Hii inakaaje kwa wadada kukubali kuwa na mpenzi mwenye wapenzi wengi?

Hii inakaaje kwa wadada kukubali kuwa na mpenzi mwenye wapenzi wengi?

Harrykany

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2019
Posts
619
Reaction score
668
Kwa ufupi tu niulize kwanini mdada unakubali kuwa na mpenzi ambae ana wapenzi wengine na analitambua hilo na anamwambia jamaa kuwa hata kama upo na yule fureshi tu, kila mtu acha aplaypart yake, hivi hapo kinacho sababisha iwe ivo ni mapenzi ya dhati ya mdada, kwa mtu kama huyo, au nini kinasababisha iwe ivo, na wakati kuna wanawake wakiona wapenzi wao wamesimama tu. Na mwanamke mwingine ni vurugu, hata umwambie nini akuelewi
 
Kwa ufupi tu niulize kwanini mdada unakubari kuwa na mpenzi ambae anawapenzi wengine, na analitambua hilo na anamwambia jamaa kuwa hata kama upo na yule fureshi tu, kila mtu acha aplaypart yake, hivi hapo kinacho sababisha iwe ivo ni mapenzi ya dhati ya mdada, kwa mtu kama uyo, au nini kinasababisha iwe ivo, na wakati kuna wanawake wakiona wapenzi wao wamesimama tu. Na mwanamke mwingine ni vurugu, hata umwambie nini akuelewi
Wachezaji wazoefu huwa wanagombewa na timu nyingi.
 
Kwani wapi panaonyesha mwanaume haruhusiwi kua na wake zaidi ya mmoja kwanza kiuwiano wanaume ni wachache....na asilimia kubwa ndoa zenye kero ni za mke mmoja chungz mkirsto n muislam...kingine huu wa mke mmoja n uzungu asili yetu weusi n ndoa za mitara...nawake wote wanajiheshim hkun kudanga wala chee n baba anazalish wote kiufasaaa sana...swala la wivu kwa wake hiz n bongo movies by mangi
 
Back
Top Bottom