Kwa ufupi tu niulize kwanini mdada unakubali kuwa na mpenzi ambae ana wapenzi wengine na analitambua hilo na anamwambia jamaa kuwa hata kama upo na yule fureshi tu, kila mtu acha aplaypart yake, hivi hapo kinacho sababisha iwe ivo ni mapenzi ya dhati ya mdada, kwa mtu kama huyo, au nini kinasababisha iwe ivo, na wakati kuna wanawake wakiona wapenzi wao wamesimama tu. Na mwanamke mwingine ni vurugu, hata umwambie nini akuelewiWachezaji wazoefu huwa wanagombewa na timu nyingi.Kwa ufupi tu niulize kwanini mdada unakubari kuwa na mpenzi ambae anawapenzi wengine, na analitambua hilo na anamwambia jamaa kuwa hata kama upo na yule fureshi tu, kila mtu acha aplaypart yake, hivi hapo kinacho sababisha iwe ivo ni mapenzi ya dhati ya mdada, kwa mtu kama uyo, au nini kinasababisha iwe ivo, na wakati kuna wanawake wakiona wapenzi wao wamesimama tu. Na mwanamke mwingine ni vurugu, hata umwambie nini akuelewi
Wachana nayooAkili mtu wangu
Nakusalimu MahondawHahahaaa.. Nacheka kama mazuri vile
Anyways hebu nichukue siti kwanza [emoji144]
Salamu zimepokelewa Mirzs ✋! Habari ya weekend??Nakusalimu Mahondaw
Nzuri my friend. Trying to have some restSalamu zimepokelewa Mirzs ✋! Habari ya weekend??