Hii imekaaje, nakutana sana na likes za makipa wa mpira kwenye picha za mabinti Instagram

Hii imekaaje, nakutana sana na likes za makipa wa mpira kwenye picha za mabinti Instagram

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Hapa sizungumzii warembo maarufu kama kina mobeto ambao watu wengi tunawajua, nazungumzia mabinti ambao ni raia wa kawaida tu, followers hata hawazidi elf 1.

Wengi ni wadogo wa marafiki zangu ambao nimewafollow ama majirani, marafiki zao, n.k

Ni mda mrefu sana nimekuwa nakutana sana na likes za makipa wa ligi kuu ya Tanzania (vpl) kwenye picha za dada zetu nashindwa kujua hao makipa huwa hata wanawajuaje.

Huenda ni safari za mikoani kwenye mechi makipa huwa wanafanya juhudi za kutafuta warembo wa mkoa walipofikia.

Lakini kwanini ni makipa na sio wachezaji?

1623130125657.png

 
So far umeona likes za makipa wangapi? Na research yako umeifanya kwa mabinti wangapi? Ulijuaje kama hao ni makipa? Hamna likes za wengine ni kipas tu? Wewe hukulike hizo picha? If yes wewe pia ni kipa?, Mbona mimi sina likes zozote za kipa au unamaanisha sisi wengine siyo visu ni mapanga?

Usiku mwema mkuu.
 
So far umeona likes za makipa wangapi? Na research yako umeifanya kwa mabinti wangapi? Ulijuaje kama hao ni makipa? Hamna likes za wengine ni kipas tu? Wewe hukulike hizo picha? If yes wewe pia ni kipa?, Mbona mimi sina likes zozote za kipa au unamaanisha sisi wengine siyo visu ni mapanga?

Usiku mwema mkuu.
Hbr za mbagala bibir
 
So far umeona likes za makipa wangapi? Na research yako umeifanya kwa mabinti wangapi? Ulijuaje kama hao ni makipa? Hamna likes za wengine ni kipas tu? Wewe hukulike hizo picha? If yes wewe pia ni kipa?, Mbona mimi sina likes zozote za kipa au unamaanisha sisi wengine siyo visu ni mapanga?

Usiku mwema mkuu.
Nakupeda sana Dada
 
No hilo ni jibu na au, namaanisha ukiona mtu kalike unamfata na kupekua picha zake alizopost ili ujue ni kipa?🤔 why minding others businesses? Mmh
Mi napenda sana mpira, wachezaji wengi wa mpira nawa follow, si unajua tena tunavyopenda mpira
 
Sio makipa tu hata wachezaji, kuna mtu namfahamu kamaliza nusu ya Wachezaji wa Yanga kwanzia Shikalo mpk mwamnyeto
Akahamia simba kwanzia Morisson, azam kote huko.
Wachezaji wetu ni malaya mno halafu kama unavyosema mleta mada wanapenda watu pori.
 
Sio makipa tu hata wachezaji, kuna mtu namfahamu kamaliza nusu ya Wachezaji wa Yanga kwanzia Shikalo mpk mwamnyeto
Akahamia simba kwanzia Morisson, azam kote huko.
Wachezaji wetu ni malaya mno halafu kama unavyosema mleta mada wanapenda watu pori.
hahah watu pori.

financial services hawajawai kukutupia ndoano kweli ? 😂
 
Back
Top Bottom