Hii imekaaje wana jukwaa....??

smttz

Member
Joined
Sep 9, 2024
Posts
67
Reaction score
101
Tumepokea taarifa kutoka kwa mwajiri, siku ya jumatatu kila mtumishi wa sehemu hiyo, afike na kadi/ kitambulisho cha mpiga kura na asiyefanya hivyo taarifa za muhusika zifikishwe kwa muajiri.

Swali fikirishi mantiki ya kushikiza hivyo,inatokana na nini?
 
Yote hayo sababu umeajiriwa mkuu, kinachofanyika ni kulipa fadhila kwa waajiri wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…