Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Kutongoza huwa ni raha sana, siwaelewi wanaume ambao huwa hawawezi kutongoza wanashindwaje yani.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna wanawake wanakataa kikatili ndo maana 😂Kutongoza huwa ni raha sana, siwaelewi wanaume ambao huwa hawawezi kutongoza wanashindwaje yani.....
Haujamuweka katika angle inayotakiwa au hakupendi kabisa au umeongea maneno ya kukera au umeonesha shobo sana😁kuna wanawake wanakataa kikatili ndo maana 😂
sasa unaona vikorokoro vilivyo vingi ndo maana mwanaume anawaza.... 😂Haujamuweka katika angle inayotakiwa au hakupendi kabisa au umeongea maneno ya kukera au umeonesha shobo sana😁
nimekuja mara 3 nakutana na kufuliaisee aisee.... ndo naona saivi 😂 pm iko wazi mbona....
wewe ndo umefunga, mimi sina shida unakaribishwanimekuja mara 3 nakutana na kufuli
Wewe mbona hushoot your shot? 😅😅Watu wasi shoot their shot jamani napo ni kosa😀😀
Hao wanawake wanaotongoza Mbona hatuwapati Waje tu Dm.Kwema wadau?
Sasa hivi kumezuka tabia ya wanawake kutongoza Wanaume.
Yani mwanamke akimpenda Mwanaume, anafunguka wazi bila woga kabisa,...Hii imekaaje wadau.
Nimei experience hii hali zaidi ya mara nne tangu January, (Kwangu naona ni kama maajabu sana,....au nina tatizo labda?...au nimetupiwa majini ya mapenzi labda?)
Note: Mimi sio mzinzi,...I mean, siendeshwi na tamaa za Mwili, ; Ninazo nguvu za kuucontrol mwili wangu jinsi ninavyotaka , sio wenyewe unicontrol Mimi. ( Naona ni kama nawaumiza hawa watu kwà kutojali kabisa hisia / maneno yao)
Hao ni cha wote mkuuu kaa chonjoMwanamke akinitongoza namuondolea sifa ya kike.......japo wawili walifanikiwa kunitongoza na nikawala na wote ni wadada wa maduka ya dawa.....sijui hata ilikuwaje nikawapenda!......
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kwema wadau?
Sasa hivi kumezuka tabia ya wanawake kutongoza Wanaume.
Yani mwanamke akimpenda Mwanaume, anafunguka wazi bila woga kabisa,...Hii imekaaje wadau.
Nimei experience hii hali zaidi ya mara nne tangu January, (Kwangu naona ni kama maajabu sana,....au nina tatizo labda?...au nimetupiwa majini ya mapenzi labda?)
Note: Mimi sio mzinzi,...I mean, siendeshwi na tamaa za Mwili, ; Ninazo nguvu za kuucontrol mwili wangu jinsi ninavyotaka , sio wenyewe unicontrol Mimi. ( Naona ni kama nawaumiza hawa watu kwà kutojali kabisa hisia / maneno yao)
Nikipata anaenivuruga alafu achelewe weee 😀😀nashoot chapWewe mbona hushoot your shot? 😅😅
unamwaga kuku kwenye mchele wengi 🤣😥😥Suchack.....
Kamcho babujy.... tereminaaah kaah rokiih aah tikee tikeeh...
Chalooo...😅
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lini ulinitongoza nikakataambona wewe ukitongozwa unakataa
Mbna tafrani tupuu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna kina sisi hatujuagi kutongoza ila tunatongozwa [emoji1787][emoji1787]
Hakuna cha tafranMbna tafrani tupuu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]