Hii imekaaje?

Hii imekaaje?

Mributz

Senior Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
177
Reaction score
527
IMG_20240815_183508.jpg
 
Hizo gari ni zile ambazo hazijakombolewa Bandarini kwasababu mbalimbali ikiwemo kifo cha mteja, na zingine kuingia kwa njia za panya.
Serikali inataifisha na kuzigawa kwa ofisi mbalimbali za umma na vyombo vya ulinzi.
Haikuanza leo.
 
Back
Top Bottom