Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baada ya kumuweka chini mshkaj ili mpeane muongozo umeona bora uje kuyamwaga jamvinMkuu sio mimi mimi siwez kubali uho ujinga ni mshikaji wangu wa karibu sana ndio yamemkuta
Ndo nshampenda hivyo sasa. Unasemaje?Msioe wanawake wa
ovyooo mtu kachora tatuu na kikukuu anavaa bado unaoa si unaoa changu doa kutegemea atabadirika ni upumbavu
Sana mimi tu siwezi mpigia simu mkwe wangu naona kama haijaka poa kama mke wangu akiwa anaongea na mama yake kama nipo karibu atanipa simu msalimie mkweo ivyo ikiisha hapo basi na kama mke anashida anataka kusaidia kwao huwa namwambia kama sina anajua jinsi ya kuongea na mma yake akaelewa au akasuburi but sio kunyanyua simu yangu kumpigia simu mkwe kumjibu ili hali hajaomba kuputiia simu yangudaah mke kakosea sana kuingilia yasiyomhusu na ukute hapo wameombwa hata elfu 5 tu
Ahahha kama mshikaji unamwambia kila siku anakaza fuvu hapo utafanyajee?Baada ya kumuweka chini mshkaj ili mpeane muongozo umeona bora uje kuyamwaga jamvin
Sawa kumbe umelewa kisa wowwo haya ngoja tuone fainal uzeeni ujana matumiziNdo nshampenda hivyo sasa. Unasemaje?
Mbona hujasema kuhusu yale Matako yake...Kama familia mtanisema sana ...lakini pale Mimi ndo nshafika.
Nimempenda hivyohivyo na matatoo yake...kuna nini tena!
Anachonipa kitandani ndicho kinachonichanganya. Full burudani! Msinichoshe bhana!!!
Afu we Rose, najua unamchukia sana wifi Yako tangu nilivyomleta home kumtambulisha!! Simuachi Ng'o!!
Note: Mambo ya kifamilia sio vyema kuyaleta mitandaoni. Nakuheshimu sana Rose!!
Huyu atakua ni huyu mwnyw,sasa km yeye anakana hawez kufanya ivo anashindwaje kujua cha kumshaur jamaa yake mpk alete humuKama mshikaji wako unakuja kumwombea ushauri kwa kitu na kijinga namna hii basi nawe ni mjinga mwenzie
Sio kupigwa vita kuna vitu watu tunaishi navyo na kuona vya kawaida ni bora tuongee watu wapate kuamka kuna wanaume wengi hata humu wapo maamuzi wanafanyiwa na wake zaoHuyu atakua ni huyu mwnyw,sasa km yeye anakana hawez kufanya ivo anashindwaje kujua cha kumshaur jamaa yake mpk alete humu
Nyuz km hiz zinazoonyesha udhaifu wa wanaume zianze kupigwa vita humu bila ivyo kuna janga kubwa linakuja kutokea
Usintishe bhana! Ndo maana mpaka sasa haujaolewa Kazi kusema wenzio tu!!Sawa kumbe umelewa kisa wowwo haya ngoja tuone fainal uzeeni ujana matumizi
a man broooUsintishe bhana! Ndo maana mpaka sasa haujaolewa Kazi kusema wenzio tu!!
Wewe ni Rose bhana,...mwandiko wako kabisa huu!!!!Am
a man brooo
Acha ushubwada mzeeeWewe ni Rose bhana,...mwandiko wako kabisa huu!!!!
Issue ya wife niachieni Mimi, nitamalizana nae mwenyewe. Acheni kushoboka!Acha ushubwada mzeee
Tutakupangia mpaka uwe kama mwanaume halisi uache kushikiwa akili na mkeoIssue ya wife niachieni Mimi, nitamalizana nae mwenyewe. Acheni kushoboka!
Acheni kuingilia familia za watu. Msinipangie namna ya kuishi na mke wangu Bob!!!
Acheni uchoko!!!
Hii ndo ile aina ya wanawake ambao bado hujafa lakin anasema mali zako ni zake na watoto hasemi watoto wetu anasema watoto wanguHellow african
Wewe tuchukulie ni mzazi una muomba mwanao hela kuna ndugu yenu kafariki unamuuomba hela ya kuchangia kwenye msiba umeongea na mwanao wakiume akakubali vizuri baada ya nusu saa mkweo anakupigia simu anakuambia kuwa hakuna hela kama hakuna ulazima wa kuchangia usichangia wewe utamchukuliaje huyu mkweo?
hahahha wewe unasema ivyo ili hali una mke na mtoto kwahiyo mkeo nintapelHii ndo ile aina ya wanawake ambao bado hujafa lakin anasema mali zako ni zake na watoto hasemi watoto wetu anasema watoto wangu
Kataa ndoa ni utapeli walai
Na wewe hauna akili piaMkuu sio mimi mimi siwez kubali uho ujinga ni mshikaji wangu wa karibu sana ndio yamemkuta
Sawa mkuuNa wewe hauna akili pia
Wapi nimekasirika?yeye anasema hawezi kufanya ujinga huo,sasa kama hawezi kufanya ujinga huo na bado anakuja kuomba ushauri tumweleweje?Kwani watu hamuwezi kutoa maoni bila kutumia lugha zisizo na staha? makasiriko ya nini sasa?
Afu wewe ndio kinara wa kunichafulia hapo home. Yani wife akifanya mistake ndogo tu ..unaikuuuuuzaaaa!!!Tutakupangia mpaka uwe kama mwanaume halisi uache kushikiwa akili na mkeo