Hii inaendea kutokea, Simba inaendea kucheza na Asec majukwaa yakibaki empty

Hii inaendea kutokea, Simba inaendea kucheza na Asec majukwaa yakibaki empty

Mashabiki hawatoenda ila Simba itashinda kirahisi kabsa kwahiyo bora waende tu sio wasubiri timu ishinde ndo waanze kujipendekeza kua karibu na timu. Kwenye kundi la Simba sioni timu ya kumchallenge Simba, anaenda robo final saa 4 asubuhi
Hakuna anayejipendekeza,wacheze ugoro halafu utoe kiingilio yako na mda kwanini usiangalie kwenye tv,kwanza wachezaji wenyewe wanacheza kibishoo wakiona mashabiki.

Kama mashabiki wangekuwa wanajipendekeza Ahmed Ally asingekuwa anafanya hamasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mashabiki wa Simba ndio wanawapa kiburi viongozi wa Simba . Kina Mangungu na Try again hawana uwezo wa kuongoza Simba ngoja mashabiki wasuse.
Simba day waliwaibia mashabiki viingilio Sasa hivi wanawahitaji.
Mkuu binafsi hii mechi siwezi kwenda nitaangalia home,kama uwajibikaji hamna ndani ya timu na matokeo mabovu ya nini kwenda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa itakuwaje tena mashabiki bora kwa kujaza uwanja jamani?
Mdakuzi
Ni matokeo tu kwenye mpira b..., haya matokeo ya mambo ya muda mfupi yasiwasumbue sana. Kila kitu kiko chini ya udhibiti kwa sasa.

Ova
 
Viongozi wamezidi uongo
wiki iliyopita Ahmed Ally alisema kocha ameshapatikana bado kumtambulisha ila jana huyohuyo kasema hawajampata bado kwa kuwa wanaangalia atakayeendana na ukubwa wa timu. Stupid!!

mechi kubwa kama hiyo benchi la ufundi yupo Cadena-kocha wa makipa (anayemfifiza ally salim) na Matola-mshkaji wake na bocco
 
Sasa uende ukaangalie team ikifungwa, huku umevaa jezi mbaya ya MO XTRA?

Simba inachosha na kuboa mnoo
 
Sasa uende ukaangalie team ikifungwa, huku umevaa jezi mbaya ya MO XTRA?

Simba inachosha na kuboa mnoo
Ila kumbuka tajiri katoa bil 20,mwache ajichagulie pakubandika matangazo yake na birthday ya mkewe kutakuwa matoleo mengine ya jezi,ubavuni anaweka jina na picha ya mke wake.

Vitu vidogo acheni kumind.
 
Kipindi cha Corona Simba ilicheza bila mashabiki na ikapata matokeo
 
Mashabiki hawatoenda ila Simba itashinda kirahisi kabsa kwahiyo bora waende tu sio wasubiri timu ishinde ndo waanze kujipendekeza kua karibu na timu. Kwenye kundi la Simba sioni timu ya kumchallenge Simba, anaenda robo final saa 4 asubuhi
Nyie ndo mambo yakienda tofauti mnapata kifafa mbele ya waandishi wa habari
 
Back
Top Bottom