Hii ina maana ipi

Hii ina maana ipi

M
Wakuu habari Kuna binti mmoja nilikuwa na mfukuzia mwezi wa nne sasa, ni mdada anafanya kazi bandarini Field ya shipping.

Lakini Jana nimeongea nae kwa Simu kwa mara nyingine Nikamwambia namuhitaji I need to build relationships then marriage soon as possible lakini jibu alilonipa leo asubuhi sijaelewa ana maana ipi Kasema.

"sawa acha tuone"
Sasa hapo sijaelewa alikuwa na maana ipi
Mpaka hapo hujaelewa na unasubiri majibu tofauti?
 
Sawa acha tuone maana yake amekukubali

Cha kufanya muite ghetto...najua akifika ghetto utaelewa cha kufanya, lakini ikitokea hujaelewa cha kufanya pia unaweza kurudi hapa jukwaani kuuliza
Acha tuone itakavyokuwa
 
Me nlitegemea sahv uko kwa wakala ushaanza process za kutuma na ya kutolea

Cha ajabu na ww unasubir uone....
 
Fanya vitendo haraka, weka ndani kabla hajakutana na wenye nazo
 
Umeshindwa kuelewa jambo dogo hivyo ukielezwa manufaa ya DP World utaelewa kweli?
Dogo unaonyesha una uchanga kwenye mahusiano.Actually,hiyo kauli anahitaji kuthibitishiwa kuona kama uko serious kwa hiyo kauli yako.Hapo ni uthibitisho wa nia ya dhati na vitendo full stop.
 
mtoe out mbili tatu mueleze nia yako face to face akizingua balance shobo
 
Back
Top Bottom