Kwa kifupi mke wa mwenye birthday ni **** wa kutupwa na huyu mke wa mtu anayeleta hawara yake kwenye matrimonial home kwa kisingizio cha sherehe ni mshenzi ameoza hafai na mwanaume anayekubali kufanyiwa sherehe kwenye nyumba ya mwanaume mwenzie ni mbwa takataka na kifo kinamsubiri.Dena hebu nipe namba ya simu ya mume ambaye unasema kasafiri nimweleze kila kitu kilichojiri,hawezi kufanyiwa uharamia hivi na sisi tunaangalia tu.
nipo dearest, mambo yalikuwa yamebana sana....hope ni mzima wa afya!....Maty kwangu mie ni bora nicjue kabisa coz hii ishu ingewahusu wote mr/x...wewe umemwandalia kama nani/wewe umenileta huku umeandaliwa na x wako kuja kunichoresha ama....hii hotuba ingehitimishwa pasaka walaahh.
DA, hebu nijibu kwanza haya maswali.
1. Samaki wako umeenda mtoni/ziwani (tena Vicoria au Lweru) ukamvua na tayari yuko kwenye kikaango, unaweza kumlisha tena chambo kama wewe siyo chizi?
2. Una soda yako iko kwenye friji (tena yako, siyo kwa kaka au shemeji), unaweza kutoa pesa ukainunua tena?
Nitakuja baadaye tuendelee na mada!!
mie cmalaumu mke kabisa, coz hii inaweza kufanyiwa yoyote yule na mbaya zaidi ukiwa hujawahi kumjua huyo x, we upo pale tu unaandaliwa bila kujijua, lawama ni kwa x/mr...wamemdhalilisha huyu mke sana tu...esp mr yaani ni tabia mbaya haisemeki.
DC hayo majibu yote hayawezekani kabisa
Nyamayao,my point ni kwamba huyu mke naye amezidi kuwa zuzu,yaani anaburutwa tu kwenda kwa hawara wa mmewe naye yumo tu,lol!mie cmalaumu mke kabisa, coz hii inaweza kufanyiwa yoyote yule na mbaya zaidi ukiwa hujawahi kumjua huyo x, we upo pale tu unaandaliwa bila kujijua, lawama ni kwa x/mr...wamemdhalilisha huyu mke sana tu...esp mr yaani ni tabia mbaya haisemeki.
Nimeelewa na kukusoma mkuu wangu
Wote wezi tu. Hata huyo mwanamke kama anajua kuwa party iliandaliwa na ex- wa mume halafu akaenda kukenua meno basi anajaribu kuficha madhambi yake. Inawezekana yeye ana yake makubwa zaidi ya hiyo part. Ndo maana nikasema wahusika wote mikono yao ni michafu (bloody)!!
Nyamayao,my point ni kwamba huyu mke naye amezidi kuwa zuzu,yaani anaburutwa tu kwenda kwa hawara wa mmewe naye yumo tu,lol!
DC leo unahasira sijawahi kukuona hivi hata siku moja. Hayo unayosema ni kweli kabisa
sasa hapo Bishanga mke hamjui x wa mume atafanyaje? ndio yale yale nimeandaliwa na ofc.
Siyo hasira AD, sitaki watu wanaondekeza rongo rongo kwenye 18 za wenzao. Binafsi nisingependa kumfanyia hivyo bibi (ingawa ni ngumu ki vitendo) na kwa hiyo sitaki kusikia mtu anakaribia hayo maeneo yangu ya kujidai. Bahati yao nilisahau dawa yangu kule Ukerewe, ningewatumia radi iwacharaze hata kama ni jangwani!![/QUOTE]
He leo umefika mbali kweli DC dah mpaka umekumbuka ile dawa yako?? Pole sana bana acha hasira
Siyo hasira AD, sitaki watu wanaondekeza rongo rongo kwenye 18 za wenzao. Binafsi nisingependa kumfanyia hivyo bibi (ingawa ni ngumu ki vitendo) na kwa hiyo sitaki kusikia mtu anakaribia hayo maeneo yangu ya kujidai. Bahati yao nilisahau dawa yangu kule Ukerewe, ningewatumia radi iwacharaze hata kama ni jangwani!![/QUOTE]
He leo umefika mbali kweli DC dah mpaka umekumbuka ile dawa yako?? Pole sana bana acha hasira
Weee acha AD,
Unaweza kuwaza mengine ila siyo kushea kitanda na mtu..Ingawa wakati mwingine tunaaanguka majaribuni na kujikuta wenyewe tumeshaingia mikononi mwa shetani.
Hata ikitokea hivyo basi tufiche badala ya kuanika hadharani utadhani tumefanya jambo la maana sana linalostahiri Nobel prize...!!!!
Hivi na wewe Nyamayao ulifichwa wapi?
shemeji yako alinivundika ndani, hakuna mawacliano ya namna yoyote na yeyeto....hahaha ndio nimeachiliwa baada ya kuona tumbo linasukuma nguo.
Weee acha AD,
Unaweza kuwaza mengine ila siyo kushea kitanda na mtu..Ingawa wakati mwingine tunaaanguka majaribuni na kujikuta wenyewe tumeshaingia mikononi mwa shetani.
Hata ikitokea hivyo basi tufiche badala ya kuanika hadharani utadhani tumefanya jambo la maana sana linalostahiri Nobel prize...!!!!
Leo nimejua hasira yako ilipo