Hii ina madhara ganii??

Sijawahi zitoa wala, ila niko na wasiwasi wakigundua maybe baadae sana itakuwaje?!

Acha niziache tuu huko! Mpaka mwaka huu uishe tuu
 
Nasikia ukokomba pesa alafu akaacha kutumia acc bhasi imetoka hiyoo
 
Sijawahi zitoa wala, ila niko na wasiwasi wakigundua maybe baadae sana itakuwaje?!

Acha niziache tuu huko! Mpaka mwaka huu uishe tuu
Yes ni uamuzi mzuri; its better uziache uko uko! Ila shida ikikukaba usisite choropoa kiasi mama ake.
 
Aisee mm siku nikiikuta hio sirudi nyuma na mwendo wa kukanyaga tu bas
 
hela usiyoitumikia si yako yakupasa kuwaambia wachukue kiasichao kilichozidi, ukiitumia ni sana na umeiba, siku banki wakiweka deni kwenye a/c yako itakuwa ka deni kwenye simu, najua vile madeni ya simu yanavyolipika ukiweka salio
 
hahaha mi nahofu sijui kaa utaweza vumilia mpaka mwezi 12 maana tiyari zitakuwa zimeisha jaa jaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapa tuu najikakaza mnooo, kila nikiziwaza zinapata kazi!
 
Mimi niko interested kujua hiyo kazi maalum
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapa tuu najikakaza mnooo, kila nikiziwaza zinapata kazi!
hahahaha

Alafu Usiku wote huu ulikuwa wapi eti!!
mbona kama nahisi ka wivu mimi mama ake
 
Babake
Nilikuwa lindo mimi, nitalalaje na bunduki eti!

Niamini hebu
Kuku amini na kuamini sana
aki ongea na kanjibahi waanze kukupanga
mchana mamsapu.

haha na hofu kanjibahi asije akanizidi kete Mimi.

.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…