Hii imekaaje wapendwa

 


kaka temea mate chini ucniombee hayo......kwenye dbay mwanialike tu mie nicjue nikijua imekula kwao wote wawili kwa kunidhalilisha....hv y ategee nipo kwenye hali hii ndio bday zifululize? kaka wacha tu maisha tambara bovu kweli kuwa uyaone.
 
kaka temea mate chini ucniombee hayo......kwenye dbay mwanialike tu mie nicjue nikijua imekula kwao wote wawili kwa kunidhalilisha....hv y ategee nipo kwenye hali hii ndio bday zifululize? kaka wacha tu maisha tambara bovu kweli kuwa uyaone.

Habari za siku luv?

Una habari mawahala huwa hawaachani? Hata wewe ruksa kukumbushia na mimi.
 


hahahaha babu umenichekesha asante kwa kunimalizia siku yangu na kicheko lol
 
Halafu wewe leo sijui unanini au ulikunywa Castle Light nini?? Maana toka asubuhi una mambo kweli hata sikuelewi kabisa

Aaaah nitake radhi ninywe kesto laiti mm? umesikia mm mgonjwa mpaka ninywe hizo zisizo shibisha?
 
 
Aaaah nitake radhi ninywe kesto laiti mm? umesikia mm mgonjwa mpaka ninywe hizo zisizo shibisha?

Thubutu nikutake radhi wakati bado unahang' over!! Na ushazimua tayari aakkhh
 
Kwa kweli hii imekaa mbaya..kwanza huyo mke cha kutokumbuka birthday ya mwenzie?
Na hao wawili kufanyiana besdei pati inahusu?kwanini na wameanzaje na wanawasiliana ili iweje hata kama hamkugombana
wote wana mume/mke kwanini uhangaike na ex?
na huyo mdada mumewe angekuwepo angefanya hiyo pati au ndo kutake advantage?
Kuna kakitu kanaendelea kati ya huyo mume wa mtu na muke wa mtu looh..sijapenda
 
Hata kama waliachana kistaarabu lakn bado si sababu tosha ya yeye kumfanyia hiyo Party EX wake,,lakin pia huyo mwandaa pati ana lake jambo,,,,si tulie kwenye ndoa yake?? asubiri kuandaa party ya mumewe tu na wengine wanaomhusu, lakin ya EX mmmhh haimhusu.

Zinatosha pati alizomwandalia kipindi kileee wapo pamoja ,,,,lakin kipindi hiki amwachie mwenye mume ndiyo aandae pati ya mumewe.
Hata kama mke anasahahu hilo siyo issue yake yeye, hiyo ni issue ya mke na mume tu.

Anajipendekeza kwenye ndoa ya mwenzio kujifanya yeye anamjali saaaana mume wa mwenzie.........Kama alishindwa kuoana na EX basi atulie tu asianze kuingiza upupu kwenye ndoa ya EX wake......
 
Huku kujipendekeza kwa huyu Dada sijui Mama kwa EX wake mi SIJAKUPENDA HATA KIDOGO.

Hata kama waliachana kistaarabu lakn bado si sababu tosha ya yeye kumfanyia hiyo Party EX wake,,lakin pia huyo mwandaa pati ana lake jambo,,,,si tulie kwenye ndoa yake?? asubiri kuandaa party ya mumewe tu na wengine wanaomhusu, lakin ya EX mmmhh haimhusu.

Zinatosha pati alizomwandalia kipindi kileee wapo pamoja ,,,,lakin kipindi hiki amwachie mwenye mume ndiyo aandae pati ya mumewe.

Hata kama mke anasahahu hilo siyo issue yake yeye, hiyo ni issue ya mke na mume tu.

Anajipendekeza kwenye ndoa ya mwenzio kujifanya yeye anamjali saaaana mume wa mwenzie.........Kama alishindwa kuoana na EX basi atulie tu asianze kuingiza upupu kwenye ndoa ya EX wake...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…