Inategemea waliachana kivipi, ila upande wangu nisingemkubali
bla bla tu.yani unaona umri unaenda na watu wa kukuoa hawajitokezi halafu ukatae? Mwe "! Labda sio ww
bla bla tu.yani unaona umri unaenda na watu wa kukuoa hawajitokezi halafu ukatae? Mwe "! Labda sio ww
Kabisa wangu maana duhh miaka nane si kidogo!!!
Tena naona sio spea mie naona ni reserve maana mpaka yote yaharibike ndo linakumbukwa?? Huyu mdada jirani yangu namuonea huruma
Inategemea waliachana kivipi, ila upande wangu nisingemkubali
Maskini yani anajitafutia matatizo mwenywe huyo dada siku ya siku ndoa inacharuka atamlaumu nani!!Saa nyingine Mungu huwa anatuepusha na matatizo sema sie wabishi.
kweli inategemeana waliachana vipi. inawezekana walishatambua makosa yalikuwa wapi na aliyekosea alisharegret. mi ningeangalia merit kama bado nampenda na amekuwa na mwenedo wa kuridhisha naweza kumkubali. watu hubadilika jamani tusikatae, furaha hutengenezwa na wapendanao na sio kitu cha kuchukuliwa kama vile kiko dukani. so wakiamua kuishi kwa kuheshimiana na kwa fuaha, wanaweza
ila kamwe siwezi kumkubali mtu eti kwa vile tu umri umeenda. kama si mpango wa Mungu niko tayari kuishi bila ndoa maisha yangu yote na nitaona heshima na fahari kwa kuiheshimu nafsi yangu na kupokea kwa ujasiri kipawa cha Mungu bila kutetereka
judith unaweza kutapika kuku, maini, kitimoto (hapa samahani), nk ulizokula then ukarudi kula tena??? No matter what bwana ulinitosa wakati ule leo unifate sikubali
Naye huyo miaka yoote hiyo nane hakuwahi kuwa na my love wake? yaan alikuwa free hadi jamaa arudi kufill gape tena? no! aendelee na aliyekuwa nae muda wote
kweli inategemeana waliachana vipi. inawezekana walishatambua makosa yalikuwa wapi na aliyekosea alisharegret. mi ningeangalia merit kama bado nampenda na amekuwa na mwenedo wa kuridhisha naweza kumkubali. watu hubadilika jamani tusikatae, furaha hutengenezwa na wapendanao na sio kitu cha kuchukuliwa kama vile kiko dukani. so wakiamua kuishi kwa kuheshimiana na kwa fuaha, wanaweza
ila kamwe siwezi kumkubali mtu eti kwa vile tu umri umeenda. kama si mpango wa Mungu niko tayari kuishi bila ndoa maisha yangu yote na nitaona heshima na fahari kwa kuiheshimu nafsi yangu na kupokea kwa ujasiri kipawa cha Mungu bila kutetereka