Hakuna anayejipendekeza,wacheze ugoro halafu utoe kiingilio yako na mda kwanini usiangalie kwenye tv,kwanza wachezaji wenyewe wanacheza kibishoo wakiona mashabiki.Mashabiki hawatoenda ila Simba itashinda kirahisi kabsa kwahiyo bora waende tu sio wasubiri timu ishinde ndo waanze kujipendekeza kua karibu na timu. Kwenye kundi la Simba sioni timu ya kumchallenge Simba, anaenda robo final saa 4 asubuhi
Mkuu binafsi hii mechi siwezi kwenda nitaangalia home,kama uwajibikaji hamna ndani ya timu na matokeo mabovu ya nini kwendaMashabiki wa Simba ndio wanawapa kiburi viongozi wa Simba . Kina Mangungu na Try again hawana uwezo wa kuongoza Simba ngoja mashabiki wasuse.
Simba day waliwaibia mashabiki viingilio Sasa hivi wanawahitaji.
Ila kumbuka tajiri katoa bil 20,mwache ajichagulie pakubandika matangazo yake na birthday ya mkewe kutakuwa matoleo mengine ya jezi,ubavuni anaweka jina na picha ya mke wake.Sasa uende ukaangalie team ikifungwa, huku umevaa jezi mbaya ya MO XTRA?
Simba inachosha na kuboa mnoo
Hata picha zake awekee, atajua yeye.Ila kumbuka tajiri katoa bil 20,mwache ajichagulie pakubandika matangazo yake na birthday ya mkewe kutakuwa matoleo mengine ya jezi,ubavuni anamweka mke wake.
Ni baba ako hivyo ni mkwe wangu...Una undugu na Mangungu?
Nyie ndo mambo yakienda tofauti mnapata kifafa mbele ya waandishi wa habariMashabiki hawatoenda ila Simba itashinda kirahisi kabsa kwahiyo bora waende tu sio wasubiri timu ishinde ndo waanze kujipendekeza kua karibu na timu. Kwenye kundi la Simba sioni timu ya kumchallenge Simba, anaenda robo final saa 4 asubuhi
Sahihi kabisa. Kuna haja gani kususia timu ambayo huwezi kuiacha maisha yote?Yagangwe yajayo...
Ule uzwazwa wenu wa kupigana bakora na kuwatupia virago akina Edibily Lunyamila, Said Mwamba, na wenzake uliishia wapi?Ule ufala wenu wa kutuibia wachezaji airport wakati hatuna mipango nao vipi?