye kwasabu silaha kubwa kwa mwanamke ni kujishusha sisi boys tunajijua
 
Njoo pm tuyajenge
 
Shamba la Bwana Kheri Mbuzi wa Bwana Kheri.
 
Refer to the definition
Marriage is an unlimited sex bundle
😎😎😎
 
Mimi ni Liverpool lakini nahisi jamaa yako atakuwa mshabiki wa Real Madrid .. angekuwa Liverpool asingepata hilo wazo aisee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi nasema sio sawa kabisa anavyofanya huyo mumeo
kimsingi anatakiwa awahi tu mara ukienda kulala na akitaka arudi kuendelea na mambo yake baada ya kutimiza haja au pengine asubirie hadi mapema asubuhi (alfajiri) ila hiyo ya saa nane usiku ni too much!
Vijana wengi wanajibu tu bila uzoefu wa maisha.....
Yale mafunzo ya zamani kuwa mwanamke kazi yake ni kutoa huduma muda wowote yanaenda yakipitwa na wakati kwa sababu wale wanawake wa zamani ilikuwa kazi yao ni kukaa nyumbani tu kulea ILA siku hizi wanawake wanatoka/wanafanya kazi na wakati mwingine wanafanya kazi ngumu haswa, hivyo ukichanganya na majukumu ya nyumbani ya jioni wanachoka. Kama tunapenda watusaidie kipato, tuheshimu pia na hisia zao!!!
 
Dah!. Mambo mazito haya. Anyway mwambie awe anawahi kwa bed!
 
I agree
 
Mkuu umeongea kwa uchungu[emoji23][emoji23][emoji23] hoja yako nimeielewa sana .
 
Hadi umenisisimua
Asikwambie mtu zile show tamu, hasa uwe umelala msafi umeoga, umeswaki....na kile kibaridi halafu unapapaswa na kitu cha motoooo, plus kiusingizi.....unajifanya Kama hutaki huku unataka...🤣
 
"Ukiolewa sharti usilale na nguo"


Vita ni wakati wowote tu
 
Kwa sababu mngelikuwa mnaishi kinyume na ulivyosimulia hapa...

Kwa wapendanao maandalizi ya 'sex' huanza muda mrefu, na sio kudandiana tu usiku...

Sukariiiii ya wareeembooooo....!!! 😜😜

Salamu kwa Msafiri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…