financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Visu pori?๐๐ nna followers 200 sijui hata buku hawajafika๐ kweli mimi pori kabisa, wanawapenda sababu wanahisi ni limbukeni maybe so watashoboka kuona ameapprochiwa na kipa/mchezaji au star hivo atakubaliwa haraka mmhvisu vya kipori pori followers hawazidi elf 1, najua huenda na wewe upo humo, huwa wanapenda mabinti ambao sio maarufu
Sio kwamba watu pori ndo washamba ? Au nimelewa chibukuNilivo mshamba hivi wataanzaje hata, wao si umesema wanataka visu sisi makoleo watatuona wapi mkuu[emoji23]
Ndiyo hivo mkuu nadhani mimi ndiye sikuelewa hapo, kweli unakunywaga vibuku?๐Sio kwamba watu pori ndo washamba ? Au nimelewa chibuku
Kipind nipo chuo niliwahi kuionja nili ipenda kwa sababu ya ujazo .Ndiyo hivo mkuu nadhani mimi ndiye sikuelewa hapo, kweli unakunywaga vibuku?[emoji14]
Khaa pipa zima๐๐ ulevi wa kupindukia huo , nasikia ina harufu mbaya ni kweli?Kipind nipo chuo niliwahi kuionja nili ipenda kwa sababu ya ujazo .
ila nikaja gundua haieleweshi haraka labda unywe pipa zima[emoji23]
Tutajie hao makipa la sivyo tunakushitaki TAKUKURU kupoteza bando letu.Hapa sizungumzii warembo maarufu kama kina mobeto ambao watu wengi tunawajua, nazungumzia mabinti ambao ni raia wa kawaida tu, followers hata hawazidi elf 1.
Wengi ni wadogo wa marafiki zangu ambao nimewafollow ama majirani, marafiki zao, n.k
Ni mda mrefu sana nimekuwa nakutana sana na likes za makipa wa ligi kuu ya Tanzania (vpl) kwenye picha za dada zetu nashindwa kujua hao makipa huwa hata wanawajuaje.
Huenda ni safari za mikoani kwenye mechi makipa huwa wanafanya juhudi za kutafuta warembo wa mkoa walipofikia.
Lakini kwanini ni makipa na sio wachezaji?