Amicus Curiae
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 5,351
- 7,639
[emoji23][emoji23]Umeshindwa kuelewa jambo dogo hivyo ukielezwa manufaa ya DP World utaelewa kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23]Umeshindwa kuelewa jambo dogo hivyo ukielezwa manufaa ya DP World utaelewa kweli?
[emoji23][emoji23] nyieee!!Sawa acha tuone maana yake amekukubali
Cha kufanya muite ghetto...najua akifika ghetto utaelewa cha kufanya, lakini ikitokea hujaelewa cha kufanya pia unaweza kurudi hapa jukwaani kuuliza
Mtoto wa kiume unatulia au sio sawa acha tuoneNisha gegeda sana nataka kutulia tu
Mpaka hapo hujaelewa na unasubiri majibu tofauti?Wakuu habari Kuna binti mmoja nilikuwa na mfukuzia mwezi wa nne sasa, ni mdada anafanya kazi bandarini Field ya shipping.
Lakini Jana nimeongea nae kwa Simu kwa mara nyingine Nikamwambia namuhitaji I need to build relationships then marriage soon as possible lakini jibu alilonipa leo asubuhi sijaelewa ana maana ipi Kasema.
"sawa acha tuone"
Sasa hapo sijaelewa alikuwa na maana ipi
Acha tuone itakavyokuwaSawa acha tuone maana yake amekukubali
Cha kufanya muite ghetto...najua akifika ghetto utaelewa cha kufanya, lakini ikitokea hujaelewa cha kufanya pia unaweza kurudi hapa jukwaani kuuliza
Ngoja tuone atakavyokuja kulia akipigwa vibomu"acha tuone" ni kwamba anataka kuona kweli unampenda kwa kifupi "utamuhudumia na kumpa pesa "✍️
Sasa umekubaliwa leo Kesho unagegeda JF akili zenu bana kakwambia anataka mke sio malayaHautaki kumgegeda hisia zako unazimalizaje?
27 mkubwa huna hisia sio?
Ama na wewe ni mwanachama wa hiki chama chenu cha sheria mkononi?
View attachment 2711623
Dogo unaonyesha una uchanga kwenye mahusiano.Actually,hiyo kauli anahitaji kuthibitishiwa kuona kama uko serious kwa hiyo kauli yako.Hapo ni uthibitisho wa nia ya dhati na vitendo full stop.Umeshindwa kuelewa jambo dogo hivyo ukielezwa manufaa ya DP World utaelewa kweli?
Ni mwendo wa Spana tuSawa acha tuone maana yake amekukubali
Cha kufanya muite ghetto...najua akifika ghetto utaelewa cha kufanya, lakini ikitokea hujaelewa cha kufanya pia unaweza kurudi hapa jukwaani kuuliza
😂😂