Hii imekaaje

Hii imekaaje

Ishu kama hii iliwahi nitokea mwaka 2016. Alidai yeye ni mwanajeshi wa kike amepewa kama dola laki unusu na makolokolo mengine ivi na yeye hana shida nazo anitumie. Utata ukaja nilipie gharama ya usafiri[emoji28][emoji28]utapeli upo dunia nzima mazee!!
 
Ishu kama hii iliwahi nitokea mwaka 2016. Alidai yeye ni mwanajeshi wa kike amepewa kama dola laki unusu na makolokolo mengine ivi na yeye hana shida nazo anitumie. Utata ukaja nilipie gharama ya usafiri[emoji28][emoji28]utapeli upo dunia nzima mazee!!
Huu mchezo wao kufanikiwa kwa mtanzania ambaye hata hana account benki ni kazi kubwa
 
Huu mchezo wao kufanikiwa kwa mtanzania ambaye hata hana account benki ni kazi kubwa
Kabisa. Ishu sio akaunti benki ishu ni ela. Mtu huna ela unaambiwa utoe ela ili upate ela. Ukichaa uo
 
Back
Top Bottom