Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yote hayo sababu umeajiriwa mkuu, kinachofanyika ni kulipa fadhila kwa waajiri wako.Tumepokea taarifa kutoka kwa mwajiri, siku ya jumatatu kila mtumishi wa sehemu hiyo, afike na kadi/ kitambulisho cha mpiga kura na asiyefanya hivyo taarifa za muhusika zifikishwe kwa muajiri.
Swali fikirishi mantiki ya kushikiza hivyo,inatokana na nini?