Hii Imekaaje Wapendwa

Hii Imekaaje Wapendwa

Dena Amsi

R I P
Joined
Aug 17, 2010
Posts
13,080
Reaction score
4,273
Kuna binti alikuwa na boyfriend wake lakini hawakufikia kuoana na waliachana bila sababu
Jamaa akaoa msichana mwingine akaoa, wakaishi miaka karibuni 8
Wakajaaliwa watoto 3 wakati anatarajia kupata mtoto wa 4 mama huyo
akapata kifafa cha uzazi akafariki yeye na mtoto (RIP)
Baada ya kukaa miaka miwili bila mke kwa bahati mbaya au nzuri
akakutana na yule girlfriend wake wa zamani walieachana
Akiwa hajaolewa wala kuzaa. Jamaa anamtaka amuoe hii imekaaje wapendwa??
Kuna mapenzi kweli hapo au nikutafuta pumziko na kuondoa machungu?????
Mie haijanikalia vyema kiukweli.
 
Inategemea waliachana kivipi, ila upande wangu nisingemkubali
 
bla bla tu.yani unaona umri unaenda na watu wa kukuoa hawajitokezi halafu ukatae? Mwe "! Labda sio ww

Mmmmhh we Ivuga wewe kweli jamaa lilikutosa halafu lishachakachuliwa na watoto watatu ndo linanitaka tena hakiyamungu sikubali!!! Kama umri umeenda acha uende tu bwana kwa hili sitakubali
 
bla bla tu.yani unaona umri unaenda na watu wa kukuoa hawajitokezi halafu ukatae? Mwe "! Labda sio ww

Heri kuwa single kuliko kulamba matapishi lol:smile-big::smile-big:
 
Ukisikia tairi la spea ndo hilooo kamkumbuka baada ya kufiwa! agrrr

Tena naona sio spea mie naona ni reserve maana mpaka yote yaharibike ndo linakumbukwa?? Huyu mdada jirani yangu namuonea huruma
 
Tena naona sio spea mie naona ni reserve maana mpaka yote yaharibike ndo linakumbukwa?? Huyu mdada jirani yangu namuonea huruma


Maskini yani anajitafutia matatizo mwenywe huyo dada siku ya siku ndoa inacharuka atamlaumu nani!!Saa nyingine Mungu huwa anatuepusha na matatizo sema sie wabishi.
 
Inategemea waliachana kivipi, ila upande wangu nisingemkubali

kweli inategemeana waliachana vipi. inawezekana walishatambua makosa yalikuwa wapi na aliyekosea alisharegret. mi ningeangalia merit kama bado nampenda na amekuwa na mwenedo wa kuridhisha naweza kumkubali. watu hubadilika jamani tusikatae, furaha hutengenezwa na wapendanao na sio kitu cha kuchukuliwa kama vile kiko dukani. so wakiamua kuishi kwa kuheshimiana na kwa fuaha, wanaweza

ila kamwe siwezi kumkubali mtu eti kwa vile tu umri umeenda. kama si mpango wa Mungu niko tayari kuishi bila ndoa maisha yangu yote na nitaona heshima na fahari kwa kuiheshimu nafsi yangu na kupokea kwa ujasiri kipawa cha Mungu bila kutetereka
 
Maskini yani anajitafutia matatizo mwenywe huyo dada siku ya siku ndoa inacharuka atamlaumu nani!!Saa nyingine Mungu huwa anatuepusha na matatizo sema sie wabishi.

Mimi kiukweli kwa hili nisingekubali sababu nimemuuliza kuwa hivi hujui kuwa uliepushwa na kitu fulani mpaka jamaa hakukuoa wakati ule?? Leo unatakia nini??? Kuna kitu nyuma ya pazia ambacho mungu alikiepusha
 
kweli inategemeana waliachana vipi. inawezekana walishatambua makosa yalikuwa wapi na aliyekosea alisharegret. mi ningeangalia merit kama bado nampenda na amekuwa na mwenedo wa kuridhisha naweza kumkubali. watu hubadilika jamani tusikatae, furaha hutengenezwa na wapendanao na sio kitu cha kuchukuliwa kama vile kiko dukani. so wakiamua kuishi kwa kuheshimiana na kwa fuaha, wanaweza

ila kamwe siwezi kumkubali mtu eti kwa vile tu umri umeenda. kama si mpango wa Mungu niko tayari kuishi bila ndoa maisha yangu yote na nitaona heshima na fahari kwa kuiheshimu nafsi yangu na kupokea kwa ujasiri kipawa cha Mungu bila kutetereka


Judith unaweza kutapika kuku, maini, kitimoto (hapa samahani), nk ulizokula then ukarudi kula tena??? No matter what bwana ulinitosa wakati ule leo unifate SIKUBALI
 
judith unaweza kutapika kuku, maini, kitimoto (hapa samahani), nk ulizokula then ukarudi kula tena??? No matter what bwana ulinitosa wakati ule leo unifate sikubali

inawezekana dada alikua bado anampenda miaka yote hiyo sasa anahisi ngekewa imemwangukia. Mimi binafsi no no no, crudi nyuma.
 
inawezekana dada alikua bado anampenda miaka yote hiyo sasa anahisi ngekewa imemwangukia. Mimi binafsi no no no, crudi nyuma.

Tatiana umenichanganya hapo Bluu na nyekundu
 
Naye huyo miaka yoote hiyo nane hakuwahi kuwa na my love wake? yaan alikuwa free hadi jamaa arudi kufill gape tena? no! aendelee na aliyekuwa nae muda wote
 
ikiiingia takatifu
ikitoka haramu..SO USIKUBALI HARAMU...asi mshaachana jaman sa kikurejechasho nini?
 
Naye huyo miaka yoote hiyo nane hakuwahi kuwa na my love wake? yaan alikuwa free hadi jamaa arudi kufill gape tena? no! aendelee na aliyekuwa nae muda wote

ahh jaman ebu pumzika kdg kucheza basi uchoki...?:smile-big:mimi ntapumzika pia kukonyeee..manake najua ungenishushua tu apo mbona we upumzik kukonyeeeeeeee
 
Dena sidhani kama kuna mapenzi hapo,,kwani b4 alimuacha kwa sababu gani?


:smile-big:hii smile ina ujumbe guess
 
kweli inategemeana waliachana vipi. inawezekana walishatambua makosa yalikuwa wapi na aliyekosea alisharegret. mi ningeangalia merit kama bado nampenda na amekuwa na mwenedo wa kuridhisha naweza kumkubali. watu hubadilika jamani tusikatae, furaha hutengenezwa na wapendanao na sio kitu cha kuchukuliwa kama vile kiko dukani. so wakiamua kuishi kwa kuheshimiana na kwa fuaha, wanaweza

ila kamwe siwezi kumkubali mtu eti kwa vile tu umri umeenda. kama si mpango wa Mungu niko tayari kuishi bila ndoa maisha yangu yote na nitaona heshima na fahari kwa kuiheshimu nafsi yangu na kupokea kwa ujasiri kipawa cha Mungu bila kutetereka

hii tunaita busara....
 
Back
Top Bottom