sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
๐๐ ๐ dah JF hii inapungua stressNdo kazi Yao kudaka kila kinacho fanana na mpira...
Hao mabinti hawajabeba mipira miwili nyuma?
Kwanini makipa??Iyo inaubaya gani mkuu
Hbr za mbagala bibirSo far umeona likes za makipa wangapi? Na research yako umeifanya kwa mabinti wangapi? Ulijuaje kama hao ni makipa? Hamna likes za wengine ni kipas tu? Wewe hukulike hizo picha? If yes wewe pia ni kipa?, Mbona mimi sina likes zozote za kipa au unamaanisha sisi wengine siyo visu ni mapanga?
Usiku mwema mkuu.
Nzuri mkuu za huko ulipo pia?Hbr za mbagala bibir
Kwani wao hawaruhusiwi kulike?kwanini makipa??
Nakupeda sana DadaSo far umeona likes za makipa wangapi? Na research yako umeifanya kwa mabinti wangapi? Ulijuaje kama hao ni makipa? Hamna likes za wengine ni kipas tu? Wewe hukulike hizo picha? If yes wewe pia ni kipa?, Mbona mimi sina likes zozote za kipa au unamaanisha sisi wengine siyo visu ni mapanga?
Usiku mwema mkuu.
๐ ๐ kweli hili ni swali au?? instagram unatumiaga??Ulijuaje kama hao ni makipa?
Ahsante, nakupenda pia mkuu Retro๐Nakupeda sana Dada
Aish manula, beno kakolanya, farouk shikalo wote hao umewaona like zao?kwanini makipa??
No hilo ni jibu na au, namaanisha ukiona mtu kalike unamfata na kupekua picha zake alizopost ili ujue ni kipa?๐ค why minding others businesses? Mmh๐ ๐ kweli hili ni swali au?? instagram unatumiaga??
Mi napenda sana mpira, wachezaji wengi wa mpira nawa follow, si unajua tena tunavyopenda mpiraNo hilo ni jibu na au, namaanisha ukiona mtu kalike unamfata na kupekua picha zake alizopost ili ujue ni kipa?๐ค why minding others businesses? Mmh
Ok ๐ค nimekupata mkuuMi napenda sana mpira, wachezaji wengi wa mpira nawa follow, si unajua tena tunavyopenda mpira
hahah watu pori.Sio makipa tu hata wachezaji, kuna mtu namfahamu kamaliza nusu ya Wachezaji wa Yanga kwanzia Shikalo mpk mwamnyeto
Akahamia simba kwanzia Morisson, azam kote huko.
Wachezaji wetu ni malaya mno halafu kama unavyosema mleta mada wanapenda watu pori.
Nilivo mshamba hivi wataanzaje hata, wao si umesema wanataka visu sisi makoleo watatuona wapi mkuu๐
visu vya kipori pori followers hawazidi elf 1, najua huenda na wewe upo humo, huwa wanapenda mabinti ambao sio maarufuNilivo mshamba hivi wataanzaje hata, wao si umesema wanataka visu sisi makoleo watatuona wapi mkuu๐