Hii imekaaje wazee

Hii imekaaje wazee

daah mke kakosea sana kuingilia yasiyomhusu na ukute hapo wameombwa hata elfu 5 tu
 
Msioe wanawake wa

ovyooo mtu kachora tatuu na kikukuu anavaa bado unaoa si unaoa changu doa kutegemea atabadirika ni upumbavu
Ndo nshampenda hivyo sasa. Unasemaje?
Mbona hujasema kuhusu yale Matako yake...Kama familia mtanisema sana ...lakini pale Mimi ndo nshafika.

Nimempenda hivyohivyo na matatoo yake...kuna nini tena!

Anachonipa kitandani ndicho kinachonichanganya. Full burudani! Msinichoshe bhana!!!

Afu we Rose, najua unamchukia sana wifi Yako tangu nilivyomleta hapo home kumtambulisha!! Simuachi Ng'o!!

Note: Mambo ya kifamilia sio vyema kuyaleta mitandaoni. Nakuheshimu sana Rose!!
 
daah mke kakosea sana kuingilia yasiyomhusu na ukute hapo wameombwa hata elfu 5 tu
Sana mimi tu siwezi mpigia simu mkwe wangu naona kama haijaka poa kama mke wangu akiwa anaongea na mama yake kama nipo karibu atanipa simu msalimie mkweo ivyo ikiisha hapo basi na kama mke anashida anataka kusaidia kwao huwa namwambia kama sina anajua jinsi ya kuongea na mma yake akaelewa au akasuburi but sio kunyanyua simu yangu kumpigia simu mkwe kumjibu ili hali hajaomba kuputiia simu yangu

Sikuiz watu wakwe wanawachukulia kama washikaji zaman mtu ata ukikutana na mkweo njian unataman unabadili njia
 
Ndo nshampenda hivyo sasa. Unasemaje?
Mbona hujasema kuhusu yale Matako yake...Kama familia mtanisema sana ...lakini pale Mimi ndo nshafika.

Nimempenda hivyohivyo na matatoo yake...kuna nini tena!

Anachonipa kitandani ndicho kinachonichanganya. Full burudani! Msinichoshe bhana!!!

Afu we Rose, najua unamchukia sana wifi Yako tangu nilivyomleta home kumtambulisha!! Simuachi Ng'o!!

Note: Mambo ya kifamilia sio vyema kuyaleta mitandaoni. Nakuheshimu sana Rose!!
Sawa kumbe umelewa kisa wowwo haya ngoja tuone fainal uzeeni ujana matumizi
 
Kama mshikaji wako unakuja kumwombea ushauri kwa kitu na kijinga namna hii basi nawe ni mjinga mwenzie
Huyu atakua ni huyu mwnyw,sasa km yeye anakana hawez kufanya ivo anashindwaje kujua cha kumshaur jamaa yake mpk alete humu

Nyuz km hiz zinazoonyesha udhaifu wa wanaume zianze kupigwa vita humu bila ivyo kuna janga kubwa linakuja kutokea
 
Huyu atakua ni huyu mwnyw,sasa km yeye anakana hawez kufanya ivo anashindwaje kujua cha kumshaur jamaa yake mpk alete humu

Nyuz km hiz zinazoonyesha udhaifu wa wanaume zianze kupigwa vita humu bila ivyo kuna janga kubwa linakuja kutokea
Sio kupigwa vita kuna vitu watu tunaishi navyo na kuona vya kawaida ni bora tuongee watu wapate kuamka kuna wanaume wengi hata humu wapo maamuzi wanafanyiwa na wake zao
 
Issue ya wife niachieni Mimi, nitamalizana nae mwenyewe. Acheni kushoboka!

Acheni kuingilia familia za watu. Msinipangie namna ya kuishi na mke wangu Bob!!!

Acheni uchoko!!!
Tutakupangia mpaka uwe kama mwanaume halisi uache kushikiwa akili na mkeo
 
Hellow african

Wewe tuchukulie ni mzazi una muomba mwanao hela kuna ndugu yenu kafariki unamuuomba hela ya kuchangia kwenye msiba umeongea na mwanao wakiume akakubali vizuri baada ya nusu saa mkweo anakupigia simu anakuambia kuwa hakuna hela kama hakuna ulazima wa kuchangia usichangia wewe utamchukuliaje huyu mkweo?
Hii ndo ile aina ya wanawake ambao bado hujafa lakin anasema mali zako ni zake na watoto hasemi watoto wetu anasema watoto wangu

Kataa ndoa ni utapeli walai
 
A
Hii ndo ile aina ya wanawake ambao bado hujafa lakin anasema mali zako ni zake na watoto hasemi watoto wetu anasema watoto wangu

Kataa ndoa ni utapeli walai
hahahha wewe unasema ivyo ili hali una mke na mtoto kwahiyo mkeo nintapel
 
Tutakupangia mpaka uwe kama mwanaume halisi uache kushikiwa akili na mkeo
Afu wewe ndio kinara wa kunichafulia hapo home. Yani wife akifanya mistake ndogo tu ..unaikuuuuuzaaaa!!!

Kwanini unamchukia sana wifi Yako namna hii? Alikukosea nini kikubwa?

Unampa maza mipressure , unaongeaongea tu hovyohovyo...

Umekuaje bob? Mbona kimbelembele sana Bob? Dah sio fresh kabisa Ndugu yangu...

Sema nini...ka' vipi fresh tu....kuna nini tena!..na USINISHIRIKISHE KWENYE MAMBO YAKO kuanzia leo..,nimemind si kise""ge!!! Choko mmoja unanitibua Asubuhi Asubuhi...kuntia minuksi mixer mistress...

Na kwangu , marufuku kukanyaga,..kenge wa blue, nyau mkubwa wewe.....na mwaka huu usipoolewa, nitaanzisha valangati mpaka uondoke hapo home!! Bibi mmoja asiyejitambua wewe!!! Fisi maji kabisa!!
 
Back
Top Bottom